Kauli hizi za Zitto zinatupa picha gani?

Asante. Amini unachoamini nami niamini ninachoamini maana haitakuja uamini ninachoamini kwa maana majadiliano kwako ni goal scoring. Next

There's something visceral about dude that informs me dude just can't be trusted at all.

Sure enough, dude's demonstrated and poor track record as MP, unusual (and unreal) sense of self-righteousness, self-seeking personal ambitions, and arrogant demeanor have a lot to do with it. Even dude's personal appearance kind of gives me the creeps, and tells me something is just not right with dude.
 
There's something visceral about dude that informs me dude just can't be trusted at all.

Sure enough, dude's demonstrated and poor track record as MP, unusual (and unreal) sense of self-righteousness, self-seeking personal ambitions, and arrogant demeanor have a lot to do with it. Even dude's personal appearance kind of gives me the creeps, and tells me something is just not right with dude.
And that's what make who he is!..What I kniow, his accomplishment stand beyond all allegation or failure. The only people who want Zitto to fall and who want members to make a rash decision based on unproven allegations are the member of CCM and the separatists...Yes, I said separatists 'cause all this crap is a none issue..
 
And that's what make who he is!..What I kniow, his accomplishment stand beyond all allegation or failure. The only people who want Zitto to fall and who want members to make a rash decision based on unproven allegations are the member of CCM and the separatists...Yes, I said separatists 'cause all this crap is a none issue..

When everything is said and done, the essential measure of dude's bona fides and qualification as true leader will be decided by his constituents in the 2010 general elections.

Believe me, dude has a much better chance of completing his much touted Ph.d in Germany within one-and-a-half-years from today than basic necessities of human life like electricity and clean and safe water ever reaching a majority of his constituents by 2010.
 
When everything is said and done, the essential measure of dude's bona fides and qualification as true leader will be decided by his constituents in the 2010 general elections.

Believe me, dude has a much better chance of completing his much touted Ph.d in Germany within one-and-a-half-years from today than basic necessities of human life like electricity and clean and safe water ever reaching a majority of his constituents by 2010.
Nooo bro, Zitto is behind most of issues raised by Chadema toka ile ya Karamagi, Bungeni. I stand by my word that this is a none issue but Zitto himself..
I believe that If we persuade Zitto to do the right thing, we can claim victory. But if we force him to do the right thing, we have failed.
 
Asha Abdala,
Shida yako nini haswa bibieee.Yaliyopita yameisha pita na hata kama Zitto anapinga uamuzi wa Dr.Slaa ni moja ya demokrasia inavyokwenda maadam hachukui hatua kinyume cha maamuzi hayo.

Kwa mfano, tena mbaya zaidi CUF walikuwa hawamtambui Karume kama rasi wa Zanzibar kwa jumla ya miaka minne, kumetokea kitu gani zaidi ya wao kuendela na maisha. Mimi naweza kabisa kutomkubali Dr. Slaa au Mbowe kwa nafasi walizoshika lakini maadam demokrasia imepita na wengi wape inanibidi nikubali matokeo hayo. Hakuna uhasama kwa sababu tu nimempendekeza mtu mwingine..
Wewe una haki ya kumpinga Kafulila kama alivyokuwa nayo haki Zitto ya kumpamba.. kwani matusi mnayozungumza kuhusu kafulila mwanachadema mwenznu wala hayafai kabisa lakini hayo msiyaone ila anayosema Zitto tu. Huyo Kafulila kawakosea kipi haswa... Kisha ondolewa uongozi hiyo imetoka...na hata yeye kakubali na kupokea maamuzi hayo kama mwanachama, lakini huko nje watu hamuishi kuuchonga kwa sababu tu Zitto kampendekeza mtu tofauti nanyi !

Hivyo kama Zitto alikuwa akipinga maamuzi yalitokea ktk uchaguzi wa Mwenyekiti vijana ni mawazo yake na kayaweka wazi. Kina nyie mmejificha nyuma ya vivuli hatujui chaguo lenu wala nyie ni kina nani... lakini wepesi wa kusodoa paji za uso wa watu wengine kwa kujificha..Bibie haipendizi.
Zitto ni mtu wenu kichama na kama amekosea mwambieni kwani maswala ya september nyote mlitumia hasira na kuzungumza upuuzi usiobebeka.. Kwangu mimi msomaji maneo ya Zitto hayakuwa na uzito zaidi ya maneno mlo yarudisha kwake..ni kama vile Zitto aliwasha cheche nyie mkaongezea mafuta na ndio maana hakuna suluhu hadi leo hii..And you know what, nyote mlioko sdhidi ya Zitto mnatazama zaidi maslahi binafsi na ndio maana mnajificha nyuma ya pazia la majina bandia. Kisha inapofikia hali ya kutajwa tu majina yenu inakuwa vita kubwa. Kifupi mimi bianfsi by using my name najisikia raha ya ajabu sana na napenda sana kusikia mtu akiniita Mkerewe, Mkandara wa Nansio..
Raha iliyoje!

Mkandara babaaa, wewe ndio unampa kichwa Zitto na kufanya aendeleze malumbano kama haya. Humu JF kuna wanaCHADEMA wengi tunatumia majina yetu. Wengine ni wanachama na wengine ni viongozi. Lakini huwakuti hata mara moja viongozi ambao wana majina yao halisi humu kama Mbowe, Dr Slaa, Mnyika, Mtei na Dr Kitila wakizusha tuhuma humu dhidi ya wenzao.

Hawa kwa sababu wanavikao wanaacha kulumbana humu wanakwenda kujadiliana mambo yao kwenye vikao. Lakini Zitto kabla ya vikao likitokea jambo anatoa moja kwa moja tuhuma kwa wenzake humu JF na kwenye vyombo vya habari. Nashukuru kwamba wenzake wanakuwa tofauti na na yeye wanajadiliana mambo yao kwenye vikao. Na mara kwa mara mwishowe tunakuta kwamba taarifa za maamuzi ya vikao zikitolewa zinakuwa tofauti kabisa na kauli za zitto humu na kwenye vyombo vya habari ambazo anakuwa amezitoa kabla.

Hii inajenga hisia kwamba pengine Zitto anapenda sana tabia ya ubinafsi ikiwemo kulia lia kuonewa kila jambo linapojitokeza kwenye chama hicho. Kwa hadhi yake kama Naibu Katibu Mkuu sikutarajia kabisa akiwa ujerumani ampinge Katibu Mkuu wake kwenye vyombo vya habari bila hata kujua undani wa maamuzi ya kutengua huo uteuzi wa Kafulila. Mtu kama Zitto kwa nafasi yake katika jamii kabla ya kutoa comments kwenye vyombo vya habari ni vizuri akawa ana consult na viongozi wenzake. Vinginevyo atakuwa anaonekana mkurupukaji na muongo muongo. Najua ana haki binafsi za kutoa maoni lakini akumbuke kuwa zaidi ya kuwa Mbunge wa Kigoma Kaskazi ni naibu Katibu mkuu wa chama chetu.

mambo ya kutoa maoni binafsi yanayopingana na viongozi wenzake bila kuwasiliana nao kujua undani wa mambo au kuhudhuria vikao atuachie sisi wanachama wa kawaida wa CHADEMA humu kama mimi na wakina Eric Ongara ama awaachie watu binafsi kama wakina Omar Ilyas

Tunatambua sana mchango wa Zitto humu kujadili mambo ya kitaifa, najifunza sana kutoka uchambuzi wake; lakini hakuna ninalojifunza la maana kwa kiongozi wa juu kueleza tuhuma za uongo humu dhidi ya chama chake na viongozi wake. Sana sana kutokana na kauli hizo najifunza tu jinsi ambavyo viongozi wa upinzani wanavyoweza kujidharaulisha na kupunguza matumaini ya watanzania juu ya wao wenyewe na vyama vyao

Asha
 
Sio huko Bidii tu, hata hapa JF kuna watu kazi yao ni kufuatilia kauli za Zitto na kuzitafsiri vibaya kwenye magazeti kuanzia wakati wa Dowans, uchaguzi wa CHADEMA hata alipoeleza ukweli kuhusu Dr Iddrissa Rashid.

Kwanini mnachukua maneno yake kwenye mitandao bila kumhoji yeye mwenyewe ku balance story zenu?

......ndiyohiyo
 
Ukisoma hapa utagundua Zitto was behaving like Ben Saanane and Mchange back then.

Naona kuna mahali amejitapa sana kwamba anazo hela amefanya consultancies nyingi na analipwa vizuri. At the same time anasema ana magari matano na amenunua gari la kifahari - Hummer.

Juzi amesema kwa unyenyekevu kabisa kwamba hana kitu, ni mtanzania wa kawaida kabisa. Hana nyumba, ndo anajenga kwao Mwandiga.....japo najua amejenga kajumba kadogo ka kawaida na kameshakamilika long time.

Amesema ana gari mbili, moja sollon car ya kawaida sana na nyingine ni Freelander tena ya mkopo na hajamaliza kulipa.

Zile fedha alizokuwa anajisifu nazo na yale magari yamekwenda wapi?

Mimi nabaki kuwa muumini wa ukweli, nadhani Zitto ana mambo ya ku-sort out, na he has got some explanation to do.
 
Naomba source ya income ya ZZK, maana hata viposho pale mjengoni huwa hachukui! anapata wapi hivo vijisenti? au anahongwa na mafisadi ambao baadae wanakuja kutuharibia nchi.
 
"Pili, ni dhahiri kulikuwa kuna makundi katika uchaguzi wa BAVICHA. Mimi niliweka wazi msimamo wangu wa kumwunga mkono kafulila. Wakurugenzi wa Makao makuu ya chama kuanzia Katibu Mkuu mpaka wakurugenzi kama John Mnyika, John Mrema na hata maafisa kama Halima Mdee walikuwa wanampinga David Kafulila. Hawa wanaogopa uwezo wa Kafulila wa kukataa kutumika na kuwa independent katika maamuzi yake."

Na hii,

"Ninaomba sana vijana wa Makao Makuu - hasa Mrema, Mnyika na wengineo waache spinning za kipumbavu ambazo hazijengi umoja na mshikamano wa chama. Waache kuchafua jina langu."


Malizeni hizi mambo before 2013 otherwise..................
 
Back
Top Bottom