Fernando Jr
JF-Expert Member
- Jul 12, 2017
- 3,254
- 4,869
Mimi mwenyewe huwa nacheka nikiona jina lake. Ana lile neno anapenda kulitumia "kutukuka" hahaha!binafsi mie nakubali mno huyu mtu ! zaman nilikua kila nikiona jina lake naanza kucheka !ana akili huwa anajitoa ufaham mno!
Yupo vizuri huyu Chief
Sent from my Nokia-tochi using JamiiForums mobile app