Je, ni kweli Mobutu Sese Seko Kuku Ngbendu Wa Za Banga alikuwa mtu mbaya kama tulivyoaminishwa ?
Tuone kauli ya Mobutu ambayo aliongea
"APRES MOI C'EST LE DÉLUGE ". Après MOBUTU c'est de la mort, de la souffrance, de la misère, du désordre
Kwa kiswahili : BAADA YANGU NI MAFURIKO". Baada ya MOBUTU ni kifo, mateso, taabu, machafuko.
Je, Wakati wa Mobutu wakongo walikuwa wakimbizi?
Je, Congo kulikuwa na Vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Naomba kujua
Tuone kauli ya Mobutu ambayo aliongea
"APRES MOI C'EST LE DÉLUGE ". Après MOBUTU c'est de la mort, de la souffrance, de la misère, du désordre
Kwa kiswahili : BAADA YANGU NI MAFURIKO". Baada ya MOBUTU ni kifo, mateso, taabu, machafuko.
Je, Wakati wa Mobutu wakongo walikuwa wakimbizi?
Je, Congo kulikuwa na Vita ya wenyewe kwa wenyewe.
Naomba kujua