Simba Mkali
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 620
- 239
1- KUfuatia hali ngumu ya maisha Waziri wa Fedha katika miaka ya 80, David Msuya- Kila mtu atabeba msalaba wake mwenyewe.
2- Serikali ilipotaka kununua ndege ya Rais, Basil Pesambili Mramba- Tutakula hata majani lakini ndege ya Rais lazima inunuliwe.
3- Hali ilipokuwa ngumu kwa usafiri kupanda maradufu- Basil Pesambili Mramba- Kama wananchi hawawezi kulipa nauli watembee kwa miguu.
4- Vurugu za mabucha ya Nguruwe Dar- Rais Alhaj Ali Hassan Mwinyi- Anayetaka kula chura, Ruskaaaa
5- Mgoma wa Madaktari- Waziri Pinda- LIWALO NA LIWE
KUNA KAULI NYINGINE UNAZIKUMBUKA....? HEBU SEMA IPI UMEIPENDA KAMA UNA NYINGINE CHANGIA
2- Serikali ilipotaka kununua ndege ya Rais, Basil Pesambili Mramba- Tutakula hata majani lakini ndege ya Rais lazima inunuliwe.
3- Hali ilipokuwa ngumu kwa usafiri kupanda maradufu- Basil Pesambili Mramba- Kama wananchi hawawezi kulipa nauli watembee kwa miguu.
4- Vurugu za mabucha ya Nguruwe Dar- Rais Alhaj Ali Hassan Mwinyi- Anayetaka kula chura, Ruskaaaa
5- Mgoma wa Madaktari- Waziri Pinda- LIWALO NA LIWE
KUNA KAULI NYINGINE UNAZIKUMBUKA....? HEBU SEMA IPI UMEIPENDA KAMA UNA NYINGINE CHANGIA