Kauli CHAFU za walimu darasani

Kauli CHAFU za walimu darasani

Fabijr

Member
Joined
Sep 16, 2015
Posts
24
Reaction score
20
Wakati nikiwa katika shule ya msingi baadhi ya kauli za walimu darasani zilizokua zinaniudhi na kunikatisha tamaa ni zifuatazo:-

1. mkimaliza kuongea nambieni niendelee kufundisha.
2. baba yako kauza ng'ombe ili alete ng'ombe mwingine shule
3.vichwa vikubwa akili nukta.

Tupia kauli za walimu zikizokua zikikuudhi katika shule ya msingi na sekondari....
 
Tulipokuwa darasani baridi imetuzidia naye mwalimu anasema leo mandhari ni mazuri sana ya masomo.
 
Kama ulikuja hapa kwa kubahatisha ni bora hiyo ada ungemwambia baba yako akufungulie duka ungekuwa na wateja wako tayar
 
Kuna watu wamekuja hapa shule badala ya kusoma yanacheza kwao sasa anatoka hapa anapanda gari ,anakwenda mpaka anafika mwisho wa barabara ya magari,anachukua Pikipiki inafika sehemu Pikipiki haingii,inabidi achukue baiskel ,anakwenda inafika sehem ambayo haiwezi pita anashuka kufuata kinjia kwa miguu,hatimae kinjia kinapotea anapita vichakani mpaka anafika huko kwao R.I.P Mr. Rutakyamirwa(Rita)
 
"kama hujaelewa we ni ----" nakumbuka hii sentensi kutoka kwa mwalimu wa hesabu,kiukwel nilmpeleka kwa headmaster..
 
darasa hili wengine watakua wapiga debe kazi yenu itakua kuwapokea wenzenu mabegi stand wakati wanarudi na kwenda shule
 
Back
Top Bottom