Tape measure
JF-Expert Member
- Nov 26, 2015
- 1,989
- 3,692
Huwa najiuliza uwezo wa huyu jamaa ambaye kila siku huchora katuni na kuonyeshwa ITV baada ya taarifa ya habari ya saa 2 usiku.
Kwa Tanzania sinzani kama ana mpinzani anaeonekana.
Mwingine ni Masoud Kipanya huyu jamaa anaonesha kuna kitu ndani yake kwa level zake sidhani kama anahitaji kuendelezwa na akina Gado...
Hivi kumkashifu mtu kwa kutumia katuni sio kosa kwa mujibu wa sheria ukiwa na cheti cha uandishi wa habari?
Katuni nyingine ni tamu sana wacha tu ziwepo hasa za JPM zinapendwa sana uku kijijini kwetu
Kwa Tanzania sinzani kama ana mpinzani anaeonekana.
Mwingine ni Masoud Kipanya huyu jamaa anaonesha kuna kitu ndani yake kwa level zake sidhani kama anahitaji kuendelezwa na akina Gado...
Hivi kumkashifu mtu kwa kutumia katuni sio kosa kwa mujibu wa sheria ukiwa na cheti cha uandishi wa habari?
Katuni nyingine ni tamu sana wacha tu ziwepo hasa za JPM zinapendwa sana uku kijijini kwetu