Mhafidhina07

JF-Expert Member
Aug 1, 2014
2,778
3,361
I am not getting in deep but nakumbuka kuna movie moja jamaa alionyesha kuna matatizo ya kimtandao yataikumba dunia I don't know he was thinking about this year au kuna kubwa kuliko.

Masonic plans.

 
Masonic plan.

Dunia haikuumbwa na mitandao, inashindikana vipi kuassume imekosekana baada ya binadamu kuizoea? Umasonic unatoka wapi hapo?
 
Andrew ate aliongelea na kuna wadau humu walitoa nyuzi kibao , tena walisisitza watu wasiweke pesa bank kwa vile mtandao utasumbua watashindwa kufanya miamala. Nyuzi hizi ziliandikwa mwanzoni mwa mwaka huu mwezi wa kwanza wengine mwezi wa 12 , wakitoa utaratibu mambo ya mwaka huu.

The same kwangu , jana na leo nimeshindwa kufanya miamala muhimu kupitia simbanking kisa mtandao unasumbua.
 
Hivi unadhani hii ndio mara ya kwanza au itakuwa mara ya Mwisho ?

Haya mambo yanatokea na ni kawaida cha maana ni kuwa na back-up za kutosha..., ila kitu kinachotisha watu na kipo kwenye movies ni bomu la Electromagnet Bomb hence wiping out of the data.... Hence watu kufikiria protection ambayo ni faraday cages
 
Hivi unadhani hii ndio mara ya kwanza au itakuwa mara ya Mwisho ?

Haya mambo yanatokea na ni kawaida cha maana ni kuwa na back-up za kutosha..., ila kitu kinachotisha watu na kipo kwenye movies ni bomu la Electromagnet Bomb hence wiping out of the data.... Hence watu kufikiria protection ambayo ni faraday cages
So Electromagnetic Bomb itafuta data zote? Hii itakuwa hatari sana.
 
Mapropagandist Tu hawana uwezo wowote ule wa kimiujiza mbona wanaua Kwa bunduki, ni genge Tu la wahuni wenye claims zao ni kama wanaforce dini Yao itambulike na ipewe hadhi kama dini zingine na propaganda kibao ili waonekane Wana nguvu pia kama kuna wapingaji bas waone wanapingana na jitu kuuubwa ambalo limeshaota mabawa lakini kiuhalisia ni fisi Tu wanakula Kwa kuvizia na kusubiri mabaki ya wanyama wakali kama kina Roman Catholic,Islamic na wengine wengine wenye document zao OG
 
So Electromagnetic Bomb itafuta data zote? Hii itakuwa hatari sana.
Ni kwamba electronic data storage is affected by electromagnet ndio maana kama ulishaangalia Series ya Breaking Bad aliweza kufuta data kwenye storage kwa kutumia electromagnet - That scene was / is based on True Facts - If You put a Strong Magnet kwenye digital data storage you wipe out the data....

Hapo ndio unahitaji Faraday Cage kama Protection...
 
Back
Top Bottom