Slim5
JF-Expert Member
- Jan 7, 2014
- 28,441
- 38,417
Umecheka mpk nimeona nanii yako ulioinanii hapo nanii!ha ha ahahaha
Umecheka mpk nimeona nanii yako ulioinanii hapo nanii!ha ha ahahaha
weweeeUmecheka mpk nimeona nanii yako ulioinanii hapo nanii!
Nasubiri kusikia tamko kutoka jeshi la polisiNimejaribu kuiandika kilugha bado imegoma Aa siwezi Waje wenyewe UVCCM
Uchokozi mwingine bwanaa ...
Natabiri kuna jambo litatokea hapa siku za karibuni kuhusu hii katuniAtakamatwa mtu hapa[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
Kafanya nini?Naombeni update kama nyumba ya masudi mpaka sasa haijazingirwa.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji41] [emoji41] [emoji41] [emoji41]Hahahahah!! Shikamooo KP..
Sipati picha nao wakianza kulalamika waachwe wasizuiwe kufanya UKU**
[emoji85] [emoji85] [emoji23]
Natabiri haya kutokea:-Kipanya ni noma....
Mie sijaona kosa la kipanya....wakiamua kumfanyia hayo ni sababu tu wana nguvu kwenye nchi na wala si kwamba kuna kosa.Natabiri haya kutokea:-
1- Kipanya aitwa na jeshi la police
2- Kipanya akamatwa
3- Kipanya aitwa kuhojiwa
4- Kipanya ashtakiwa kwa uchochezi
5- Kipanya matatani tena
6- Kipanya anaogopwa na jeshi la police
7- Kipanya amfunga paka kengele
8- Kipanya katuni yasababisha gazeti lafungiwa
9- Kipanya kuliponza gazeti la.....
10- Kipanya katuni, gazeti lapewa onyo kali
Kipanya hajakosea, kipanya ametoa kile tunacho kiita ujumbe kupitia sanaa.....Mie sijaona kosa la kipanya....wakiamua kumfanyia hayo ni sababu tu wana nguvu kwenye nchi na wala si kwamba kuna kosa.
Na ujumbe wake umeeleweka haswaaaaa......[emoji106]Kipanya hajakosea, kipanya ametoa kile tunacho kiita ujumbe kupitia sanaa.....
Ingawa nahisi kama kisu kimechoma kwenye mfupa...[emoji13] [emoji13]
Huo ni mtazamo wangu tu comrade
[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Kipanya ni shida aise dahMie sijaona kosa la kipanya....wakiamua kumfanyia hayo ni sababu tu wana nguvu kwenye nchi na wala si kwamba kuna kosa.