Katu sitounga mkono CHADEMA

Katu sitounga mkono CHADEMA

thatha

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
15,340
Reaction score
1,571
Sitegemei kabisa kukiunga Mkono Chadema.
a)Wabaguzi
b)Wabunifu wa matukio kuliko uhalisia
c)Zaidi ni wanaharakati kuliko wanasiasa
Thanks
 
Wala hakuna anayekutaka utuunge mkono. Tunao wengi wanaoridhishwa na utendaji wetu. Lakini uwepo wako ni mhimu kwetu maana utakuwa mpinzani wetu mwaka 2015. Na utasaidia kuterekebisha tunapokosea. Na hivyo kutusaidia kufanya vizuri zaidi.
 
kaka kunguru mweusi umeungana na mimi siiungi mkono chadema kwa kuendelea kuilea ccm.
siiungi mkono kwa kukubali kuibiwa ilani yao ya katiba mpya.
siiungi mkono kwa kukubali rais kukanyaga katiba kwa kuteua viongozi wa wizara kinyume na katiba.
siiungi mkono kwa kumchekea shibuda.
siiungi mkono kwa kunyamazia twiga kupanda ndege wakati kuna madiwani wa ccm ndege wanaisikia kwenye redio
siiungi mkono kwa kukubali ccm kuacha ilani yao na kuanza kutekewleza ulani ya chadema kabla ya 2015.
 
Tena kwa kuongezea ni wapotofu na hawana uadilifu kabisa, na wala nyama mbichi za watu, sikio Mwanza.
 
Watu dizaini hii huwa wana akili ya maiti! Wapo na wataendelea kuwepo ukitaka kumfahamu vizuri fungua jukwaa la katiba utamwona.
 
Nafikiri CDM wakikubali kuungwa mkono na mgonjwa wa fikra kama wewe ni kuongeza matatizo ni bora usije ili kuwa na ahueni kaa na mawazo potofu na njaa ukifikiri watanzania leo bado wako na maskini wa **** kama wewe. Jipime na utafakari maneno yako na uwezo wako ili ujue leo watu wanataka nini, shauri yako ukifikiri kula pilau kwa CCM ndiyo neema kwako, pilau ya siku moja mateso miaka mitano utasema unawaza?
 
Sitegemei kabisa kukiunga Mkono Chadema.
a)Wabaguzi
b)Wabunifu wa matukio kuliko uhalisia
c)Zaidi ni wanaharakati kuliko wanasiasa
Thanks
Sawa, hauko peke yako...wezi, mafisadi, wala rushwa, wanafiki, wauaji, walafi na mazezeta maelfu kadhaa wako nyuma yako wanakupa support. Sisi wengine tunakutakieni tu safari njema huko mnakoelekea wote msiopenda maisha bora!
 
Haujalazimishwa kuunga mkono CHADEMA; Kama Umekiona ni chama cha kibaguzi lakini kina wabunge pande zote lakini hakija mdhulumu Mwananchi Mlipa kodi haki yake kwa kujilimbikizia mali kwa viongozi ndani ya chama kibinafsi kama CCM

Unaziba Macho kwenye Wizi na Kudhulumu wewe unakamulia macho tamko za CCM za kiubaguzi kuwa CHADEMA ni cha kibaguzi lakini hauwezi kuthibitisha hayo.

Unafuata Upepo kama bendera
 
nenda kaokote takataka jalalani, km jina lako lilivyo. M4C! Lazima isambaratishe CCM. Vua gamba vaa gwanda!
 
"Vibuda" vipo vingi sana kumbe! CDM wawe makini na "vibuda" vya ndani na nje ya chama.
 
Sijaelewa ni kwanini CCM wanapenda sana kusema CDM ni wanaharakati? Kwani wanaharati wana kasoro gani? Au uana-harakati ni haramu kwenye siasa? kama ndiyo kwa vipi, na kwanini usipigwe marufuku?
 
Back
Top Bottom