Vinci JF-Expert Member Jul 6, 2009 2,638 668 Feb 15, 2011 #22 Ha ha ha ha...hii funika bovu man..i loved it
S sugi JF-Expert Member Feb 12, 2011 1,392 293 Feb 15, 2011 #23 aaah,jamani kwa hiyo sisi makonda ndio......!siyo vizuri hivyo!
Matti Member Jan 24, 2011 94 5 Feb 16, 2011 Thread starter #25 sugi said: aaah,jamani kwa hiyo sisi makonda ndio......!siyo vizuri hivyo! Click to expand... its just a joke, bro...
sugi said: aaah,jamani kwa hiyo sisi makonda ndio......!siyo vizuri hivyo! Click to expand... its just a joke, bro...
Ukwaju JF-Expert Member Oct 19, 2010 13,370 11,089 Feb 16, 2011 #26 Du nigekuwepo nakalipia nauli, sina mbavu. Hawa makonda wanajidai sana
Ney wa Barca JF-Expert Member Feb 14, 2011 310 36 Feb 16, 2011 #27 naamini hata konda hakumdai nauli, ila huyo dogo nomaaaaaaaaaa!
Mr.Professional JF-Expert Member Oct 4, 2010 1,582 258 Feb 16, 2011 #28 kama ningekuwa ndo konda au kwa tabia za makonda ni lazima alikashusha kwa makwenzi kakapanda gari nyingine
kama ningekuwa ndo konda au kwa tabia za makonda ni lazima alikashusha kwa makwenzi kakapanda gari nyingine
Fixed Point JF-Expert Member Sep 30, 2009 11,304 12,744 Feb 16, 2011 #29 huyo dogo hiyo ndo ilikuwa siku yake ya mwisho kupanda hiyo daladala. I am sure konda alimkremu
BIN BOR JF-Expert Member Nov 23, 2010 1,013 407 Feb 16, 2011 #30 shosti said: Mhh imekaa kidhalilishaji zaidi,kwani kila konda ni zao la ulowataja:coffee: Click to expand... Hakuna udhalilishaji wowote hapo, konda kauliza mtoto kajibu. hahahahaha:clap2:
shosti said: Mhh imekaa kidhalilishaji zaidi,kwani kila konda ni zao la ulowataja:coffee: Click to expand... Hakuna udhalilishaji wowote hapo, konda kauliza mtoto kajibu. hahahahaha:clap2: