katoto ka nursery kanaimba...

Matti

Member
Jan 24, 2011
94
5
Ktk daladala katoto ka nursery kanaimba "baba angekua jogoo na mama kuku mi ningekua kifaranga", watu kimya.
Akaendelea "baba angekua beberu na mama mbuzi mi ningekua ndama",
konda akaona kanamzingua akakiuliza je baba angekua baamedi na mama malaya we ungezaliwa nani? Katoto kakajibu "si ningekua konda wa daladala!"
teh teh teheeeh... Watu hoi.
 
Mhh imekaa kidhalilishaji zaidi,kwani kila konda ni zao la ulowataja:coffee:
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom