Matti
Member
- Jan 24, 2011
- 94
- 5
Ktk daladala katoto ka nursery kanaimba "baba angekua jogoo na mama kuku mi ningekua kifaranga", watu kimya.
Akaendelea "baba angekua beberu na mama mbuzi mi ningekua ndama",
konda akaona kanamzingua akakiuliza je baba angekua baamedi na mama malaya we ungezaliwa nani? Katoto kakajibu "si ningekua konda wa daladala!"
teh teh teheeeh... Watu hoi.
Akaendelea "baba angekua beberu na mama mbuzi mi ningekua ndama",
konda akaona kanamzingua akakiuliza je baba angekua baamedi na mama malaya we ungezaliwa nani? Katoto kakajibu "si ningekua konda wa daladala!"
teh teh teheeeh... Watu hoi.