Katika watu wanaojuta ni Arfi Said

Katika watu wanaojuta ni Arfi Said

Sagacity

JF-Expert Member
Joined
Jul 11, 2015
Posts
252
Reaction score
150
Arfi said alikuwa mbunge wa mpanda mjini kwa tiketi ya CHADEMA. Pia aliwahi kuwa makamu mwenyekiti bara. Huyu mh alionesha kiburi chake ktk BMK eti katumwa na wanampanda kutetea maoni yao.

Kwa sasa anajuta,ameondoka CHADEMA, akajiunga na CCM na alichukua fomu ya Ubunge kupitia CCM,matokeo yake kapigwa chini kura za maoni. Sasa hivi anahaha hajui cha kufanya,anazomewa kila mahali. Haya ndio matokeo ya usaliti.

Mtu mwingine anayejuta kujiona much know ndani ya CHADEMA ni ZZK,hasikiki tena na hana jipya. Wale wabunge 50 aliowasema sijui wamepotelea wapi au ndio ule uongo,uhuni na uzushi wake wa mabilioni ya uswisi?

Sisi tuko UKAWA,ndio habari ya mjini.
 
Arfi amependa vyote amekosa vyote

hakusoma upepo wa kisiasa nchi tayari mambo yalishaanza kubadilika mapema pale vyama vya upinzani vilipoazimia kuungana niliamini kuna jambo litatokea tu,hata kama ccm waliita ni ndoa ya mkeka matokeo yamekuwa makubwa kuliko walivyodhani itakufa
 
Arfi said alikuwa mbunge wa mpanda mjini kwa tiketi ya CHADEMA. Pia aliwahi kuwa makamu mwenyekiti bara. Huyu mh alionesha kiburi chake ktk BMK eti katumwa na wanampanda kutetea maoni yao.

Kwa sasa anajuta,ameondoka CHADEMA, akajiunga na CCM na alichukua fomu ya Ubunge kupitia CCM,matokeo yake kapigwa chini kura za maoni. Sasa hivi anahaha hajui cha kufanya,anazomewa kila mahali. Haya ndio matokeo ya usaliti.

Mtu mwingine anayejuta kujiona much know ndani ya CHADEMA ni ZZK,hasikiki tena na hana jipya. Wale wabunge 50 aliowasema sijui wamepotelea wapi au ndio ule uongo,uhuni na uzushi wake wa mabilioni ya uswisi?

Sisi tuko UKAWA,ndio habari ya mjini.

CCM haipokei oil chafu kama UKAWA
 
Moses Machali je?? Reticia, Chiku na Shibuda hao vipi???
 
Back
Top Bottom