KATIKA PICHA: Ziara ya Wabunge wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu Bandari ya Tanga

TPA

Member
Sep 28, 2016
49
71
upload_2017-1-24_11-33-16.png

Harbour Master bandari ya Tanga Capt. Andrew Matilya (katikati aliyenyoosha mkono) akieleza jambo kwa Wajumbe wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu walipotembelea eneo litakalojengwa bandari ya Mwambani hivi karibuni.

upload_2017-1-24_11-33-48.png

Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (anayeshughulikia Uchukuzi) Dkt. Mhandisi Leonard Chamriho akisoma taarifa ya Wizara ya utendaji wa bandari ya Tanga kwa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Miundombinu walipotembelea bandari ya Tanga hivi karibuni.


upload_2017-1-24_11-37-11.png

Katibu Mkuu Wizara ya Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano (anayeshughulikia Uchukuzi) Dkt. Mhandisi Leonard Chamriho (wa kwanza kulia) akiangalia alama za mipaka ya eneo litakalojengwa bandari ya Mwambani lililowekwa tangu mwaka 1975 akiwa pamoja na viongozi wa bandari ya Tanga walipotembelea eneo hilo hivi karibuni.
 
Hivi Bandari ya Tanga inachangia pato kiasi gani kwa Taifa ( Mwaka). Naona ipo ipo kama mfu.
 
Back
Top Bottom