nasrimgambo
JF-Expert Member
- Jan 10, 2017
- 1,865
- 2,355
Habari,
Jamani hali ni tete katika huduma za mabasi ya mwendokasi
Mara mia daladala,
Mabasi haya ni zero, ni sifuri, hamna kitu, ni bure kabisa, total rubbish, nada.
Muda wa kusubiri basi unazidi kuongezeka kadri siku zinaenda, ni kawaida kupoteza nusu saa hadi dakika arobaini na tano kusubiri basi
Yani ni sifuri
Serikali inapiga mdogo sana na ukweli iambiwe
Pia huduma yao ilikuwa ya kizungu ila kadri siku zinaenda inakuwa ya kienyeji yani ni sifuri sifuri sifuri kabisa
Jamani hali ni tete katika huduma za mabasi ya mwendokasi
Mara mia daladala,
Mabasi haya ni zero, ni sifuri, hamna kitu, ni bure kabisa, total rubbish, nada.
Muda wa kusubiri basi unazidi kuongezeka kadri siku zinaenda, ni kawaida kupoteza nusu saa hadi dakika arobaini na tano kusubiri basi
Yani ni sifuri
Serikali inapiga mdogo sana na ukweli iambiwe
Pia huduma yao ilikuwa ya kizungu ila kadri siku zinaenda inakuwa ya kienyeji yani ni sifuri sifuri sifuri kabisa