Katika kitabu cha " Ninety minutes at Entebe.

Katika kitabu cha " Ninety minutes at Entebe.

Tulikuwa mashabiki wa kusoma vitabu. Sio leo mashabiki wa Simba na Yanga pekee.
Lakini kila nyakati zina mambo yake s mie huwa siwalaumu vijana wa sasa sababu teknolojia imekuja kufanya mageuzi kwenye kila sekta jambo ambalo vijana wanajikuta wanalazimika kuendana na mfumo huo wa maisha.
 
Lakini kila nyakati zina mambo yake s mie huwa siwalaumu vijana wa sasa sababu teknolojia imekuja kufanya mageuzi kwenye kila sekta jambo ambalo vijana wanajikuta wanalazimika kuendana na mfumo huo wa maisha.
Correct. Ila bado ndani ya technology kuna vitabu, maarifa na ujuzi wanaweza vijana kuchangamkia,, badala ya entertainment pekee
 
Baada ya Rais Idd Amin wa Uganda kuiteka ndege iliyokuwa imewabeba waisraeli na kuilazimisha kutua katika uwanja wa Entebe, kuna uokoaji uliandaliwa na askari wa kikosi kazi huko Israel.

Haya yamo kwenye kile kitabu kiitwacho " ninety minutes at Entebe.
Moja ya simulizi ya kuvutia ni sehemu inayosema wakati ndege ya kijeshi ya uokoaji inatua uwanja wa Entebe, waziri mkuu wa Israel wa wakati huo alimpigia simu Idd Amin akijinyenyekeza kumuomba awaachie mateka wale kumbe makomandoo saa hiyo wako tayari Entebe kwa kazi maalum.

Sehemu nyingine ya kitabu, inasema ndege ya uokoaji ilitambaa kimo cha maji ya ziwa Victoria ili isionekane na rada ( za wakati huo).
Tukio lingine kitabu kinasema, liliandaliwa gari la Rais wa Uganda, kwa rangi Ile ile na kila kitu mpaka plate no, na wakaingia nayo na askari wakadhani ni Rais ameingia kumbe makomandoo wa Israel.
Katika mpambano huo walimpoteza askari mmoja tu aliyechelewa nje ya ndege na maiti yake iliingizwa ndani ya ndege wakaondoka naye, ila wakamuuwa aliyempiga risasi.
Yako mengi. Waliokisoma wengine watajazia...
Nakipataje ndugu?
 
Nakipataje ndugu?
My be on line utakipata. Ila enzi hizo tulikuwa wababe wa library. Mwalimu akijifanya mjuaji napita nacho. I am sorry enzi hizo. Nilikisoma hard copy nikahama mkoa, kurudi sikukikuta home.
 
Correct. Ila bado ndani ya technology kuna vitabu, maarifa na ujuzi wanaweza vijana kuchangamkia,, badala ya entertainment pekee
Wewe ni mpuuzi.

Umekomalia mavitabu kila comment.

Mavitabu yali-make sense miaka hiyo sababu hapakua na Internet.

Yaani elimu/taarifa ilikua unazipata kwa hardcopy.

Unataka watu wa 2020's waendelee na maisha ya 1980's?
 
Kwa kweli vijana wa siku hizi wanaweza kukuambia Hitler na mauwaji au Mussolini ni myths
Vijana wa kubet hasara tupu
Kumbe na wewe Black Sniper ni mjinga hivi, pamoja na kuishi ughaibuni?

Wewe na wenzKo mmekomalia mavitabu kila comment.

Mavitabu yali-make sense miaka hiyo sababu hapakua na Internet.

Yaani elimu/taarifa ilikua unazipata kwa hardcopy.

Unataka watu wa 2020's waendelee na maisha ya 1980's?
 
Wewe ni mpuuzi.

Umekomalia mavitabu kila comment.

Mavitabu yali-make sense miaka hiyo sababu hapakua na Internet.

Yaani elimu/taarifa ilikua unazipata kwa hardcopy.

Unataka watu wa 2020's waendelee na maisha ya 1980's?
Soma tena mkuu,, halafu jikosoe kistaarabu. Mbona hapa natumia technology accordingly. Nilichosema kilisadifu for those years. waliokuwepo wamenielewa.
 
S
Kumbe na wewe Black Sniper ni mjinga hivi, pamoja na kuishi ughaibuni?

Wewe na wenzKo mmekomalia mavitabu kila comment.

Mavitabu yali-make sense miaka hiyo sababu hapakua na Internet.

Yaani elimu/taarifa ilikua unazipata kwa hardcopy.

Unataka watu wa 2020's waendelee na maisha ya 1980's?
Sijui malezi wala umri hata uelewa wako. Ila inaonekana una tatizo mahala. Wapi mada imezungumzia kutotumia technology. Kama nilisoma kitabu unataka niandike unavyotaka kwamba niliambiwa. Je, Libraries zimefungwa huko colleges, universities na kwingineko. Je watunzi wa vitabu hard copy wameacha kwa sababu ya simu.
 
Back
Top Bottom