Hakuna aliyejua mubarak atang'oka wala Gadafi atakufa kifo cha aibu na pia waarab watafanya kinacho endelea mashariki ya kati. Kama mtu anahisi wanahisi anawajua watanzania basi amekosea sana. Kwani wale watanzania wa ndiyo, sawa na wale wa hatuna la kufanya wamekwisha. Tujiandae kwani wenye shamba wanajiandaa kulilima wenyewe.