Katika Historia yetu, haijawaji tokea Mgao wa Umeme kipindi cha Mvua nyingi

MURUSI

JF-Expert Member
Jun 25, 2013
4,495
8,729
Hii inapaswa kuwa ni moja ya record za kukumbukwa sana, ni kwa mara ya kwanza mvua zinanyesha tena za mafuriko na kuna mgao wa umeme wa kutisha kabisa. na kadri mvua zinavyo ongezekana ndio mgao nao unapamba moto.

Hili ni jambo la kushangaza sana, kuna kuwaga na migao ya umeme hata nchi zingine kama Zambia na hata Kenya ila sio kipindi cha mafuriko kama haya yetu.Ni ajabu mno kwamba kuna migao mikari ya umeme katikati ya mvua za Elinino.

Na kama ilivyo jadi yetu ni tumeridhika kabisa ,sisi wadangayika kana kwamba hakuna chochote kinacho enedelea.Hii ni hatari sana.

Mgao sasa unahitimisha mwaka, ni kwa mara ya kwanza pia tuna mgao wa mwaka mzima, january hadi January tuna mgao wa umeme.
 
Hii inapaswa kuwa ni moja ya record za kukumbukwa sana, ni kwa mara ya kwanza mvua zinanyesha tena za mafuriko na kuna mgao wa umeme wa kutisha kabisa. na kadri mvua zinavyo ongezekana ndio mgao nao unapamba moto.

Hili ni jambo la kushangaza sana, kuna kuwaga na migao ya umeme hata nchi zingine kama Zambia na hata Kenya ila sio kipindi cha mafuriko kama haya yetu.Ni ajabu mno kwamba kuna migao mikari ya umeme katikati ya mvua za Elinino.

Na kama ilivyo jadi yetu ni tumeridhika kabisa ,sisi wadangayika kana kwamba hakuna chochote kinacho enedelea.Hii ni hatari sana.

Mgao sasa unahitimisha mwaka, ni kwa mara ya kwanza pia tuna mgao wa mwaka mzima, january hadi January tuna mgao wa umeme.
Tatizo Watanzania tunaaminishwa kuna tatizo la umeme....Mara matengenezo..Mara kina cha maji...Mara vyanzo..mwaka unaanza mwaka unaisha...

Ukisikia mbele kwa mbele ndio huko sasa
 
Hii inapaswa kuwa ni moja ya record za kukumbukwa sana, ni kwa mara ya kwanza mvua zinanyesha tena za mafuriko na kuna mgao wa umeme wa kutisha kabisa. na kadri mvua zinavyo ongezekana ndio mgao nao unapamba moto.

Hili ni jambo la kushangaza sana, kuna kuwaga na migao ya umeme hata nchi zingine kama Zambia na hata Kenya ila sio kipindi cha mafuriko kama haya yetu.Ni ajabu mno kwamba kuna migao mikari ya umeme katikati ya mvua za Elinino.

Na kama ilivyo jadi yetu ni tumeridhika kabisa ,sisi wadangayika kana kwamba hakuna chochote kinacho enedelea.Hii ni hatari sana.

Mgao sasa unahitimisha mwaka, ni kwa mara ya kwanza pia tuna mgao wa mwaka mzima, january hadi January tuna mgao wa umeme.
KUna haja ya uongozi wa Tanesco kutoka hadharani na kusema kwanini wameamua kutesa Watanzania na kuna mvua za mafuriko nyingi kabisa!!

Hata Doto Biteko tuliyemwanini naye katumbukia humo humo!!

Kweli lazima tumkumbuke Magufuli, kwani yeye mbona aliweza kustabilize hilo shirika na likatoa service sahihi kwa wananchi? Nini kilichopo nyuma ya pazia?

Watanzania siyo wajinga!!
 
JAMANI msaidieni basi mama hata kidogo nyie mliopewa hiyo dhamana!! Doto kweli mpaka Naibu Waziri Mkuu umeshindwa kabisa kuwa bana hawa jamaa wanaohujumu uchumi wa nchi?

Na kazi ngapi za uzalishaji zinashindikana kufanyika ndani ya hii nchi kwa sababu ya upuuzi tu wa watu wachache waliamua kuangamiza uchumi wa nchi!!

Its so sad, we are becoming a failed state kwa upuuzi puuzi tu wa kuoneana aibu na kutowajibishana!
 
Hii inapaswa kuwa ni moja ya record za kukumbukwa sana, ni kwa mara ya kwanza mvua zinanyesha tena za mafuriko na kuna mgao wa umeme wa kutisha kabisa. na kadri mvua zinavyo ongezekana ndio mgao nao unapamba moto.

Hili ni jambo la kushangaza sana, kuna kuwaga na migao ya umeme hata nchi zingine kama Zambia na hata Kenya ila sio kipindi cha mafuriko kama haya yetu.Ni ajabu mno kwamba kuna migao mikari ya umeme katikati ya mvua za Elinino.

Na kama ilivyo jadi yetu ni tumeridhika kabisa ,sisi wadangayika kana kwamba hakuna chochote kinacho enedelea.Hii ni hatari sana.

Mgao sasa unahitimisha mwaka, ni kwa mara ya kwanza pia tuna mgao wa mwaka mzima, january hadi January tuna mgao wa umeme.
Tanesco ilishatangaza kuwa kipindi hiki cha mwezi Desemba itakuwa inafanya majaribio ya kuunganisha grid ya taifa pale Chalinze na mitambo ya kuzalisha umeme pale bwawa la Nyerere. Katika zoezi hili maeneo mbali mbali ya nchi yatakuwa yanakatiwa umeme ili kuwezesha zoezi hili kufanyika. Zoezi hili linatarajiwa.kukamilila mwezi January 2024.

Zoezi hili likifanikiwa mitambo yote tisa iliyoko bwawa la Nyerere itawashwa mwezi Februari 2024 na kuufanya mgawo wa umeme kuwa historia. Kuwa na subira. Kumbuka waliotufikisha kwenye shida hi ni Makamba na Maharage. Hawa hawatasaulika kwenye historia ya shirika la
Tanesco.
 
Hii inapaswa kuwa ni moja ya record za kukumbukwa sana, ni kwa mara ya kwanza mvua zinanyesha tena za mafuriko na kuna mgao wa umeme wa kutisha kabisa. na kadri mvua zinavyo ongezekana ndio mgao nao unapamba moto.

Hili ni jambo la kushangaza sana, kuna kuwaga na migao ya umeme hata nchi zingine kama Zambia na hata Kenya ila sio kipindi cha mafuriko kama haya yetu.Ni ajabu mno kwamba kuna migao mikari ya umeme katikati ya mvua za Elinino.

Na kama ilivyo jadi yetu ni tumeridhika kabisa ,sisi wadangayika kana kwamba hakuna chochote kinacho enedelea.Hii ni hatari sana.

Mgao sasa unahitimisha mwaka, ni kwa mara ya kwanza pia tuna mgao wa mwaka mzima, january hadi January tuna mgao wa umeme.
Zis izis Afriiicarz🤔
 
Hii inapaswa kuwa ni moja ya record za kukumbukwa sana, ni kwa mara ya kwanza mvua zinanyesha tena za mafuriko na kuna mgao wa umeme wa kutisha kabisa. na kadri mvua zinavyo ongezekana ndio mgao nao unapamba moto.

Hili ni jambo la kushangaza sana, kuna kuwaga na migao ya umeme hata nchi zingine kama Zambia na hata Kenya ila sio kipindi cha mafuriko kama haya yetu.Ni ajabu mno kwamba kuna migao mikari ya umeme katikati ya mvua za Elinino.

Na kama ilivyo jadi yetu ni tumeridhika kabisa ,sisi wadangayika kana kwamba hakuna chochote kinacho enedelea.Hii ni hatari sana.

Mgao sasa unahitimisha mwaka, ni kwa mara ya kwanza pia tuna mgao wa mwaka mzima, january hadi January tuna mgao wa umeme.
Muwe mnaelewa tupokwenye matengenezo ya mitambo michakaxu unataka nahuduma iwe kwa asilimia 100 tafakari kwanza
 
mapinduzi siku zote huenda na reparations, walioshinda vita hudai reparations, ni reparations time, ndo maana nothings makes sense, umeme upo lkn unazimwa kuna sababu, haingii akilini miaka 5 tuishi na umeme almost wa uhakika halafu miezi mitatu tu ya regime mpya hakuna umeme for next 3 years kila siku wa shift goal post kwa sababu ambazo hazina kichwa wala miguu, walio na power ya kuhoji wako obsessed na Israel-Palestinian war when we have our own war here at home, hakuna maji, hakuna umeme, usalama wa raia unapungua kila siku mara panya road ajali ndio hizo, nothing makes sense anymore.

fuatilia historia duniani kote, kama ulimsikia Trump wakati wa kampeni alisema “George Bush went to war in Irak spending american tax payers money and we didn’t ( americans) get the oil” , …
 
Mgao utaendelea maana vifaa vinavyotakiwa kwenye matengenezo wahuni walipiga mpunga wake kwa hiyo tuendelee kuwa wapole tu,sema itakiwa Tanesco waje na kauli maji yamezidi huko Mtera yanafanya Mitambo ya kuzalisha umeme isifanye kazi kwa usahihi.
 
Dah hii sio nchi ni pori la kupiga hela tu,,, Nipo Mwanza umeme shida, maji hamna halafu linaitwa jiji kwa kigezo gani? mbn ni mji wa hovyo sana yan harufu chafu kila mahali asee kama hamna viongozi #stupid
 
Back
Top Bottom