Katika hii picha umelewa nini

Katika hii picha umelewa nini

Meneja Wa Makampuni

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2020
Posts
8,996
Reaction score
11,864
Karibuni wakuu kufumbua hili fumbo zito.

Screenshot_20250327_102447_LinkedIn.jpg


Screenshot_20250327_102534_LinkedIn.jpg
 
Picha ya kwanza juu.
Mzunguko wa pesa.
Mama Lishe ananunua mchele shs 3,000 dukani kwa mzawa. Mzawa nae anarudi kununua vitumbua na wali kwa mama lishe. Hapo kuna mzunguko wa pesa.

Picha ya pili. Hakuna mzunguko wa pesa.

Mchina anafungua duka anauza mchele tena bei chee shs 1,000 kushinda wazawa. Mama lishe wanaacha kununua kwa wazawa na kukata mzunguko wa pesa kwani mchina haendi kula kwa mama lishe na mzawa biashara haiendi hawezi tena kununua vitumbua na wali kwa mama lishe. Wanabaki kutizama tu biashara zao zikifa huku mchina akienda nyumbani na kutuma pesa zake nyumbani uchina.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom