ni kawaida yao.
Ni wachemkaji hadi inashangaza, hivi hakuna msimamizi wa vipindi?
Nimeiona hiyo habari nikacheka tu.
pamoja na roho mbaya na biase ya tbc kwa cdm leo imewatia aibu pale walipokuwa wanataka kuonyesha mkutano wa leo wakati bwm anaongea lakini kilichotokea badala ya kuonyesha mkutano wa ccm matokeo yake akaonyesha nassari anahutubia.ameona aibu mbaya
mwisho wa ubaya aibu.mkutano wa magamba umekosa coverage tbc kitu ambacho akijawahi kutokea.
Source.tbc news mtangazaji amina mollel
angalie video uone mwenyewe
Malipo ni hapa hapa. Kamanda Nassari katokea kiulainiii akitoa sera zake. Magamba mwisho u karibu. CDM tulianza na Mungu na tunamaliza na Mungu
kujichanganya kwa tbc kweli kulinifurahisha sana na kabla ya kuanza kwa habari hiyo nilikuwa naomba moyoni mwangu kuwa habari hiyo ya kuhitimisha kampeni igome kuonekana au jambo lolote litokee, kumbe mungu ni mkubwa aliskia haja yangu nikaona anaonekana mgombea wa cdm bila kutarajia, ikanibi nihamie station nyingine baada ya kugundua haikuwa tarajio la yule dada aliyekuwa anasoma habari.
Wasi wasi wangu ni kwamba huyo fundi mitambo wa leo kibarua kitaota nyasi.
Magamba wameitaarifu tbc1 waweke kipindi maalum saa tatu kamili kuonyesha hitimisho la kampeni zao. Hata wasipoonyesha kampeni za CDM haijalishi kwani kamanda Nasari walimpa coverage wakati muafaka.Tulianza na Mungu na tunamaliza Na Mungu vilevile
Kuna mtu aliniacha hoi mchana! Eti tbc sasa hivi inaitwa TB CCM. Hahahaha.