Katika hali ya kutatanisha TBC1 warusha mkutano wa CHADEMA badala ya CCM

TBC wamesema watarusha namna kampeni zimehitimishwa leo, hawajatoa details za kama watarusha kwa chama cha mapinduzi tu au watarusha na za chadema, cha msingi saa tatu kamili tukutane TBC tuone wana kipi kipya, pia nimesikia kwamba na MLIMANI TV nao wanarusha matangazo ya kampeni kuanzia hiyo hiyo saa tatu.
 
wala msiliaumu mitambo ama watangazaji Mungu ametaka kuwaonyesha CCM kuwa yeye anakaa mahali pa juu palipoinuka.
 
wamtimue tuu ajiunge na M4C... maana huko aliko hakuna maana tena....., nimeshangaaa sana pia... kuona Kijana Nassari anamwaga sera tofauti na walivyotarajia magamba

Anything happen,happen 4 gud......
 
Hakuna siku ambayo habari ikakosa makosa.Mimi nishaacha kuangalia habari zao kwa kweli.Ni upuuzi mtupu, inashangaza na kusikitisha pia.
 
Magamba wameitaarifu tbc1 waweke kipindi maalum saa tatu kamili kuonyesha hitimisho la kampeni zao. Hata wasipoonyesha kampeni za CDM haijalishi kwani kamanda Nasari walimpa coverage wakati muafaka.Tulianza na Mungu na tunamaliza Na Mungu vilevile

Wamechanganyikiwa mpaka wanatuonyesha ususi wa yebo yebo.kazi kweli kweli
 
hivi watu mnajua madhara kutazama habari kila siku?

mimi jumamosi na jumapili sitazami habari kabisaaa

kuna madhara meengi unaweza yapata kwa kutazama habari kila siku
ya kiafya kutokana na kuwa feed habari ambazo mostly ni mbaya
mara ajali,mara wizi.mara ufisadi......unaathirika ki afya....

leo sikutazama habari na sitazami hadi jumatatu
 
chama cha ccm kimefunga kampeni ya uchaguzi mdogo wa udiwani kata ya lizaboni songea na wananchi wanaimani kubwa na chama cha ccm kwa maendeleo yao kwenye mkutano watu nyomiiiiiii
 
leo tbc wameumbuka mimi mwenyewe nimeipenda sana hiyo habari baada ya kuwabania chadema kwa muda mrefu leo Mungu kawaumbua wakajikuta wanamuonesha Nassari anamwaga sera zake tena kwa muda mrefu tu. Shame on them
 
ni kawaida yao.
Ni wachemkaji hadi inashangaza, hivi hakuna msimamizi wa vipindi?

Nimeiona hiyo habari nikacheka tu.
ila leo angalau kosa lao limekuwa la manufaa kwa umma, na bahati nzuri hiyo habari ya mkapa hata haikuoneshwa tena..
 
Ya Mungu ni mengi hapa Mungu alikuwa anawaonyesha kazi waliyo takiwa waifanye / waionyeshe na mshindi wa kesho ni nani Asante Mungu kwa HILI
 
Tbc mi siwaamini kabisa kwani ni magamba na kama watarusha na habari za CDM basi watazichakachua.
 
Hakuna siku ambayo habari ikakosa makosa.Mimi nishaacha kuangalia habari zao kwa kweli.Ni upuuzi mtupu, inashangaza na kusikitisha pia.
na bado eti chombo cha umma kinacholishwa kwa kodi zetu, duh, kweli nchi hii inajiongoza yenyewe
 
hivi watu mnajua madhara kutazama habari kila siku?

mimi jumamosi na jumapili sitazami habari kabisaaa

kuna madhara meengi unaweza yapata kwa kutazama habari kila siku
ya kiafya kutokana na kuwa feed habari ambazo mostly ni mbaya
mara ajali,mara wizi.mara ufisadi......unaathirika ki afya....

leo sikutazama habari na sitazami hadi jumatatu
mkuu vipi kuhusu madhara ya kiakili kwa kukosa habari...!
 
Mitambo inazidi kugoma. Tunaoneshwa bagamoyo baada kumaliza ususi wa yeboyebo.Mungu wetu yu upande wa CDM
 
Back
Top Bottom