Kimbunga
Platinum Member
- Oct 4, 2007
- 14,952
- 10,037
Mzee Kasori huwa anaongea bila break. Niliwahi kufika nyumbani kwake pale Arusha nikapata kuongea naye kwa kama nusu saa basi aliongea mambo mengi kweli kweli yanayohusu maisha ya mwalimu na influence zake kwenye siasa za Tanzania pamoja na jinsi alivyomuamru Mkapa kugombea urais. Huyu ni mzee wa story nyingi. Siji kwa nini huyu mzee hatulii akala maisha yake akisubiri ukomo wa maisha.Mh! Kwa ushawishi gani aliokuwa nao mzee Kasori Watu Watake kumuua? Tatizo na yeye kukubali kutumika na maadui wa Lowassa