Katibu wa Nyerere atishwa

Katibu wa Nyerere atishwa

She
became his personal
assistant in 1960, two years
before he became president.
She remained his PA almost
until his death in 1999

Naam, huyo ni Joan Wicken alipewa Nyerere kutokea Uingereza aje kuwa Katibu wake na Nyerere alifanya hivyo akipenda asipende, hakufanya kwii! cheza na wazungu wewe?

Halafu leo anakuja mtu kama BAK anatuletea jina ambalo halikusikika hata wakati wa Nyerere. Huyo labda alikuwa ni tarishi wa Nyerere lakini si katibu wake.

Na misukule inakubali tu.

Si kila mnavyokuta mtandaoni vina ukweli, tuulizeni tuliokuwepo.
 
Naam, huyo ni Joan Wicken alipewa Nyerere kutokea Uingereza aje kuwa Katibu wake na Nyerere alifanya hivyo akipenda asipende, hakufanya kwii! cheza na wazungu wewe?

Halafu leo anakuja mtu kama BAK anatuletea jina ambalo halikusikika hata wakati wa Nyerere. Huyo labda alikuwa ni tarishi wa Nyerere lakini si katibu wake.

Na misukule inakubali tu.

Si kila mnavyokuta mtandaoni vina ukweli, tuulizeni tuliokuwepo.

katibu myeka maana yake ni nini?
 
Naam, huyo ni Joan Wicken alipewa Nyerere kutokea Uingereza aje kuwa Katibu wake na Nyerere alifanya hivyo akipenda asipende, hakufanya kwii! cheza na wazungu wewe?

Halafu leo anakuja mtu kama BAK anatuletea jina ambalo halikusikika hata wakati wa Nyerere. Huyo labda alikuwa ni tarishi wa Nyerere lakini si katibu wake.

Na misukule inakubali tu.

Si kila mnavyokuta mtandaoni vina ukweli, tuulizeni tuliokuwepo.

Wewe mama wewe huna usilolijua Kama vitabu vya dini... Kwa hiyo unakataa kwamba Mzee Samwel Kasori hakua katibu wa nyerere ??? Unajidhalilisha mama yangu vitu vingine sio vya ushabiki
 
Katibu wa Nyerere kwa miaka yote alikuwa ni huyu mama wa kizungu, msitake kudanganya uongo usio na mpango, huyo mnaesema labda alikuwa tarishi wa Nyerere, Nyerere hakuwahi kumuamini Mwaafrika mwenzake kuwa katibu wake, kwa miaka yote aliyokuwa Ikulu:



Queen Elizabeth II, J.K. Nyerere and former Personal Assistant to Nyerere, Joan Wicken
Duh haswaaaaaa faiza tena muafrica wa dini yetu takbirrrr
 
Wewe mama wewe huna usilolijua Kama vitabu vya dini... Kwa hiyo unakataa kwamba Mzee Samwel Kasori hakua katibu wa nyerere ??? Unajidhalilisha mama yangu vitu vingine sio vya ushabiki

Mimi nnamjuwa Joan Wickens, bisha kuwa huyo Joan hakuwa katibu wa Nyerere, huyo kasori labda alikuwa tarishi wa Ikulu.

Na picha nimeweka, unachobisha nini?
 
Mimi nnamjuwa Joan Wickens, bisha kuwa huyo Joan hakuwa katibu wa Nyerere, huyo kasori labda alikuwa tarishi wa Ikulu.

Na picha nimeweka, unachobisha nini?

Kwa hiyo Joan Wickens ndie alieongozana na baba wa taifa kwenda marekani tena safari ilikua ya usiri Mkubwa kuongea na maafisa wa world bank ..pale baba wa taifa alipodanganywa na mkapa kwamba wanauza NBC kutokana na shinikizo la world bank ????
 
Tarishi.

Hata Nyerere angekuwa hai leo asingeelewa maana yake.

Mnajitungia maneno ili mlete uongo wenu?

aliyeleta mada unamjua lakini umeamua ku-generalize,after all,yeye kapesti gazeti.Punguza jazba wewe!!!kwa hiyo myeka maana yake ni tarishi?
 
Duh!! CCM wameamua kulana na kutafunana wao kwa wao.... mzee wa watu wamlinde tu wasimuwahishe kwa Muumba kabla ya wakati wake.
 
aliyeleta mada unamjua lakini umeamua ku-generalize,after all,yeye kapesti gazeti.Punguza jazba wewe!!!kwa hiyo myeka maana yake ni tarishi?

Si kila liandikwalo magazetini ni la ukweli kuna viwanda vya uongo.

Aliyeleta mada simjuwi wala sina haja ya kumjuwa naona ni punguani mmojawapo tu aliyeleta mada bila kuifanyia utafiti japo kiduchu.

Sasa wewe ulifikiri myeka maana yake nini? Mimi naona ni tarishi tu.
 
Si kila liandikwalo magazeti ni la ukweli kuna viwanda vya uongo.

Aliyeleta mada simjuwi wala sina haja ya kumjuwa naona ni punguani mmojawapo tu aliyeleta mada bila kuifanyia utafiti japo kiduchu.

Sasa wewe ulifikiri myeka maana yake nini? Mimi naona ni tarishi tu.
mjadala na wewe naufunga,kumbe hujui ulisemalo!!!!
 
Naam, huyo ni Joan Wicken alipewa Nyerere kutokea Uingereza aje kuwa Katibu wake na Nyerere alifanya hivyo akipenda asipende, hakufanya kwii! cheza na wazungu wewe?

Halafu leo anakuja mtu kama BAK anatuletea jina ambalo halikusikika hata wakati wa Nyerere. Huyo labda alikuwa ni tarishi wa Nyerere lakini si katibu wake.

Na misukule inakubali tu.

Si kila mnavyokuta mtandaoni vina ukweli, tuulizeni tuliokuwepo.

Nikusahihishe Hakupewa bila hiari yake . Bali he personally requested the British Government for Katibu professional wa kumsaidia, kwani hakuwa na Imani wakati huo TANGANYIKA angepatikana mtu wa kutimiza mahitaji ya position kama hiyo.
 
Nikusahihishe Hakupewa bila hiari yake . Bali he personally requested the British Government for Katibu professional wa kumsaidia, kwani hakuwa na Imani wakati huo TANGANYIKA angepatikana mtu wa kutimiza mahitaji ya position kama hiyo.

Aidha kaomba kwa hiyari yake au kapachikiwa ukweli unabaki kuwa kapewa na Joan Wicken akaendelea kuwepoIkulu kama katibu wake muda aliokuwepo madarakani Nyerere. Kumbuka hilo.

Sasa huyu mwingine si alikuwa tarishi tu? tena pengine ni tarishi wa huyo Joan Wicken na wala si wa Nyerere.

Ukweli ubaki kuwa ukweli ingawa ni mchungu.
 
....ivi hilo jambazi likikosa urais si Lita Changanyikiwa....!! maana limewekeza vya kutosha...


Hacha kabisa liko tayari kwa lolote utazani ukiwa Rais haufi, lkn subili ccm walilete tutalisambalatisha vibaya,lkn pia ccm wakilinyima maana halina sifa wakae makini sana.
 
Back
Top Bottom