....Mawazo mazuri sana, kodi zetu wana zi misuse kwa mambo yasiyo na tija.Atafutwe na nani? Kwa gharama za nani? Kwa nini asiitwe aende mwenyewe kwa gharama zake? Huu ubabe wa hawa ni matumizi mabaya ya kodi zetu! Tuna mahitaji mengi ya kijamii yanayokwama kwa kukosa fedha wakati kodi zetu zinatapanywa na hawa watu!
Mbona ilishindwa kumhoji DAB na ikatupa mrejeshoHii kamati naona haina kazi za kufanya afadhali ifutwe!!!
Atakamatwa akipenda kukamatwa, otherwise watakutana na lake TanganyikaAtakuja atakapotaka na wala hamna cha kumfanya,na wala hamna wakumkamata.
Hapo sasa. Halafu hizo gharama za kuwasafirisha mpaka DOM analipa mtuhumiwa au Ofisi ya Bunge?Hivi wakifikishwa huwa wanachapwa bakora au kinatokeaga nini
Maana wanaenda kukuhoji wabunge wenzio walewale
Halafu unaitwa kwa mkwara kama vile kiti chako kitakuwa cha makaa wakati wanakuhoji