Mkwaju Ngedere
JF-Expert Member
- Oct 15, 2016
- 1,046
- 872
Hapana, afuate kanuni zao walizojiwekea wabunge, aende akasikilize, ajibu yatakayo ulizwa baada ya hapo aache sheria ipime mzani, hakuna haja ya kukaidi
Huu ujinga ndio unaifanya nchi yetu iwe kwenye kundi LA nchi maskini zaidi kila mwaka.Akipatikana awekwe hata ndani masaa 48, amezidi mno
Hii kamati iangalie sana, inaheshimiwa sana. Isije ikaonekana ni kamati ya umbeya umbeya.shauri yake!!Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashilillah amesema Mbunge, Zitto Kabwe atafutwe na kufikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya Bunge.View attachment 592099
Ni muda mrefu umepita hakuna majibu au kamati ya bunge imeridhika na utetezi wa Zitto dhidi ya tuhuma kuwa bunge lime.....spikaka ame.......hingora zitto majibu yako ndio uhalisia wastue tenaKatibu wa Bunge, Dk Thomas Kashilillah amesema Mbunge, Zitto Kabwe atafutwe na kufikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya Bunge.View attachment 592099
Wanipe milioni 10 nimtafuteAtafutwe na nani? Kwa gharama za nani? Kwa nini asiitwe aende mwenyewe kwa gharama zake? Huu ubabe wa hawa ni matumizi mabaya ya kodi zetu! Tuna mahitaji mengi ya kijamii yanayokwama kwa kukosa fedha wakati kodi zetu zinatapanywa na hawa watu!