Mwanahabari Huru
JF-Expert Member
- Mar 9, 2015
- 14,243
- 34,899
Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashilillah amesema Mbunge, Zitto Kabwe atafutwe na kufikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya Bunge.
Too much!! Mtu kaunguliwa nyumba na vyote vilivyomo.Ni mbunge Mtanzania,hivi vitisho vya nini?Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashilillah amesema Mbunge, Zitto Kabwe atafutwe na kufikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya Bunge.View attachment 592099
Kisa alisema bunge limepokwa mamlaka na serikalikisa na maana?
Katibu wa Bunge, Dk Thomas Kashilillah amesema Mbunge, Zitto Kabwe atafutwe na kufikishwa mbele ya Kamati ya Maadili ya Bunge.View attachment 592099
HAHAHA SASA KWANI KAMBA?Kisa alisema bunge limepokwa mamlaka na serikali
tu wasiojulikana waliomshika Ben SAANANE nao?Atafutwe