Sunrise Radio ni mali ya mdosi gani maana wakati wa Arumeru Mashariki ilikuwa inaiunguza zaidi ccm kwa kuripoti maumivu tupu na sasa inayaendeleza tena. Taabu kweli kweli.
karibuni sana ndugu zetu tuijenge nchi yetu.
bado kamanda lema hajaanza kazi rasmi!hayo ni manyunyu bado mvua ya mawe inakuja.
Sunrise Radio ni mali ya mdosi gani maana wakati wa Arumeru Mashariki ilikuwa inaiunguza zaidi ccm kwa kuripoti maumivu tupu na sasa inayaendeleza tena. Taabu kweli kweli.
Acha mzaha wewe lema hana ushawishi uwezo wake wa kujenga hoja ni mdogo alipata ubunge Arusha kwa sababu watu wa pale mjini wa,eichoka CCM wakapiga kura liwalo na liwe wenye uwezo wa kujenga hoja na kushawishi watu kuja CDM ni kama Zito au Mnyika lakini si mtu kama lema au Wenje hawa hamna kitu,mm nashauri CDM ingemtumia Zito kufanya ziara za kujenga chama tunajua Mbowe ndiyo anampiga pini Zito anaona atampa nguvu si vizuri,CDM kama inataka kujijenga zaidi imtumie Zito ni mzuri kiushawishi!
Kuna tetesi kuwa katibu mwenezi wa vijana wilaya ya Longido Ndugu YOHANA LAIZER ameamua kuhama ccm na bado hajaweka wazi atajiunga na chama gani. Katibu huyo anadai kachoshwa na CCM kuchanganya siasa na mila.
Pia anadai wamekuwa wakidanganya wananchi kuwa alama nyekundu iliyopo kwenye bendera ya CCM inaonyesha kuwa ni chama cha hatari
mkuu ... tafuta uhakika wa habari hii .... ili niongeze moja moto moja baridi hapa