Mgodo Mgodoki
JF-Expert Member
- Jul 25, 2014
- 1,399
- 1,365
Katibu Mkuu wa Chadema John Mnyika afika Kijijini Chikobe Mkoani Geita akitokea kwenye mazishi ya Magufuli kumjulia hali Mama Mzazi wa Kamanda Alfonse Mawazo,Bi. Heleni Nyegera. Alphonse Mawazo aliuawa Kikatili Wilayani Chatto Mkoani Geita lakini hadi leo hakuna yeyote aliekamatwa.
Katibu Mnyika amemueleza Bi Helen kuwa Chadema inatambua na kuendeleza mchango wa Kamanda Mawazo katika kudai Haki,Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi.
Katibu Mnyika amemueleza Bi Helen kuwa Chadema inatambua na kuendeleza mchango wa Kamanda Mawazo katika kudai Haki,Katiba Mpya na Tume huru ya Uchaguzi.