Umenitoa Gizani
JF-Expert Member
- Dec 3, 2016
- 387
- 179
Safi msiwadharau hata wajumbe vitongoji hapo ndio chama
Pa kujenga makao wakuu ya Chadema atakagua lini haoni aibu kukagua viwanja vya ofisi za matawi wakati makao wakuu wanapanga uswahilini.Huyu karibu mkuu kweli hana haya wala mshipa wa aibu.Mkuu anakagua Kiwanja au ujenzi hebu naomba urudie tena