Katibu mkuu wa CCM ndugu Chongollo ametembelea Kiwanda cha Magari kinachomilikiwa na Masoud Kipanya, aahidi kumsaidia mwekezaji huyu wa ndani!

Aseee, eti kiwanda cha kisasa, ahahahaaa this is Tanzania buana!
kwani neno "kisasa" kwako lina maana gani mkuu,ukielewa maana pana ya neno kisasa basi hutocheka
au labda nikusaidie,jambo lolote linapoitwa la kisasa basi kwa kifupi humaanisha ya kwamba jambo hilo kwa ujumla wake linaendana na wakati uliopo,kwa mantiki hiyo basi ni sahihi hicho ni kiwanda cha kisasa kwa sababu tunaishi dunia ya gari za umeme na Gas
nikwambie tu hata wewe ukichukua Ng'ombe watano madume na watano majike uwafungie bandani 24hrs na uwapelekee chakula basi unatosha kuitwa mfugaji wa kisasa
 
..

Masoud ametengeneza prototype tu... Hajatengeneza gari... Kutengeneza gari ya umeme bado sana.. Bado vitu vingi haja consider...

Mfano.. Kutengeneza gari lenye horse power kubwa kwa kutumia umeme ni shughuli sana kwa maana lazima ulete motor yenye uwezo mkubwa na umeme mkubwa.. Na umeme anaoutumia yeye na Direct Dc.. Ambao ni ngumu sana kuendeshea motor zenye uwexo mkubwa..

Badi hapo hajadeal na gearbox au ameweka VFD ambazo zote zinahitqji horse power kubwa
hiyo tengeneza wewe uje upige pesa mkuu...
 
Hayo ndo hufanya wasomi wasiwe na uthubutu, huishia kuelekeza na kutaka mambo makubwa wanasahau vikubwa huanza kwa hatua ndogo. Mtakuja kuajiriwa naye muongee hayo
..

Masoud ametengeneza prototype tu... Hajatengeneza gari... Kutengeneza gari ya umeme bado sana.. Bado vitu vingi haja consider...

Mfano.. Kutengeneza gari lenye horse power kubwa kwa kutumia umeme ni shughuli sana kwa maana lazima ulete motor yenye uwezo mkubwa na umeme mkubwa.. Na umeme anaoutumia yeye na Direct Dc.. Ambao ni ngumu sana kuendeshea motor zenye uwexo mkubwa..

Badi hapo hajadeal na gearbox au ameweka VFD ambazo zote zinahitqji horse power kubwa
yo
 
Tuache masihara, kipanya ametengeneza gari gani? Lile guta ndio mnaita gari?

Kwamba mtu ana akili zake ataenda kununua guta la kipanya mnaloita gari kweli?

Tusitaniane.
 
Tuache masihara, kipanya ametengeneza gari gani? Lile guta ndio mnaita gari?

Kwamba mtu ana akili zake ataenda kununua guta la kipanya mnaloita gari kweli?

Tusitaniane.
picha tafadhali mkuu,

Hawa wa chama wameingia kwenye kazi za mawaziri, sasa sijui hatima yake.


JESUS IS LORD
 
Mi nna maswali,mengi mengi kwa masoud! Mengi! Aje hapa atujibu. Lakini kwa sasa ngoja kwanza tusubiri gari iingie mtaani. Tukianza na hili, taaluma ya masoud ni ipi!?
 
Katibu mkuu wa CCM komredi Chongollo ametembelea Kiwanda cha kisasa cha kutengeneza magari kinachomilikiwa na mwekezaji wa kitanzania mh Masoud Kipanya.

Kiwanda cha Kipanya kinatengeneza magari ya kisasa yanatembea kwa kutumia nguvu ya umeme wa betri maalumu.

Komredi Chongollo amefurahishwa sana na ubunifu wa Kipanya na ameahidi kumsaidia ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa ilani ya CCM wa kuinua vipaji na kuongeza ajira.

Kipanya ambaye ndiye Mkurugenzi mkuu wa kampuni hiyo pekee ya magari ya kisasa nchini amemshukuru sana KM Chongollo na kusema anaamini ziara hiyo ina baraka za mwenyekiti wa CCM.

Source: ITV habari
Jukumu la serikali linafanywaje na chama cha siasa, hata kama ndio kimepewa ridhaa?
Halafu Kipanya awe wazi zaidi juu ya namna alipofika hapo.
Hivi ni magari kweli yenye uwezo wa kutoka Dar mpaka Namanga? Sio kama hile mi-toy car ya kuchaji?
Tuoneshwe kiwanda chake na suppliers wake.
Tuoneshwe na safety tests.
 
Back
Top Bottom