Chukua like 5Hata Mimi nimeshangaa na kujiuliza maswali " lukuki " Mkuu. Labda nyie Wasomi wenzake mtusaidie kutufumbua hapo kuwa Je kuna Masters Degree inayotolewa katika nchi tatu? Mimi nafurahi tu anavyotenda kwani namtumia kama reference kwa Wanafunzi wangu WEREVU, WATIIFU na WAAMINIFU wa Mass Com and Journalism kuwa wasije kukosea na wao wakawa HOPELESS kama huyu Mswahili wa Yanga na nashukuru Mwenyezi Mungu kuwa wamenielewa.
Wewe ni mhaya?Kukataa kwako tu kuwa Donald Trump hajawatukana Waafrika ndiko kunazidi tu sasa kunionyesha ni jinsi gani ulivyo absolutely pathetic dull. Kuhusu kujiona niko sawa wala hujakosea Mkuu kwani katika vitu ambavyo vinanipa JEURI na NYODO ni IQ yangu iliyo very extraordinary ambayo nahisi ungebahatika hata tu kuwa nayo theluthi ungemshukuru Mwenyezi Mungu ila yawezekana Mwenyezi Mungu alikuwa na makusudi yake kukuumba kuwa typical lumpen proletariat.
ww hilo neno "members " ni la kiswahili?Hebu tulia jifunze kuandika basi kwani unaandika hovyo halafu ningeshauri kama unapenda kutumia Kiingereza basi " tiririka " kwa Kiingereza na kama unapenda Kiswahili basi endelea na Kiswahili kwani kuna UTAFITI uliofanyika uliobaini kuwa Wanaume wengi wenye kupenda sana kuandika andika kwa kuweka maneno ya Kiingereza ni members wazuri sana wa kwa " Magomeni mapipa kwa Macheni " hivyo sitaki kuamini kuwa na Wewe ni mmoja wapo na sasa unawawakilisha humu akina " miba mchicha " wenzio.
Lipo jambo la kuangalia hapa. Je kuna mahusiano yasiyo ya kawaida kati ya Jeli na Maanj? Huku kujiamini kwa namna hiyo kunaleta hisia nyingine kwa watu wanaelewa mahusiano.Ila tunaweza tusimlaumu sana Jerry, maana ukifanya utafiti mdogo hata ndani ya uongozi wa yanga kuna watu wanamgwaya aidha kwa kupewa kiburi na boss, au wameshagundua kuwa hayuko kawaida! Jerry Muro wa ITV sio huyu, huyu anaropoka mno tena kwa makelele utadhani ugomvi!!
afadhari Leo umeonyesha upande uliopo,huko kwenu shida kibao umekomaa na shida za jirani,acha umbea watoto watalala njaaSafi sana Mkuu ila usisahau pia kuwa Yanga ndiyo timu pekee hapa duniani inayoongoza kuwa na " ****** " waliotukuka wengi huku Simba ikiwa katika top 5 ya Klabu yenye intellectuals wengi. Jerry Muro anawakilisha AKILI na UPEO wa Wana Yanga wote duniani kwa 100%.
Wewe ni mhaya?