kagoshima
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 2,638
- 5,143
Huyu
Haya yanarudiwa tu hapa mkuu. Tumemsikia msemaji wa yanga kwenye kipindi cha sports round up cha kila jumapili kiukweli kaonyesha umbumbumbu wa hali ya juu. Alikua anaongelea akibishana bila ustaarabu. Alikua hajibu hoja bali alitaka wakubaliane na anachokielewa wewe.. Kiukweli nimeshindwa kufaid kipindi cha leo Kwa sababu ya upuuzi alokua anaongea huyu jamaa. Kuna mda aridiriki kusema yanga ni zaid ya CAF. There is something wrong with this guyUsitoe habari ili watu wakushangae wew mtoa habari jitahidi watu washangae habari yenyewe.unaongea vitu ambavyo avipimiki unajua kuna maneno ukiyatamka sehemu watu wanapima na kujua namna gani ulivokuwa waki.wewe unahisi shafii au clouds wanajua nini cha kusema leo kila wanalosema uliamini.na pia mtu anatoa clip ya uyo jamaa ili watu wafanyaje sasa unajua usiwajenge fikra watu kwa mambo ya kubuni