Samcezar
JF-Expert Member
- May 18, 2014
- 13,096
- 22,634
Tazama taarifa ya habari marudio saa nne usiku huu I.T.Vhamna video ya hili tukio tuone na tuamue nani mkosa
Tazama taarifa ya habari marudio saa nne usiku huu I.T.Vhamna video ya hili tukio tuone na tuamue nani mkosa
Ni kweli kabisa........maana hata angekuwa ni mkurya angesubiri kwanza then ndio angeanza kuonyesha yaliyo moyoni amewahi kumkatisha jamaa kabla hajamaliza kuzungumza....Nimewashukuru sana ITV kwakweli kila mwenye macho kaoni jinsi Lema alivyo haribu sherehe hadi wafadhili wanampigia magoti anyamaze mkuu wa mkoa amalize... Hivi lema alijuaje hatotajwa wakati mkuu wa mkoa hajamaliza kuongea?
Mimi nafikiri Lema anapaswa kupimwa akili.
LEMA ameonesha dhahiri namna ya busara na hekima za chadema zilivyo. asante itvUwe unajiongeza kwa nini mnapenda kujitoa ufahamu?
Kaka sina chama lakini kuna masuala uchama tuweke pembeni Taifa kwanza,nafikiri uwo mradi ungesaidia watu wa vyama vyote na ufadhili.Gambo atawanyoosha watafuta kick
Safi sana mkuu wa mkoa
Yaani acha tu na kuna mapuuzi eti yanamsifu kuwa alichofanya pale ni sawa sawa maana hakutendewa haki........mimi nimeona aibu sana ingawa yule si mbunge wangu.Ila CHADEMA bwana, wana unique behavior, mbunge ambaye wananchi wamekupa heshima kwa kukuamini na kukupigia kura uwaongoze, wakiwa na uhakika na hekima na busara zako unaanza kupayuka na kuleta fujo mbele za watu eti kisa haujapewa Promo. Kulikua na sababu gani kuleta zile fujo? Haikutosha kusubiri zamu yake nae akasema ukweli? That is stupid. Je sasa ndio umeonekana kiongozi bora? Tunashindwa kujifunza chochote kutoka kwako brother lema.
Tobaaaaaaa!!!!!Gambo anawafundisha nyumbu wa ufipani iliwaache viroba. Mbunge hana mamulaka ya kuweka jiwe la msingi, ni mkuu wa mkoa na wawila tu.
Amen mufti.....aaaaamenHawa jamaa Mungu alisha walaano kwa kuwanyima akili na maarifa,haiwezekani zaidi ya miaka 55 ya uhuru wameshindwa kuwawezesha wananchi kupata hata mlo mmoja wa siku zaidi ya umasikini mtupu,ujinga,maradhi,ufisadi na kadha wa kadha.
Bora unyimwe kingine na Mungu kuliko kunyimwa akili na maarifa,haiwezekani Taifa lilojaliwa na kubarikiwa na Mungu kwa kuwa na rasilimali karibia zote dunia lakini watu wake hata mlo tu hushindwa kupata.
Hakika ccm imelaaniwa na watu wake pia toka kwa Allah na adhabu hii hakika itawala wote vizazi na vizazi kwa yeyote yule aliye ndani ya ccm.
Ni aibu ya dunia RC mteule wa nafasi za ukada wa chama chake afanye maajabu mbele ya wageni na Mhe. Mbunge aliyechaguliwa na wengi kwa maslahi ya wengi tofauti na yule wa kuafuata maagizo ya Mkuu wake na kumridhisha pamoja na
chama chake.
Time will tell soon vs the hell ccm and his people.
I'm sorry, lakini ndugu yangu huna akili. Tunataka Maendeleo kama upuuzi kama wa Gambo unaushabikia basi wewe ni tatizoGambo atawanyoosha watafuta kick
Safi sana mkuu wa mkoa
Mrisho Gambo asipomheshimu Mh Lema ataomba uhamisho Arusha , maana hata polisi watamkataa , huku mambo ya kishamba hayatakiwi kabisa .Gambo atawanyoosha watafuta kick
Safi sana mkuu wa mkoa
Sasa ka wameshindwa miaka hamsini kutengeneza hata madawati sembuse maendeleo.Tangu 1961-2015 ccm iliongoza mtaa Fulani,mwaka 2016, ccm ilipigwa chini mwenyeti mpya kupitia chadema,ametafuta wadau wakawekeza tukapata solo kubwa ,ccm wakakaa kwenye vikao vyao nakusema tumzuie eneo hilo nifinyu,wakasema likifanikiwa atatushinda uchaguzi ujao!!
Hii ndio ccm ambayo lengo kubwa kwao simaendeleo ya watu bali ya kikundi cha ccm( chukua ......)
CCM wanazidi kujivua nguo.
Huyo Gumbo atapata credit kubwa akishirikiana na Lema. Ila akichuana nae ataondoka kama wengine.
Arusha wanampenda Lema na hawaangalii sera.
Gambo atawanyoosha watafuta kick
Safi sana mkuu wa mkoa
.....Gambo atawanyoosha watafuta kick
Safi sana mkuu wa mkoa