richardjumanne
Member
- Aug 31, 2016
- 43
- 8
Ndomaana nasema kuwa razima tufe na kupona tudai katiba mpya iri tuondoe uo ukada kwenye cc m tuhamue tunataja katiba mpya
Mkuu hata mimi najiuliza hayo maswali!alimzuiaje?? kwa kutomtaja ama??
Motochini,
Hebu tuipende Tanzania, tushirikiane kuilinda, kuihifadhi na kuiendeleza, tusishangilie Upuuzi wenye kuidumaza. Ujenzi wa mradi ule ulipaswa kutazamwa kitaifa zaidi kuliko kimashindano ya siasa za vyama. Naona RC kakwamisha juhudi za Rais kutaka maendeleo ya nchi. Katupaka rangi chafu kwa Wahisani. Usiseme wahisani ni nani na ni nini kama wengine walivyopata kujiropokea katika fedha za MCC, duniani tunaishi kwa kushirikiana.
Kwa waumini wa vyama kuliko taifa, RC yuko sahihi. Mimi nasema alilolifanya halina manufaa kwa Tanzania. Anapaswa kulaaniwa.
Zakutosha mwenyeweGambo atawanyoosha watafuta kick
Safi sana mkuu wa mkoa
Zakutosha mwenyewe
Unaota wewe sio bureZakutosha mwenyewe
Lema ana matatizo mawalla ndie katoa kiwanja kulikuwa na sababu gani apande hasira vile?halafu ninamshangaa lema eti mradi usimame usiendelee kisa eti yeye hajatajwa kushukuriwa! Yaani wanawake na watoto wakose kisa eti mkuu wa mkoa kwenye hotuba hajamshukuru lema kwa mchango wake? Lema ana akili timamu kweli?Machadema hayana hoja kwa sasa....Lema jana alikua hataki jina la mawala litajwe na Gambo
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelaani vikali kitendo kilichofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kumzuia Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya huduma za mama na mtoto.
Akizungumza tukio hilo Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Vicente Mashinji, alisema kuwa amesikitishwa sana na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha kuvuruga sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi kwa ajili ya huduma za mama na mtoto
"Si tu kwamba ameonyesha kukosa staha kwenye jamii, pia ameonyesha kutounga mkono mahitaji ya nchi na dunia mzima "hasa kwa mahitaji ya akina mama na watoto" alisema
"Nalaani tabia hizi za kihuni zisizo na tija kwa Taifa. Ikumbukwe tu kwamba, mwanzo ngoma ni lele, tabia ya mkuu wa mkoa huyu inajenga chuki na yaweza kuleta machafuko yasiyo na lazima, mtu wa hivi hafai kabisa katika jamii "alisema Katibu Mkuu
Tukio hilo linadaiwa kuleta aibu mbele ya viongozi wa mataifa ya nje akiwemo kiongozi mwakilishi wa ADF pamoja na Mwakilishi wa Maternity Africa.
Chanzo: Hivi sasa
Mbona unatumia nguvu sana kuandika mura?Ndomaana nasema kuwa razima tufe na kupona tudai katiba mpya iri tuondoe uo ukada kwenye cc m tuhamue tunataja katiba mpya
Huna tofauti na wenzio! Matusi yenu yapo kwenye ngozi zenu hamuwezi.kuacha hadi mchunwe hiyo ngozi....
....acha usheeenzi
Kwa hiyo.unataka niseme nini? Kwa clip niliyoiona mimi nimeona kwamba Lema ndiye kaleta vurugu. Naomba ya kwako inayoonyesha Mkuu wa Mkoa akileta vurugu kwa sababu mimi.sijaiona.Nilidhani huwa una busara kumbe na ww umeona kukwea ngazi inakubidi upindishe ukweli?
Kuna fafanuzi nyingi + Video Clip humu ndani huwezi kuzisoma na kuelewa kilichotokea? Au unadhani hiyo video imejituma tu hakukuwa na wahudhuriaji wengine ktk eneo la tukio?
Be neutral unless otherwise utakuwa bias.
Ndomaana nasema kuwa razima tufe na kupona tudai katiba mpya iri tuondoe uo ukada kwenye cc m tuhamue tunataja katiba mpya
Huyo katibu Mkuu wenu Mashinji ufahamu wake mdogo, Lema kazuiwa wapi na kwa nn huyo katibu asilaani utoto uliofanywa na LEMAChama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) kimelaani vikali kitendo kilichofanywa na Mkuu wa Mkoa wa Arusha Mrisho Gambo kumzuia Mbunge wa Arusha Mjini Godbless Lema kuweka jiwe la msingi kwa ajili ya huduma za mama na mtoto.
Akizungumza tukio hilo Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Vicente Mashinji, alisema kuwa amesikitishwa sana na kitendo cha Mkuu wa Mkoa wa Arusha kuvuruga sherehe za uwekaji wa jiwe la msingi kwa ajili ya huduma za mama na mtoto
"Si tu kwamba ameonyesha kukosa staha kwenye jamii, pia ameonyesha kutounga mkono mahitaji ya nchi na dunia mzima "hasa kwa mahitaji ya akina mama na watoto" alisema
"Nalaani tabia hizi za kihuni zisizo na tija kwa Taifa. Ikumbukwe tu kwamba, mwanzo ngoma ni lele, tabia ya mkuu wa mkoa huyu inajenga chuki na yaweza kuleta machafuko yasiyo na lazima, mtu wa hivi hafai kabisa katika jamii "alisema Katibu Mkuu
Tukio hilo linadaiwa kuleta aibu mbele ya viongozi wa mataifa ya nje akiwemo kiongozi mwakilishi wa ADF pamoja na Mwakilishi wa Maternity Africa.
Chanzo: Hivi sasa
La msingi hawa viongozi siasa zao waweke kando linapokuja suala kama hiliHuyo katibu Mkuu wenu Mashinji ufahamu wake mdogo, Lema kazuiwa wapi na kwa nn huyo katibu asilaani utoto uliofanywa na LEMA