Gangongine
JF-Expert Member
- Dec 31, 2015
- 3,854
- 1,776
Chama chetu cha CDM kimeporomoka kwa kasi ya ajabu sababu ya Bwana Huyu!
Lugha gani hii!!!Tupige kerere sana MPA GPM ikuru ajuwe tunataka katiba mpya sasa tukabane nao Anna kueahachia nafas poa
Mrisho Gambo ni Mkuu wa Mkoa Arusha sio Arusha Mjini.
Godbless Lema ni Mbunge wa Arusha Mjini sio wa Mkoa Arusha.
Rafiki na ndugu yangu Mrisho_Gambo, AJISAHIHISHE. Haipo lugha nyingine ya kumsaidia zaidi hiyo. Wapo baadhi ya watu wanampenda Mrisho, nikiwemo mimi, lakini wapo watu wengi zaidi, wengi sana, wanaompenda na kumuunga mkono Lema. Kumshughulikia Lema katika jambo ambalo ameliwekea nguvu na juhudi siyo sahihi hata kidogo. Mfano huu wa Arusha uwe KIELELEZO cha yale wanayotendewa wabunge wetu mikoani, hasa wabunge wa Vyama vya Upinzani. Nimkumbushe ndugu yangu Mrisho, kwamba yeye (Mrisho) ameteuliwa halafu mwenzie (Lema) amechaguliwa. Mrisho asijiunge na kundi la wazee wa CCM ambao hudhani vyeo hivi ni dhamana ya milele. Mrisho tunayemjua si huyu aliyetenda vile. Mrisho, you have your senses brother, let them lead you, come back to your senses!
.....Shabiki maandazi ..ama wewe ni mmoja kati ya watanzania wanne au zaidi wewe ni gari bovu mwinyi alilokua analisema
Sawa ila Panua Ubongo.Kwa hiyo.unataka niseme nini? Kwa clip niliyoiona mimi nimeona kwamba Lema ndiye kaleta vurugu. Naomba ya kwako inayoonyesha Mkuu wa Mkoa akileta vurugu kwa sababu mimi.sijaiona.