Gaijin
JF-Expert Member
- Aug 21, 2007
- 11,812
- 5,284
Kimsingi vipengele unavyovitaja ni muhimu na nafikiri ni muda muafaka wa kuanza kuvianisha na kuvijua hata kabla haujaingia kwenye ndoa tatizo ni kuwa wengi wetu hatusomi hivi vitabu vya dini kwasababu vitu vya msingi ulivyovizungumzia vingi viko kwenye vitabu vya dini na vinatoa muongozo wa majukumu ya msingi ya kila mmoja wetu
hebu tupeni maandiko yaliyo define majukumu ya ndoa kwanza
chakula kitafutwe na nan na nani akitayarishe
watoto ni jumuku la nani kulea
usafi wa nyumba kazi ya nani? :d