King Innocent
JF-Expert Member
- Dec 13, 2011
- 1,069
- 808
Uchaguzi wa SACCOS ni hadi MTEI aamue maana yeye ndo mwenye kumiliki SACCOS
dah! Naile ng'o ya wahindi na wasomali nani mmiliki wake?
Uchaguzi wa SACCOS ni hadi MTEI aamue maana yeye ndo mwenye kumiliki SACCOS
Ccm hapa imeingiaje inakufanya usilale kuiwaza ccm bavicha mnavioja.
Kuna nini cha msingi cha kusogezea uchaguzi mbele?! Yani hofu tu kwamba zito naye atachukua fomu ya kugombea uenyekiti ndo mnaamua kusogeza mbele mpaka pale mtakapomaliza kumfukuza uanachama ndo muitishe uchaguzi!
Now you are talking.Lakini,sisi tunataka mfanye mwaka huu na ikiwezekana kesho ha ha ha ha ha ha ha ha
Uchaguzi wa SACCOS ni hadi MTEI aamue maana yeye ndo mwenye kumiliki SACCOS
Kivp? Fafanua MkuuPilipili iliyo shamba inakuwashia nini?
Uchaguzi ndani ya CCM Taifa
1. Mwenyekiti alipita bila kupingwa kura 100%
2. Makamu Mwenyekiti Bara & Visiwani walipita bila kupingwa 100%
Je kwa akili zako za kushikiwa chaguzi ndani ya CCm zinafuata Demokrasia?
Toa hoja.Toa sababu
Mkuu samahani,mimi sijaaddress tuhuma zozote.Kwanza sihusiki.Nimejaribu kudurusu tu Ibara zinazosimamia muda wa uongozi ndani ya Katiba ya CHADEMA. Sikuwa na nia nyingine Mkuu KirangaCHADEMA ishawahi kuwa na "term limits"? Kama zilikuwepo ziliondolewaje?
Tuhuma nilizozisoma mimi ni kwamba kulikuwa na "term limits" hususan kwenye cheo cha uenyekiti, lakini hili liliondolewa kinyemela.
Unaweza ku address tuhuma hizi?
Naona kama ume address tuhuma ambazo hazipo, na zile ambazo zipo huja zi address.
Ukifika wakati Muafaka, utafanyika uchaguzi, na Mbowe ataondoka, lakini sio sasa. Kwa sasa Mbowe ni Nyerere wetu.