Katiba ya CCM na Vyombo vya Dola

Katiba ya CCM na Vyombo vya Dola

huwezi kumshawishi nyani ice cream ni tamu zaidi ya ndizi,hii ndio picha kamili ya TISS sababu mfumo uliotumika kukubali vyama vingi ulikuwa wakinadharia tu kuwafurahisha mabwana wakubwa ili tusikose misaada,sababu kama kweli ingekuwa nia yetu kufanya mageuzi yale yakukubali vyama vingi ingeendana pamoja na uundwaji wa katiba mpya acha utungwaji wa sheria hii ya vyama vingi na kuipachi kwenye katiba ilio kuwa inabeba maudhui ya chama kimoja,huwezi kuwa na mfumo wa vyma vingi wakati unampa madaraka makubwa ya kiutendaji raisi yanayo mfanya raisi asiyejua utawala bora kujiona yuko juu ya sheria..!!kwa machache kama hayo huwezi kukitenga chombo hiki kikubwa katika nchi na chama kilicho shika madaraka kama mpaka sasa hizi hii taasisi bado sio huru
Siwezi kukubali au kukataa hoja yako, kwasababu uamuzi wa kurudi kwenye vyama vingi ulifanyika kwenye ngazi za juu. Lakini tuchukulie kama unavyosema ni kweli, hayo ni yazani, tupo hapa na tuna nafasi ya kurekebisha kile tunachoona kinafaa kurekebishwa. Tutabishana lakini mwisho wa siku kama tunania njema ya kupata suluhu, tutapipata. Swala watetezi wetu ambao ni wabunge wa pande zote mbili hatuwashikii bango kuweza kutufanyi hayo mabadiliko ili yaendane na dunia ya leo. Lakini tukipata wanasiasa wachumia tumbo unategemea hata matunda ya vyama vingi tutayaona?
 
Nani amekwambia US system haikuwa ina m support Trump???

Mkuu unajua role gani Director wa FBI alicheza ku twist game?

Hakuna nchi yoyote duniani ambayo kiongozi wa nchi anachaguliwa kwa makaratasi yanaitwa "kura"
Mbona umejibu kuanzia kati kuja mwisho? Kama hujui haya mambo kaa kimya
 
Kwa mtu niliezaliwa wakati wa Tanu nikakulia Tanu na CCM sidhani picha unayo nichora kama mimi ni mtu wa ofisi, shopping mall na magari ya kifahari, ni sahihi.

Kitu kinacho nikwaza, ni kuiona vijana wengi wanachukulia siasa na hasa siasa za upinzani kama ni uaduwi wa kinyama. Huu ni uwongo na ni uwongo uliopandikizwa na viongozi wa kisiasa kwa nia ya kujijengea himaya ya wafuasi ambao anaweza kuwatumia pale anapotaka kuwatumia kwa faida yake binafi. Nakumbuka Maalmu Seif katika uchaguzi uliopita alisema kama hatampewa urais, basi yeye atarudi nyuma na kuwaachia vijana waingie mtaani. Hao vijana ni akina nani?, ndio hao walio jazwa chuki pasipo hitajika chuki.

Hapa unakuja kusema upinzani hawawezi kupewa nafasi ya kuongea na polisi, duh, nadhani hata IGP Mangu atashanga akiisoma hii. Sasa mnategema huo uhusiono kati ya Chadema na polisi na Jeshi utajengwa lini wakati mko pembeni na mnawaita hawa wote ni maadui. Dola sio adui wa Chadema, adui wa Chadema ni Chadema kushidwa kushawishi umma.

Mzee Mtei alikuwa na nia njema sana wakati anafikiria kuanzisha Chadema, kutokana na uhumini wake wa center right politics angeweka balance, kutokana na CCM kuwa ni center left party. Lakini wakaja vijana kuimeza Chadema, wakaja na hulka zao za to move the mountain overnight, waka iuwa mantiki yote ya kuanzisha Chadema. Lowassa amekuja Chadema, amekuta sio kile alichokuwa ana kitegemea kama serious political party. Policy hakuna imebidike iandikwe haraka haraka hata muda wa kuchapisha haukuwepo, mikakati hakuna, kuna harakati, viongozi vijana shida. Sana unaposema mko tayari, tayari kwa lipi, to try your leadership skills on us? On the future of our kids and grand kids? Or on the security of this country? Msichukulie maisha ya binadamu kama jukwa la kujifunza kicheza mziki, haya ni maisha ya watu na watu hawa wana hope with their future.
Dah so low for a person kujiita great thinker ndo nmekuuliza KIPI WALICHOFANYA CCM KWA MIAKA 50 AMBACHO WAPINZANI HAWAWEZI FANYA HADI WAHITAJI UZOEFU..???

2.kushawishu umna gani mkuuu zile M4C waliohudhuria walikuwa sio watanzania ama??? hvi hizo kura milion 6 according to NEC sio za umma wa watanzania?? tuwashawishi kivp zaidi hadi uamini tupo tayari kuongoza serkali?? miji mikubwa yote imeanguka upinzani ssa umma gani tena tuushawishi zaidi ya hapo?? bungeni wenye hoja ni upinzani tu ccm labda kilango na bashe je watz washawishike na kipi zaidi??? hvi tungekuwa hatuna ushwishi mngezuia mikutano?? kutoka kura 16% 2005 mpaka 40% 2015 hapo bado tu hatujashawishi??? mtu anahinda hadi mnafuta matokeo hatujashawishi tu??? hao watz wana kichwa kigimu sana ama ??

kwahyi ccm waliweza kushawishi watz ila upinzani walishindwa??? kwahyo mijitu iliyotuletea umaskini mpaka inajenga airport kwemye kijiji huku shule za wilaya yake hta choo na madawati hazina ndoo wameshawishi watz??? r u serious?? hvi ccm inaweza mshawishi nni mtanzani?? wanalipi jipya?? milion 50 zikwapi,viwanda niaje?? elimu ya magumashi utalii zeroooo afya same case je mnawashawishi hao watz kwa hoja gani kma sio uongo mkuu hata aibu huna ndio nauliza NI KIPI HASA CCM MMEFANYA IN 50 YEAS AMBACHO WAPINZANI HAWAWEZI FANYA HADI WAPATE UZOEFU??

3.Mkuu naona unasingizia chuki ya chadema na polisi au seif na dola ndio imeleta chuki kwetu vijana?? u serious?? hvi mfano zenji mngekubali kumpa seif nchi kihalali nani angeleta vurugu kma zile za 2001?? kma chadema mngewaruhusu mikutano na maandamano kama katiba inavyitaka unafkiri kina mbowe wangekuwa wanabeef na dola au serikali??? Hivi kwanni watanzania tuna tabia ya kuangalia REACTION badala ya CAUSE ??? mkijirekebisha automatically beef litaisha mbona cuf na ccm zenji walipatana?? ulion maalim akiwatukana ccm alipokuwa kwenye SUK???

4. test leadership skill?? future if ur kids?? ndo nakuuliza ccm imeweka future gani kwa nchi yetu mbona uchumi haukuwi mwaka wa 50 sasa, mbona elimu afya maji umeme miundombinu bado shida mwaka wa 50 sasa.... eti future gani hiyo ambayo ccm wameiweka na upinzani wataiharibu??? mwaka wa 50 huu shilingi inaporomoka thamani kila mwaka na umaskini unaongezeka kila mwaka ssa jiulize mtanzania kwa utafiti wa UNCTAD mtanzania anaishi kwa dolla 2 siku 3???? just imagine hapo achana na factor kma inflation na unemployment afu mtu mzima kma wwe na akili zote huenda hata ni professor au waziri unasema FUTURE OF OUR KIDS ???

mkuuu nijibu swali NI KIPI CCM WAMEFANYA KWA MIAKA 50 AMBACHO WAPINZANI HAWATAWEZA KUKIFANYA WAKIPEWA MADARAKA??
 
Dah so low for a person kujiita great thinker ndo nmekuuliza KIPI WALICHOFANYA CCM KWA MIAKA 50 AMBACHO WAPINZANI HAWAWEZI FANYA HADI WAHITAJI UZOEFU..???

2.kushawishu umna gani mkuuu zile M4C waliohudhuria walikuwa sio watanzania ama??? hvi hizo kura milion 6 according to NEC sio za umma wa watanzania?? tuwashawishi kivp zaidi hadi uamini tupo tayari kuongoza serkali?? miji mikubwa yote imeanguka upinzani ssa umma gani tena tuushawishi zaidi ya hapo?? bungeni wenye hoja ni upinzani tu ccm labda kilango na bashe je watz washawishike na kipi zaidi??? hvi tungekuwa hatuna ushwishi mngezuia mikutano?? kutoka kura 16% 2005 mpaka 40% 2015 hapo bado tu hatujashawishi??? mtu anahinda hadi mnafuta matokeo hatujashawishi tu??? hao watz wana kichwa kigimu sana ama ??

kwahyi ccm waliweza kushawishi watz ila upinzani walishindwa??? kwahyo mijitu iliyotuletea umaskini mpaka inajenga airport kwemye kijiji huku shule za wilaya yake hta choo na madawati hazina ndoo wameshawishi watz??? r u serious?? hvi ccm inaweza mshawishi nni mtanzani?? wanalipi jipya?? milion 50 zikwapi,viwanda niaje?? elimu ya magumashi utalii zeroooo afya same case je mnawashawishi hao watz kwa hoja gani kma sio uongo mkuu hata aibu huna ndio nauliza NI KIPI HASA CCM MMEFANYA IN 50 YEAS AMBACHO WAPINZANI HAWAWEZI FANYA HADI WAPATE UZOEFU??

3.Mkuu naona unasingizia chuki ya chadema na polisi au seif na dola ndio imeleta chuki kwetu vijana?? u serious?? hvi mfano zenji mngekubali kumpa seif nchi kihalali nani angeleta vurugu kma zile za 2001?? kma chadema mngewaruhusu mikutano na maandamano kama katiba inavyitaka unafkiri kina mbowe wangekuwa wanabeef na dola au serikali??? Hivi kwanni watanzania tuna tabia ya kuangalia REACTION badala ya CAUSE ??? mkijirekebisha automatically beef litaisha mbona cuf na ccm zenji walipatana?? ulion maalim akiwatukana ccm alipokuwa kwenye SUK???

4. test leadership skill?? future if ur kids?? ndo nakuuliza ccm imeweka future gani kwa nchi yetu mbona uchumi haukuwi mwaka wa 50 sasa, mbona elimu afya maji umeme miundombinu bado shida mwaka wa 50 sasa.... eti future gani hiyo ambayo ccm wameiweka na upinzani wataiharibu??? mwaka wa 50 huu shilingi inaporomoka thamani kila mwaka na umaskini unaongezeka kila mwaka ssa jiulize mtanzania kwa utafiti wa UNCTAD mtanzania anaishi kwa dolla 2 siku 3???? just imagine hapo achana na factor kma inflation na unemployment afu mtu mzima kma wwe na akili zote huenda hata ni professor au waziri unasema FUTURE OF OUR KIDS ???

mkuuu nijibu swali NI KIPI CCM WAMEFANYA KWA MIAKA 50 AMBACHO WAPINZANI HAWATAWEZA KUKIFANYA WAKIPEWA MADARAKA??
Swali lako ni dogo sana kulijibu, kitu cha kwanza UMOJA, hilo swala sina imani kwamba Chadema wangelimudu kutokana na sera ya kikoloni ya majimbo ambayo ilikuwa flagship policy ya Chadema kwa muda mrefu sana. Kuikata hii nchi katika majimbo kungeongeza ukabila na tungekuwa kama Kenya ambapo ukanda na ukabila ndio ina determined who wins elections.
Ustawi wa jamii, kwa sera za kibepari za Chadema kwamba kila mtu ale kwa jasho lake, mimi hilo silioni kama lingekuwa salama katika mikono ya Chadema, utasema CCM hawajalikazania lakini at least there is some sort of framework na hoja ya watoto na wazee kutibiwa bure. Swala zima la ukombozi wa waafrika wenzetu, sina uhakika kama Chadema wangelipa muda wa kulifikiria. A conservative party like Chadema with principal za mkoloni, ungeona wanawasimamia waokoloni waondoke barani afrika? Kwangu mimi hiyo ni ndoto. Country is not defined by a single issue, a country is every issue, nyumani na nje. Na kwa kila ninacho kiona, Chadema ya Lowassa au watu kama yeye ndio wataivusha Chadema lakini sio Chadema ya Mbowe, Lema na Lissu.
 
Swali lako ni dogo sana kulijibu, kitu cha kwanza UMOJA, hilo swala sina imani kwamba Chadema wangelimudu kutokana na sera ya kikoloni ya majimbo ambayo ilikuwa flagship policy ya Chadema kwa muda mrefu sana. Kuikata hii nchi katika majimbo kungeongeza ukabila na tungekuwa kama Kenya ambapo ukanda na ukabila ndio ina determined who wins elections.
Ustawi wa jamii, kwa sera za kibepari za Chadema kwamba kila mtu ale kwa jasho lake, mimi hilo silioni kama lingekuwa salama katika mikono ya Chadema, utasema CCM hawajalikazania lakini at least there is some sort of framework na hoja ya watoto na wazee kutibiwa bure. Swala zima la ukombozi wa waafrika wenzetu, sina uhakika kama Chadema wangelipa muda wa kulifikiria. A conservative party like Chadema with principal za mkoloni, ungeona wanawasimamia waokoloni waondoke barani afrika? Kwangu mimi hiyo ni ndoto. Country is not defined by a single issue, a country is every issue, nyumani na nje. Na kwa kila ninacho kiona, Chadema ya Lowassa au watu kama yeye ndio wataivusha Chadema lakini sio Chadema ya Mbowe, Lema na Lissu.
kwahyo chadema haiwezi kuleta umoja kisa sera ya majimbo?? hivi ulisoma proposal na msterplan ya sera ile??? hvi ukabila gani tanzania utawezekana wakati mkoa mmoja makabila lukuki mfano kanda ya ziwa mashariki (serengeti) je ukabila gani wakati mkoa wa mara una makabila sio chini ya 21??? ule muswada ulilenga maendeleo sio ukabila au ukanda ssa kma tukienda kwa staili hyo si mtasema hta majimbo ya ubunge yanawekwa kikabila kwa sababu ni ngumu jimbo liliopo umasaini kma simanjiro kushinda mtu asiye mmasai si ndio???

Afu umoja gani ambao CCM wameuweka at least sema nyerere sio ccm ya leo hii ambayo CCM kupitia bunge la katiba wakasema wapemba sio watanzania na sijui nchi hii hawawezi kupewa wakaskazini kwani je wakaskazini sio watanzania??

Ccm mmeligawa taifa kwa misingi ya udini ambao unaonekana dhahiri katika tanzania ya leo kwa kuanza propaganda sijui chadema chama cha wakristo na cuf ni ya waislam ssa hapo umoja utatoka wapi hta hku bara wakristo waliogopa kuipigia kura cuf wakiamini kweli nchi itageuzwa ya kiislam na hata maeneo ya waislam waliogopa kumpa kura slaa wakiamini chadema italeta utawala wa kikatoliki ssa hapo umoja ukwapi unaosema wwe??? lukuvi ridhiwan asha bakari nape nauye janury makamba wote hawa walipandikiza sana udini na ukanda na ukabila je umoja ukwapi??? uliona sawa magufuli kupewa kura na waskuma na lowasa kupewa na waksakazini je ndio umoja ulioutaka??? embu be serious!!

haya unaongelea sera za chadema sijui ubepari ssa kenya mbona wabepari na maendeleo yapo au dunia ya sasa ni ile ya enzi za ujamaa ??? huo ujamaa unefkisha wapi cuba au russia??? capitalism is the way to go na sioni athari zake kuwa nyingi kuliko faida zake na watsoever chadema sio mrengo wa kulia mkuu wako mrengo wa kati kulia so hakuna extremism kwenye hiyo sera kiasi kwamba wananchi wataabike!!

principal zipi za kikoloni je umesoma ilani ya uchaguzi wa 2015 na ukaona sera mbovu ambazo ccm hawaezi iga na ikaleta tija kwa watanzania???? eti
 
kwahyo chadema haiwezi kuleta umoja kisa sera ya majimbo?? hivi ulisoma proposal na msterplan ya sera ile??? hvi ukabila gani tanzania utawezekana wakati mkoa mmoja makabila lukuki mfano kanda ya ziwa mashariki (serengeti) je ukabila gani wakati mkoa wa mara una makabila sio chini ya 21??? ule muswada ulilenga maendeleo sio ukabila au ukanda ssa kma tukienda kwa staili hyo si mtasema hta majimbo ya ubunge yanawekwa kikabila kwa sababu ni ngumu jimbo liliopo umasaini kma simanjiro kushinda mtu asiye mmasai si ndio???

Afu umoja gani ambao CCM wameuweka at least sema nyerere sio ccm ya leo hii ambayo CCM kupitia bunge la katiba wakasema wapemba sio watanzania na sijui nchi hii hawawezi kupewa wakaskazini kwani je wakaskazini sio watanzania??

Ccm mmeligawa taifa kwa misingi ya udini ambao unaonekana dhahiri katika tanzania ya leo kwa kuanza propaganda sijui chadema chama cha wakristo na cuf ni ya waislam ssa hapo umoja utatoka wapi hta hku bara wakristo waliogopa kuipigia kura cuf wakiamini kweli nchi itageuzwa ya kiislam na hata maeneo ya waislam waliogopa kumpa kura slaa wakiamini chadema italeta utawala wa kikatoliki ssa hapo umoja ukwapi unaosema wwe??? lukuvi ridhiwan asha bakari nape nauye janury makamba wote hawa walipandikiza sana udini na ukanda na ukabila je umoja ukwapi??? uliona sawa magufuli kupewa kura na waskuma na lowasa kupewa na waksakazini je ndio umoja ulioutaka??? embu be serious!!

haya unaongelea sera za chadema sijui ubepari ssa kenya mbona wabepari na maendeleo yapo au dunia ya sasa ni ile ya enzi za ujamaa ??? huo ujamaa unefkisha wapi cuba au russia??? capitalism is the way to go na sioni athari zake kuwa nyingi kuliko faida zake na watsoever chadema sio mrengo wa kulia mkuu wako mrengo wa kati kulia so hakuna extremism kwenye hiyo sera kiasi kwamba wananchi wataabike!!

principal zipi za kikoloni je umesoma ilani ya uchaguzi wa 2015 na ukaona sera mbovu ambazo ccm hawaezi iga na ikaleta tija kwa watanzania???? eti

Najuwa una hisia kali kwa Chadema, lakini ukichukulia Kenya ndio mfano wa kuigwa labda hauijuwi vizuri siasa za Kenya. Nchi ambayo haifai kuigwa kuanzia siasa hadi uchumi ni Kenya. Hivi unajuwa uwiano wa ugwanaji mali wa nchi ya Kenya uko chini sana ukilinganisha na nchi zote za afrika mashariki? Hivi unajuwa kama leo ukiwauliza wakenya wanaoelewa siasa zao kama katiba walio kubalia ili kupunguza ukabika imefanya opposite na kuongeza nguvu ya ukanda? Mimi naomba mungu Chadema wasiige au kutuletea sera kama za Kenya kwamba mali ya nchi (rasilimali na ardhi) vinashikiliwa na watu wachache "i will say no to that".

Huwezi kulinganisha Ubunge na ukanda au majimbo, mtu mmoja mmoja anaweza kugombea ubunge eneo lolote anako kubalika na wananchi wa eneo hilo, lakini fuatulia nchi zilozo na sera za ukanda au majimbo uwone kama mtu wa sehemu fulani ana nafasi ya kupana nafasi ya uongozi kutoka kanda moja hadi nyingine. Labda ahame kanda yake na kuishi kanda nyingine kwa muda mrefu na ajifunze lugha ya huko. Mifano ipo, Afrika Kusini, Urusi, Uingereza, Italy, Nigeria hata nchi jirani kama Kenya.

Unaweza ukuponda sera za CCM za miaka 50 lakini kama CCM wangechaguwa sera ambazo ziliachwa na mkoloni kama majimbo, Nina wasiwasi kama mimi na wewe tungekuwa tunawasiliana kwa kiswahili leo hii hapa JF. Kwasababu kama jimbo moja lingetumia kiswahili, lingine lingesema sisi tutatumia lugha yetu ya asili au kiingereza. Kenyatta majuzi alienda kwao ukikuyini na kuongea kikikuyi kwenye redio ya kikikuyu mwanzo hadi mwisho, huyu ni rais wa nchi. Yote hiyo kwasababu anataka kuongea na watu wao kwanza badala ya kuongea na taifa zima kama rais. Its hard to get multilateral decision with provisional policy.

Pamoja na mapenzi yako makali kwa Chadema (ambayo ni haki yako ya msingi) lakini usichukulie maneno ya mtaani ukayapachika kama ndio mtazamo wa CCM. Dini, ukabika, rangi na jinsia havijawahi kuwa ajenda za CCM. Mimi ningekuwa mwana Chadema ningejikita zaidi kuchambuwa matokeo ya uchaguzi uliopita ili kujuwa ni wapi tulienda mrama. Chama makini cha siasa, kinakimbilia kuchukuwa matokeo mara baada ya uchaguzu kuisha because numbers won't lie. Lazima ujuwe ni kundi gani linakusikiliza na kundi gani halikubaliani na ujumbe wako. Lakini mkikaa tuu kulalamika tunaibiwa kura wakati ni watanzania wenyewe ndio waliofanya maamuzi ya nani wakumpa kura yao. Kila siku mtakuwa mnashindwa uchaguzi. Because your not communicating with the right audience.

Nimetumia maneno haya mwanzoni kwamba Chadema mmeshidwa kushawishi TISS, Jeshi, Polisi na uma kwa ujumla, kutokana na fikra kama hizi za kusema mnakandamizwa. Lakini uhalisia unaonyesha ni maamuzi mabaya ya kufikiri dola ni adui yenu, Lowassa ameleta mchango mkubwa kwenye sera za chadema kwenye uchaguzi ulio pita lakini mnamuangusha na sera zenu za mikakati badala ya ushawishi. Make people believe in Chadema. Wenzenu CCM wameshaanza siku nyingi kujiita chama cha kutetea wanyonge, sasa sijuwi Chadema ni chama cha kutetea nini au kutetea nani.
 
Ungejua unyeti na umuhimu wa hao mabwana wa mstari , hakika usingekuja kubwabwaja maneno mbofu mbofu hapa jamvini namna hiyo.

Kukaa kwako , kulala kwako, kusatehe kwako, kujikuna kwako, kubarizi kwako, kusoma kwako, kuuza kwako genge, kuingia kwako JF muda wowote , kuangalia kwako taarifa ya habari saa 2 usiku, kwenda kwako msibani, harusini, n.k koooteeeee huko kunafanikishwa na kazi iliyotukuka ya hao mabwana either direct or indirect , either in a visible or invisible manner. Siku ukiwakosa wazalendo kama hawa hakika utalia na kusaga meno.

Ila kwasababu Watanzania ni watu wa style ya kinyonga , leo hii tutawaona kama hawafahi ila siku wakiingia hao wengine mnao dhani watakuja kuwaletea maziwa , asali na siagi. ndipo mtajuuuuta kukutwa na bwana pepsi na kubaki kusema " Tungejua......" .

Asiye sikia la mkuu .
ni kama unatisha flani ivi. anyway haya!
 
Wacha ujinga beba ma box huko mambo ya tz hayakuhusu
Yaani wewe na wote watakao kuunga mkino ni wajinga na wapumbavu wa kutupwa , na sidhan kama mnaelimu hata kidogo vichwani mwenu , kuwa nje ya nchi hakukifanyi upoyeze utanzania na uzalendo kwa taifa ni ujinga tu ndio tatizo lako kuu.
 
Najuwa una hisia kali kwa Chadema, lakini ukichukulia Kenya ndio mfano wa kuigwa labda hauijuwi vizuri siasa za Kenya. Nchi ambayo haifai kuigwa kuanzia siasa hadi uchumi ni Kenya. Hivi unajuwa uwiano wa ugwanaji mali wa nchi ya Kenya uko chini sana ukilinganisha na nchi zote za afrika mashariki? Hivi unajuwa kama leo ukiwauliza wakenya wanaoelewa siasa zao kama katiba walio kubalia ili kupunguza ukabika imefanya opposite na kuongeza nguvu ya ukanda? Mimi naomba mungu Chadema wasiige au kutuletea sera kama za Kenya kwamba mali ya nchi (rasilimali na ardhi) vinashikiliwa na watu wachache "i will say no to that".

Huwezi kulinganisha Ubunge na ukanda au majimbo, mtu mmoja mmoja anaweza kugombea ubunge eneo lolote anako kubalika na wananchi wa eneo hilo, lakini fuatulia nchi zilozo na sera za ukanda au majimbo uwone kama mtu wa sehemu fulani ana nafasi ya kupana nafasi ya uongozi kutoka kanda moja hadi nyingine. Labda ahame kanda yake na kuishi kanda nyingine kwa muda mrefu na ajifunze lugha ya huko. Mifano ipo, Afrika Kusini, Urusi, Uingereza, Italy, Nigeria hata nchi jirani kama Kenya.

Unaweza ukuponda sera za CCM za miaka 50 lakini kama CCM wangechaguwa sera ambazo ziliachwa na mkoloni kama majimbo, Nina wasiwasi kama mimi na wewe tungekuwa tunawasiliana kwa kiswahili leo hii hapa JF. Kwasababu kama jimbo moja lingetumia kiswahili, lingine lingesema sisi tutatumia lugha yetu ya asili au kiingereza. Kenyatta majuzi alienda kwao ukikuyini na kuongea kikikuyi kwenye redio ya kikikuyu mwanzo hadi mwisho, huyu ni rais wa nchi. Yote hiyo kwasababu anataka kuongea na watu wao kwanza badala ya kuongea na taifa zima kama rais. Its hard to get multilateral decision with provisional policy.

Pamoja na mapenzi yako makali kwa Chadema (ambayo ni haki yako ya msingi) lakini usichukulie maneno ya mtaani ukayapachika kama ndio mtazamo wa CCM. Dini, ukabika, rangi na jinsia havijawahi kuwa ajenda za CCM. Mimi ningekuwa mwana Chadema ningejikita zaidi kuchambuwa matokeo ya uchaguzi uliopita ili kujuwa ni wapi tulienda mrama. Chama makini cha siasa, kinakimbilia kuchukuwa matokeo mara baada ya uchaguzu kuisha because numbers won't lie. Lazima ujuwe ni kundi gani linakusikiliza na kundi gani halikubaliani na ujumbe wako. Lakini mkikaa tuu kulalamika tunaibiwa kura wakati ni watanzania wenyewe ndio waliofanya maamuzi ya nani wakumpa kura yao. Kila siku mtakuwa mnashindwa uchaguzi. Because your not communicating with the right audience.

Nimetumia maneno haya mwanzoni kwamba Chadema mmeshidwa kushawishi TISS, Jeshi, Polisi na uma kwa ujumla, kutokana na fikra kama hizi za kusema mnakandamizwa. Lakini uhalisia unaonyesha ni maamuzi mabaya ya kufikiri dola ni adui yenu, Lowassa ameleta mchango mkubwa kwenye sera za chadema kwenye uchaguzi ulio pita lakini mnamuangusha na sera zenu za mikakati badala ya ushawishi. Make people believe in Chadema. Wenzenu CCM wameshaanza siku nyingi kujiita chama cha kutetea wanyonge, sasa sijuwi Chadema ni chama cha kutetea nini au kutetea nani.
be seriouw mkuu context ya russia nigeria kenya ni different na TZ kule kuna makabila makubwa yenye population above 20% ya nchi nzima mfano wakikuyu na wajaluo wanatengeneza almost 45% ya nchi nzima je tanzania wanyakyusa na waskuma wanamake 45% ya nchi??? huku kabila kubwa ni waskuma na limeacha makabila mengine mbali sana ssa ukabila utatokea labda kanda ya ziwa tu thats it ila sio kwenye greater tanganyika.

2. nimeshasema chadema sio extremists ni capitalists wa centre-right ssa huo ubepari wa far right utalinganisha na center right??? afu hoja yako haina mashiko eti pesa ipo kwa wachache to the expense ya majority poor je nikuulize faida kma miundombinu,elimu,afya,usafiri,maji,umeme haufaidiwi na wakenya wote ??? thamani ya shilingi yao na nguvu ya pesa yao (PPP) haisaidii hao maskini majority??? au unafkiri pesa ikishikwa na wachache ndio hazitoi ajira au mzunguko wa pesa? hta nigeria ndpo nyumbani kwa maskini zaidi afrika ila ndio kwa matajiri wakubwa zaidi afrika au ulitaka kuwe na mgawanyo sawa wa pesa hata kma Gdp ni chini ya dola moja kwa siku??? ilimradi usawa so poor analysis...... kasome kwanni marekani inaizidi GDP brunei ingawa kwa PURCHASING POWER PARITY brunei inaiacha mbali sana marekani??? ukipata jibu ndio hutapinga sera za capitalists.
4. kwamba uchaguzi hatufanyi analysis??? ssa analysis mnafanya na matokeo ya NEC?? yaani tuseme tunaibiwa afu tuyatumie hayo hayo?? kwahyo unataka tuamini upinzani tulsihindwa zanzibar kisa we wea communicating with tge wrong audience au tulishindwa tanzania bara kisa hatukubaliko kanda ya ziwa?? eti?? mkuu uchaguzi ukiwa huru na haki ndio analysis hufanyika........ tunachojua ni kwamba mikakati ilishawekwa kupitia vikao vya ndani ssa analysis ni moja tu kma alivyosema lowasa pale karimjee TUME HURU na KATIBA MPYA basi ila kma kujipanga tulijipanga sana na hakuna mwaka watu walihamasika kma 2015 ila kma kura accordin to NEC ni milion 6 inataka tushawishi kiasi gani zaidi ya hapo?? yaani CCM kutoka 80+% 2005 mpaka 58% 2015 je uhamasishaji gani zaidi ulitaka???

TISS sijui polisi hawahitaji kushawishiwa wao as long as wananchi wameamua lazma waheshim sema katiba ndio inakufumba macho ssa kma vyombi hivo wanajazwa makada unategemea watasimama upande wa haki?? we sema kuwa wamejaza makada sio eti hawasupport upinzani ila katiba ikibadilishwa na post hizo zikawekewa utaratibu ili zisingiliwe na wanasiasa hii kauli yako itafikia kikomo.... si unaona kenya rais akisema hivi mahakama kui inasema vile yaani discpline ssa utalinganisha na hapa tz ambapo jaji mkuu alistaafu na akagombea urais kupitia ccm!!! je hapo utashawishi kwa kiasi gani hadi aingir upande wako???
 
be seriouw mkuu context ya russia nigeria kenya ni different na TZ kule kuna makabila makubwa yenye population above 20% ya nchi nzima mfano wakikuyu na wajaluo wanatengeneza almost 45% ya nchi nzima je tanzania wanyakyusa na waskuma wanamake 45% ya nchi??? huku kabila kubwa ni waskuma na limeacha makabila mengine mbali sana ssa ukabila utatokea labda kanda ya ziwa tu thats it ila sio kwenye greater tanganyika.

2. nimeshasema chadema sio extremists ni capitalists wa centre-right ssa huo ubepari wa far right utalinganisha na center right??? afu hoja yako haina mashiko eti pesa ipo kwa wachache to the expense ya majority poor je nikuulize faida kma miundombinu,elimu,afya,usafiri,maji,umeme haufaidiwi na wakenya wote ??? thamani ya shilingi yao na nguvu ya pesa yao (PPP) haisaidii hao maskini majority??? au unafkiri pesa ikishikwa na wachache ndio hazitoi ajira au mzunguko wa pesa? hta nigeria ndpo nyumbani kwa maskini zaidi afrika ila ndio kwa matajiri wakubwa zaidi afrika au ulitaka kuwe na mgawanyo sawa wa pesa hata kma Gdp ni chini ya dola moja kwa siku??? ilimradi usawa so poor analysis...... kasome kwanni marekani inaizidi GDP brunei ingawa kwa PURCHASING POWER PARITY brunei inaiacha mbali sana marekani??? ukipata jibu ndio hutapinga sera za capitalists.
4. kwamba uchaguzi hatufanyi analysis??? ssa analysis mnafanya na matokeo ya NEC?? yaani tuseme tunaibiwa afu tuyatumie hayo hayo?? kwahyo unataka tuamini upinzani tulsihindwa zanzibar kisa we wea communicating with tge wrong audience au tulishindwa tanzania bara kisa hatukubaliko kanda ya ziwa?? eti?? mkuu uchaguzi ukiwa huru na haki ndio analysis hufanyika........ tunachojua ni kwamba mikakati ilishawekwa kupitia vikao vya ndani ssa analysis ni moja tu kma alivyosema lowasa pale karimjee TUME HURU na KATIBA MPYA basi ila kma kujipanga tulijipanga sana na hakuna mwaka watu walihamasika kma 2015 ila kma kura accordin to NEC ni milion 6 inataka tushawishi kiasi gani zaidi ya hapo?? yaani CCM kutoka 80+% 2005 mpaka 58% 2015 je uhamasishaji gani zaidi ulitaka???

TISS sijui polisi hawahitaji kushawishiwa wao as long as wananchi wameamua lazma waheshim sema katiba ndio inakufumba macho ssa kma vyombi hivo wanajazwa makada unategemea watasimama upande wa haki?? we sema kuwa wamejaza makada sio eti hawasupport upinzani ila katiba ikibadilishwa na post hizo zikawekewa utaratibu ili zisingiliwe na wanasiasa hii kauli yako itafikia kikomo.... si unaona kenya rais akisema hivi mahakama kui inasema vile yaani discpline ssa utalinganisha na hapa tz ambapo jaji mkuu alistaafu na akagombea urais kupitia ccm!!! je hapo utashawishi kwa kiasi gani hadi aingir upande wako???
Sasa wewe unfukiri kwasababu Tanzania ina makabila mengi yaliowiana amani haiwezu kutetereka? Hivi unafikiri amani ya Tanzania ni ya asili? Amani yetu ni kitu kilicho fikiriwa kwa makini na kulindwa kwa katiba tulionayo ingawa wengi wanaiona imepitwa na wakati. Kama tusipokuwa na viongozi makini, jambo dogo tuu linaweza kutufanya na sisi tukawa kama wengine walio fyekana mpaka hawajuwi waanzie wapi. Fikiria matatizo tumeyaona kwa majirani zetu, ukiondowa Zambia na Malawi, wengine wote wamepata machafuko ambayo bado wanahangaika kukata mizizi ya chuki iliyojizika kwenye jamii zao.

Nadhani umepitiwa kidogo, lakini ukirudi nyuma utaona sijasema kama Chadema ni far right party, na sidhani kama unaelwa misingi ya Far Right Party. Sidhani kama ungejiunga na Chadema kama wangekuwa ni far right conservatism party. Usifikiri socialism haiwezi huwa na uwezo wa kufanya biashara. China ni nchi mojawapo inakuonyesha kama socialist gov can do business too. France kwa miaka mine iliyo pita imekuwa inaongozwa na socialist party, South Africa leo hii inaongozwa na ANC ambao ni socialist. So kusema kama Kenya kuwa mabepari ndio kumewasaidia kujenga uchumi wao, hilo sio kweli. Social wellbeing ya wakenya iko sawa na watanzania. In fact, wao wanamadeni mengi zaidi na unemployment yao ni mara tatu ya Tanzania. Sisi tunapata watali millioni mbili kwa mwaka wao wanapata lakini nane. Ukweli ni kwamba Kenya pamoja na wanayoyafanya lakini Tanzania tuna nafadi nzuri ya kuwa mbele ya Kenya, tena sio kwasababu ya sera za kibepari za kuwapa wachache wale, bali kwa kukusanya kila mtanzania na kwenda mbele kwa pamoja. (najuwa itikadi yako ya Chadema itakuwa na mtazamo tofauti, lakini hiyo ni kawaida kwenye siasa ya vyama vingi).

Chama chochote cha siasa tena kwenye siasa ya vyama vingi, sio ajabu kwa chama fulani kupanda au kushuka hilo nijambo la kawaida sana. CCM kupata 58% ya kura ni jambo la kawaida tena ukilinganisha jinsi kulivyo kuwa na mvutano kwenye uchaguzi wa 2015. Chama cha Republican cha Marekani, waliporoka sana wakati Baraka Obama alivyo shindwa uchaguzi wa 2008, miaka minane baadae, Republican ndio wanaongiza mabunge yote mawili ya nchini Marekani. Uingereza labour party hivyo hivyo kilikiwa juu miaka ya mwishoni mwa 90 na mwanzoni mwa 2000, lakini hivi sasa hata uchaguzi ndogo zinakuwa mgumu kiashinda. Vyama makini ni vile vinavyo jikusanya na kufanya mabadikiko na kujipanga upya. Chama cha LDP cha Japan kimetawala Japan tokea 1955 mpaka 1993. Lakini pamoja na kuwa na vyama vingine, kimekuwa kikishinda chaguzi mara kwa mara na ndio chama kilicho madarakani hivi sasa chini ya waziri mkuu Abe. Sasa watu wakisema kama chama kimoja hakiwezi kuleta maendelo Japan na China ni mfano mzuri tuu. Kinacho hitajika ni sera na kutooneana aibu pale mmoja anapo boronga kazi.

Sikubaliani na wewe unaposema kwamba wananchi wakikubali basi taasisi kama TISS na Polisi hawana cha kusema. Kwanza kabisa lazima ujuwe, kabla jina la mgombea kuwekwa mbele ya wananchi kuwapigia kura, mtu huyo anakuwa tiyari kapitishwa kwenye mchujo wa taasisi kama hizo hapo juu. Sidhani kama kuna mtu ambaye anajulikana kuwa sio mwaminifu (labda anauza siri za nchi nje) ataruhusiwa hata kujaza fomu ya maombi. Awe CCM, awe Chadema awe CUF yoyote yule. Kwahiyo japo huna imani na taasisi hizo, ukae ukijuwa maamuzi yanafanywa kabla hayajafika kwa wananchi.
 
Sasa wewe unfukiri kwasababu Tanzania ina makabila mengi yaliowiana amani haiwezu kutetereka? Hivi unafikiri amani ya Tanzania ni ya asili? Amani yetu ni kitu kilicho fikiriwa kwa makini na kulindwa kwa katiba tulionayo ingawa wengi wanaiona imepitwa na wakati. Kama tusipokuwa na viongozi makini, jambo dogo tuu linaweza kutufanya na sisi tukawa kama wengine walio fyekana mpaka hawajuwi waanzie wapi. Fikiria matatizo tumeyaona kwa majirani zetu, ukiondowa Zambia na Malawi, wengine wote wamepata machafuko ambayo bado wanahangaika kukata mizizi ya chuki iliyojizika kwenye jamii zao.

Nadhani umepitiwa kidogo, lakini ukirudi nyuma utaona sijasema kama Chadema ni far right party, na sidhani kama unaelwa misingi ya Far Right Party. Sidhani kama ungejiunga na Chadema kama wangekuwa ni far right conservatism party. Usifikiri socialism haiwezi huwa na uwezo wa kufanya biashara. China ni nchi mojawapo inakuonyesha kama socialist gov can do business too. France kwa miaka mine iliyo pita imekuwa inaongozwa na socialist party, South Africa leo hii inaongozwa na ANC ambao ni socialist. So kusema kama Kenya kuwa mabepari ndio kumewasaidia kujenga uchumi wao, hilo sio kweli. Social wellbeing ya wakenya iko sawa na watanzania. In fact, wao wanamadeni mengi zaidi na unemployment yao ni mara tatu ya Tanzania. Sisi tunapata watali millioni mbili kwa mwaka wao wanapata lakini nane. Ukweli ni kwamba Kenya pamoja na wanayoyafanya lakini Tanzania tuna nafadi nzuri ya kuwa mbele ya Kenya, tena sio kwasababu ya sera za kibepari za kuwapa wachache wale, bali kwa kukusanya kila mtanzania na kwenda mbele kwa pamoja. (najuwa itikadi yako ya Chadema itakuwa na mtazamo tofauti, lakini hiyo ni kawaida kwenye siasa ya vyama vingi).

Chama chochote cha siasa tena kwenye siasa ya vyama vingi, sio ajabu kwa chama fulani kupanda au kushuka hilo nijambo la kawaida sana. CCM kupata 58% ya kura ni jambo la kawaida tena ukilinganisha jinsi kulivyo kuwa na mvutano kwenye uchaguzi wa 2015. Chama cha Republican cha Marekani, waliporoka sana wakati Baraka Obama alivyo shindwa uchaguzi wa 2008, miaka minane baadae, Republican ndio wanaongiza mabunge yote mawili ya nchini Marekani. Uingereza labour party hivyo hivyo kilikiwa juu miaka ya mwishoni mwa 90 na mwanzoni mwa 2000, lakini hivi sasa hata uchaguzi ndogo zinakuwa mgumu kiashinda. Vyama makini ni vile vinavyo jikusanya na kufanya mabadikiko na kujipanga upya. Chama cha LDP cha Japan kimetawala Japan tokea 1955 mpaka 1993. Lakini pamoja na kuwa na vyama vingine, kimekuwa kikishinda chaguzi mara kwa mara na ndio chama kilicho madarakani hivi sasa chini ya waziri mkuu Abe. Sasa watu wakisema kama chama kimoja hakiwezi kuleta maendelo Japan na China ni mfano mzuri tuu. Kinacho hitajika ni sera na kutooneana aibu pale mmoja anapo boronga kazi.

Sikubaliani na wewe unaposema kwamba wananchi wakikubali basi taasisi kama TISS na Polisi hawana cha kusema. Kwanza kabisa lazima ujuwe, kabla jina la mgombea kuwekwa mbele ya wananchi kuwapigia kura, mtu huyo anakuwa tiyari kapitishwa kwenye mchujo wa taasisi kama hizo hapo juu. Sidhani kama kuna mtu ambaye anajulikana kuwa sio mwaminifu (labda anauza siri za nchi nje) ataruhusiwa hata kujaza fomu ya maombi. Awe CCM, awe Chadema awe CUF yoyote yule. Kwahiyo japo huna imani na taasisi hizo, ukae ukijuwa maamuzi yanafanywa kabla hayajafika kwa wananchi.
Dahhh kuhusu TISS unanivuruga sana kwahyo TISS iliona kikwete is better than slaa au dk salim...... hvi hao TISS ni vilaza kiasi gani yaani kikwete aliharibu hii nchi hadi kukawa na ufisadi kila eneo, udini, uchumi kuporomoka, shilingi kufa, ndio wanaona ni bora kulilo slaaa 2010 au ccm iliotupa umaskini miaka 50 ndio kikawa bora kuliko ukawa 2015??? hivi hao TISS wanaona ccm ndio bora kuliko kitu chochote tanzania???? sema tu kuwa TISS inatumika na chama dola ila huwezi sema eti lowasa kujaza fomu chadema ni sababu ya usalama wa taifa kuamua thats BS. Usalama wa Taifa unatakiwa uache uchaguzi uwe huru na haki ssa kma walishaona lowasa na magu wanafaa wangeacha mtanange afu anayeshinda wamsupport ila kituko ni wwe unayesema eti WANAANAGALIA ATAKAYEKUWA BETTER ssa kweli ccm imetupa umaskini kila eneo kuanzia uchumi mpaka elimu mpaka afya ndio TISS wanawaona ni bora kuiongoza tanzania..... kma ni hivyo basi TISS is the most bogus espionage hapa duniani coz they always make the wrong choice nchi inazidi kuporomoka tu!!!!!!

2. Kuhusu ubepari ndo nasema Human development index ya mkenya na mtz ni sawa??? hivi unajua kenya kwa kiasi chochote cha pesa ulichonacho unaweza kusurvive coz pesa yao ina nguvu sana?? afu hizo statistics zako hazina mashiko ssa watalii million mbili kwa mimbuga ya wanyama almost 20 wakati wenzenu wana 2 tu na wanapata laki nane!!!! usulinganishe resources za kenya na TZ wenzetu wameweza kuutilize resources chache walizo nazo sio nyie mnakila kitu mpaka bandari zaidi ya 5 wenzenu wana kubwa moja tu ila bado hamuwafikii afu mkija humu mnasema KENYA watalii wachache kuliko tz???? so watsa the essence ya kuwa na watalii wengi afu hakuna faida..... wenzenu wana ndege zao wenyewe sio nyie mtalii anakuja tz anatumia precision air ambayo faidi haiingii directly wenzenu atapanda kenya airways na pesa yote anaacha kenya coz kuna amenities zote anazohitaji sio tz mpaka blueband na toilet paper mnatoa kenya mnafkiri faida mtaiona????
so mkuu usijilinaginishe na kenya hata kidogo maana najua wangepewa geita tu au mtwara sahvi wangekuwa top Africa.

3.amani amani amani so what??? tuna amani and then maskini ssa hyo amani imesaidia nni miaka 50 kma nchi ni maskini?? hvo kukosekana kwa vita kunamsaidia nni mtanzania wa ushetu anayeshindia maembe hta hela ya kununua unga kilo moja hana??? eti?? unaoona hawana amani kma rwanda ug sijui kenya mbona wametuacha mbali ssa amani bila purpose ya maendeleo ya kiuchumi haina maana........ huwezi ukawa na amani ya kweli kma maisha ni magumu labda usema HAKUNA VITA sio useme kuna AMANI.... yaani nishindie dagaaa na uji ndo useme kuna amani????? We nani aliekwambia wapinzani hawapendi amani?? ushawahi ona vyama extremists kma hamas au FDLR hapa tanzania aua ndo mmekaririshwa kuwa wapinzani wakishinda nchi inaingia kwenye vita??? duh

4.Haya turudi kwenye uchumi wa socialism ndo nasema hao sauzi una uhakika walianza wakiwa socialists au walikuta nchi imeshatengemaa kwa capitalism.?? eti sauzi wangeanza toka day 1 au france unafkiri leo wangekuwa hapo walipo??? anyway bas nikubaliane na wwe kuwa socialism can work hya kwa context ya tanzania tukubali imeshindwa kwa miaka 50 sasa kwanni tusibadilike?? kwani lazma tung'ang'anie mfumo moja milele hata kma umeprove to be a failure yaani kisa SOCIALISM WORKS IN CHINA AND S AFRICA bas hta kma sisi umegoka kuwork for 50 yeara tuendelee nao tu???? insanity is keep repeating the same things over and over again while expectin different results!!!!

5. amani ya tanzania iko natural coz waTZ waoga sana kureact unlike wakenya au ug wanaohoji kila kitu pia Nyerere alifanya efforts kuuzika kwa kuabolish mahakama za kidini na kikabila ila thr is nothin like CCM kuleta amani...... huo ni uongo wao ndo huvunja huwezu sema eti HATA WAPINZNAI WAKISHINDA HATUTAWARUHUSU KUINGIA IKULU really???? hapo chadema wangeanzisha vikundi vya kigaidi kweli mngesema wapinznai hawataki amani?? au kule zenji maalim seif akiwadhamini al shabaab waihujumu serikali ya zenji mtasema nani kasababisha amani kupotea??? CCM ndio mmeleta chuki za kisiasa zenji je hyo sio amani kupotea?? Nyie mnavuruga amani kwa kutoheshim mipaka ya demokrasia ssa nape kusimama na kusema chadema ni ya wakrisyo na wachagga afu cuf ya waislam ulitegemea nni ktokee kma sio mpasuko au magufuli kupiga kampeni busega huko na magu kwa kiskuma ulioma sawa tu ??? embu mkuu kuwa objective ccm wanaua amani ya nchi hiii tofauti zetu za kichama zisitufabye vipofu.

sio ajabu chama kupanda na kushuka ??? hoja yangu nlisema TUSHAWISHI VP ZAIDI ILI UONE TUNAWEZA ONGOZA NCHI ukasema hatujashawishi the right people ndo mekupa statistics kuwa from 16% 2005 mpaka 42% 2015 na ccm wao imeshuka kwa zaidi ya 25% ssa hapo nani kashawishi the right people in 10 recent years???? njooo na statistics ndio ntakuelewa maneno hayasaidiii ssa kusema hatuwezi shawishi wakati hata NEC inaonyesha gap ni dogo tokea vyama vingi vianze wwe umekalia tu HAUJASHAWISHI ndio unipe data ssa watu gani hao hatujashawishi ambao kwenye zile kula million 6 za NEC hatukuwashawishu?????
 
Dahhh kuhusu TISS unanivuruga sana kwahyo TISS iliona kikwete is better than slaa au dk salim...... hvi hao TISS ni vilaza kiasi gani yaani kikwete aliharibu hii nchi hadi kukawa na ufisadi kila eneo, udini, uchumi kuporomoka, shilingi kufa, ndio wanaona ni bora kulilo slaaa 2010 au ccm iliotupa umaskini miaka 50 ndio kikawa bora kuliko ukawa 2015??? hivi hao TISS wanaona ccm ndio bora kuliko kitu chochote tanzania???? sema tu kuwa TISS inatumika na chama dola ila huwezi sema eti lowasa kujaza fomu chadema ni sababu ya usalama wa taifa kuamua thats BS. Usalama wa Taifa unatakiwa uache uchaguzi uwe huru na haki ssa kma walishaona lowasa na magu wanafaa wangeacha mtanange afu anayeshinda wamsupport ila kituko ni wwe unayesema eti WANAANAGALIA ATAKAYEKUWA BETTER ssa kweli ccm imetupa umaskini kila eneo kuanzia uchumi mpaka elimu mpaka afya ndio TISS wanawaona ni bora kuiongoza tanzania..... kma ni hivyo basi TISS is the most bogus espionage hapa duniani coz they always make the wrong choice nchi inazidi kuporomoka tu!!!!!!

Mm, wewe ni ndugu yangu, nikumaanisha kama ni mtanzania mwenzangu, lakini kama nikichukulia kauli zako hapa ndio mtazamo wa upinzani, basi ninauhakika CCM watakuwepo ulingoni kwa muda usiojulikana.

Hivi unaelwa role ya TISS katika kutafuta kiongozi mwenye sifa zinazo stahili? unasema kwanini walimwacha Kikwete awe rais na kuvuruga uchumi, sasa wao ya kikwete kuvuruga uchumu yana wahusu nini? Keyword USALAMA, hii ndio kazi yao sio kuangalia nani anajira au nani hana ajira. kigezo wanachotaka ni je, mtu huyu ana akili timamu? ni mwaminifu, anaweza kutorosha siri za nchi hii nje ya nchi, atajengaje mahusiano na nchi zingine? amesha shukiwa kuwa msaliti wa taifa hili na mambo mengine mengi ya kiusalama?... hayo ya uchumi sijuwi wa juu au wa chini TISS itawaachina wachambuzi wa uchumi na siasa walifuatilie.

Sidhani kama umeangalia Human development index (HDI) ya hivi karibuni kati ya Kenya na Tanzania. kama hijaiona nitakuwekea link hapa ili ujaribu kujiuone kama unacho kisema wewe hakina maana yoyote kwani Kenya na Tanzania hajapisha kitu chochote.

| Human Development Reports

| Human Development Reports

Kenya iko 145 na Tanzania iko 151 sasa tofauti ni nini hapo? tena kuna vipengele vingine tuko juu yao, tena hii ni report 2016. Kinacho nishangaza mimi, ni pale unapochukulia kenya kama ni mfano, this really puzzles me, kama system yao ya ubepari ilikuwa nzuri na endlevu mbona hawako level moja na nchi zilizo kuwa na uchumi sawa na kenya in 1960s kama South Korea, Malaysia, Singapore na wote hao hawana rasilimali kama ilivyo Kenya. Mna bweteka vitisho heka heka Kenya wanavyo penda kujubwetesha lakini mna shindwa kuchunguza ni nini hicho kinacho wabwetesha. Kama wangekuwa na uchumi ulio mzuri si wangetoa ajira kwa vijana wao wote? mbona wapo huku kwetu na sehemu nyingi duniani wanashida na ajira? Nchi ya Kijamaa tokea kuundwa kwake kama Ethiopia,mbona umewaacha Kenya nyuma kiuchumi na wao wanakiri hilo? umejaribu kujiuliza ni kwanini Ethiopia iko juu kuanzia anga, uzalishaji viwandani na mashamabi, uuzaji bidhaa nje hata uzalishaji wa umeme sasa. Sasa swala ni ubepari/ujamaa au ni uchapaji kazi?

Hili la amani sina haja ya kuliongelea, maana wanasema hata amani inalevya.

Sasa umaona ajabu gani kwa chama kupanda na kushuka, hii inaashiria wewe bado ni mgeni kwenye maswala ya siasa, soma historia ya vyama vya siasa vinavyo panda na kushuka na nini ni chembe chembe ya kupanda na kushuka. Nini kili fanya Chadema na kundi lake la ukawa kupanda kutoka 16% to 42%, jibu ni Lowassa, na sarakasi zake za kuhama CCM kwenda Chadema katika dakika za mwisho. Sasa kama tusingekuwa na Lowassa factor, mgepata asilimia ngapi ya kura? Kitu ambacho unakikimbia na nimekuambia before uangalie data za NEC (waambie Chadema wakupatie). 70% ya kura za chadema zilitoka kwenye kundi la vijana wa miaka ya18 - 35. Juu ya 35 ni wachache sana walio wapigia kura Chadema na wengi ni wa Kaskazini. lakini kwa upande wa CCM 80% kura zao zilitoka kwenye kundi la watu wazima miaka ya 40 hadi 65 na kuendelea. Na unafikiri ni kundi gani kati ya hayo mawili wanaamka asubuhi na kwenda kupanga mstari na kupiga kura? jibu ni watu wazima. Vijana wanapenda kupiga kelele lakini mwisho wa siku hawaendi kupiga kura. So, narudia tena, ujumbe mnao hubiri unawafikiwa kundi linalo piga kura au mnategemea muujiza? ikiwa kwa miaka 10 Chadema mmeshindwa kuvuka namba ya wanachama millioni 2.5 (core members) kuna dalili ya kushinda uchaguzi kweli?
 
Mm, wewe ni ndugu yangu, nikumaanisha kama ni mtanzania mwenzangu, lakini kama nikichukulia kauli zako hapa ndio mtazamo wa upinzani, basi ninauhakika CCM watakuwepo ulingoni kwa muda usiojulikana.

Hivi unaelwa role ya TISS katika kutafuta kiongozi mwenye sifa zinazo stahili? unasema kwanini walimwacha Kikwete awe rais na kuvuruga uchumi, sasa wao ya kikwete kuvuruga uchumu yana wahusu nini? Keyword USALAMA, hii ndio kazi yao sio kuangalia nani anajira au nani hana ajira. kigezo wanachotaka ni je, mtu huyu ana akili timamu? ni mwaminifu, anaweza kutorosha siri za nchi hii nje ya nchi, atajengaje mahusiano na nchi zingine? amesha shukiwa kuwa msaliti wa taifa hili na mambo mengine mengi ya kiusalama?... hayo ya uchumi sijuwi wa juu au wa chini TISS itawaachina wachambuzi wa uchumi na siasa walifuatilie.

Sidhani kama umeangalia Human development index (HDI) ya hivi karibuni kati ya Kenya na Tanzania. kama hijaiona nitakuwekea link hapa ili ujaribu kujiuone kama unacho kisema wewe hakina maana yoyote kwani Kenya na Tanzania hajapisha kitu chochote.

| Human Development Reports

| Human Development Reports

Kenya iko 145 na Tanzania iko 151 sasa tofauti ni nini hapo? tena kuna vipengele vingine tuko juu yao, tena hii ni report 2016. Kinacho nishangaza mimi, ni pale unapochukulia kenya kama ni mfano, this really puzzles me, kama system yao ya ubepari ilikuwa nzuri na endlevu mbona hawako level moja na nchi zilizo kuwa na uchumi sawa na kenya in 1960s kama South Korea, Malaysia, Singapore na wote hao hawana rasilimali kama ilivyo Kenya. Mna bweteka vitisho heka heka Kenya wanavyo penda kujubwetesha lakini mna shindwa kuchunguza ni nini hicho kinacho wabwetesha. Kama wangekuwa na uchumi ulio mzuri si wangetoa ajira kwa vijana wao wote? mbona wapo huku kwetu na sehemu nyingi duniani wanashida na ajira? Nchi ya Kijamaa tokea kuundwa kwake kama Ethiopia,mbona umewaacha Kenya nyuma kiuchumi na wao wanakiri hilo? umejaribu kujiuliza ni kwanini Ethiopia iko juu kuanzia anga, uzalishaji viwandani na mashamabi, uuzaji bidhaa nje hata uzalishaji wa umeme sasa. Sasa swala ni ubepari/ujamaa au ni uchapaji kazi?

Hili la amani sina haja ya kuliongelea, maana wanasema hata amani inalevya.

Sasa umaona ajabu gani kwa chama kupanda na kushuka, hii inaashiria wewe bado ni mgeni kwenye maswala ya siasa, soma historia ya vyama vya siasa vinavyo panda na kushuka na nini ni chembe chembe ya kupanda na kushuka. Nini kili fanya Chadema na kundi lake la ukawa kupanda kutoka 16% to 42%, jibu ni Lowassa, na sarakasi zake za kuhama CCM kwenda Chadema katika dakika za mwisho. Sasa kama tusingekuwa na Lowassa factor, mgepata asilimia ngapi ya kura? Kitu ambacho unakikimbia na nimekuambia before uangalie data za NEC (waambie Chadema wakupatie). 70% ya kura za chadema zilitoka kwenye kundi la vijana wa miaka ya18 - 35. Juu ya 35 ni wachache sana walio wapigia kura Chadema na wengi ni wa Kaskazini. lakini kwa upande wa CCM 80% kura zao zilitoka kwenye kundi la watu wazima miaka ya 40 hadi 65 na kuendelea. Na unafikiri ni kundi gani kati ya hayo mawili wanaamka asubuhi na kwenda kupanga mstari na kupiga kura? jibu ni watu wazima. Vijana wanapenda kupiga kelele lakini mwisho wa siku hawaendi kupiga kura. So, narudia tena, ujumbe mnao hubiri unawafikiwa kundi linalo piga kura au mnategemea muujiza? ikiwa kwa miaka 10 Chadema mmeshindwa kuvuka namba ya wanachama millioni 2.5 (core members) kuna dalili ya kushinda uchaguzi kweli?
Sasa mkuu twende mbele turudi nyuma GDP ya purchasing power parity ndio hutumika kupima hali ya maisha ya wananchi wote maana GDP tu inaweza kuwa ni ya jumla ila kwa mwananchi wa kawaida haimsaiidii chochote kwahyo PPP kenya wametuacha mbali sana waweza enda wikipedia uangalie rankings za GDP (ppp) ndio utaelewa hatua kenya wamepiga na kutuacha wakati mwaka 1965 tulikuwa sawa kiuchumi. Usiseme walikuwa sawa na korea huku husemi tz tulikuwa sawa na malaysia ila sahvi wametuacha uchumi wetu mara 30????????

sijakataa socialism ni nzuri as u claim hoja yangu ni kwamba kma haijawork for 50 years kwanni mng'ang'anie for ethiopia maybe imework ndo maana hawaiachi ssa kituko ni nyie sera imewashinda ila bado mnang'ang'ania afu mnategemea muujiza gani utawapeleka kwenye maendeleo???? eti umeshindwa ssa mnang'ang'ania wa nni???

3.This is so funny!! TISS haihusiki na uchumi??? ssa kitengo cha SFO kipo huko TISS kwa mapambo au??? mmejaza watu wenu NSSF kwa mapambo ama??? embu mkuu kuwa serious dunia ya sasa ni vita za kiuchumi sio kisiasa au kijeshi ndio maana unaona china na us wanapambama kiuchumi maana ukimzidi uchumi mwenzako ndio umemzidi nguvu na ushawishi ssa kma TISS uchumi hauwahusu je marekani au kenya haiwezi kutumaliza kwa kutimia uchumi wetu kma zimbabwe au japan walivyomalizwa na US??? haya basi tuseme usalama sijui kutunza siri enheeee ujangili kutoka tembo laki 500,000 hadi kufika tembo 5000 bado tu waliona kikwete ni bora kwa usalama wetu?? mikataba mibovu ya madini kma buzwagi ambao wazungu waligeuza nchi yetu shamba la bibi bado tu unaona ni better kwa usalama kulilko slaa??? hya madawa ya kulevya yanapitishwa tu haya makontena bandarini bila kubanwa hata kodi hailipwi hivyo kuua uchumi wa nchi sasa TISS waliona ni bora huyo kuliko Slaa aliyepambana sana bungeni kuwawajibisha mafisadi ya CCM?? dah TISS kweli vilaza sana trust me yaani kikwete ni bora kuliko mwandosya au dk salim daaaaaah eti USALAMA wakati ni kipindi chake mauaji ya albino na vurugu za udini ziliibuka bado tu TISS waliona ni right person??? anyway sikushangai kwakuwa ushasema UCHUMU HAUWAHUSU TISS ssa najiuliza uchumi ukicollapse huoni tutawapa nafasi maadui kutumaliza kirahisi ??? if its trueee then TISS ni vilaza wa mwisho kukubali kuacha kushughulikia uchumi eti USALAMA WA KISIASA TU !!!! ambao kung'oa kucha wapinzani wanaopinga mafisadi ya epa na escrow hku yakiwaacha mafisadi ya richmond na escrow ndio yatawale eti USALAMA.

5.Mkuu kuhusu chaguzi kma umesoma Time series utanielewa kwenye trend reading tunaangalia seasonal variation si eti..... ssa kma lowasa ndio alileta 40% mbona husemi serikali za mitaaa kutoka 1% 2009 to 40% 2014 (ukitoa mapingamizi ) je huoni hapo lowasa hakuwepo na kura ziliongezeka??? mbona husemi 2010 upinzani ulipata 38% wakati ccm iliporomoka from 84% to 62% eti lowasa alikuwepo upinzani au ccm?????

by the way hizo statistics za NEC wazitoa wapi mkuu??? walikuwepo kujua waliowapa kura wapinzani ni wazee au vijana??? kulifanyika exit poll?? margin of error ni ngapi???

anyway kma ni hivyo kumbuka 70% ya watanzania are below 40 years na above 40 ni 30% pekeee ssa kma UKAWA walilenga ile 70% ya population huoni walilenga vyema??? hvi ina maana ccm kwenye 30% ndo wakapata kura milion 8 na wapinzani kwenye 70% ya watz walipata million 6??? duuuuh yaani naoma waleta assumptions za proportions ambazo hazipo??? hvi wapiga kura 2015 unajua vijana wangapi walihamasika??? ndio maana gap ni ndogo assuming hakuna kura iliyoibwa ssa unawezaje sema kwa gap ile eti chadema walipigiwa kura na vijana wachache na wazee ndo wakapigia ccm kwenye 14 milion voters ??? r u serious???? yaani wazee below 30% ndo wasababishe ccm ipate 58% votes yaani population ya wazee above 40 years ambayo ni 15 milion ndo wakawapatua ccm 8 milion votes ila population ya below 40 yaani 35 milion ndo ikawapatia upinzani 6 miliom votes hahhahaha so funny indeed hku unasahau waliojiandikisha kupiga kura wengi walikuwa below 40 na wanaichukia ccm ssa sijui hizo statistics umezitoa wapi??

Ati kura zilitoka kaskazini??? aseeee unajua kura za kanda ya pwani ni ngapi compared to za kaskazini??? kaz kwelikweli...... ila husemi magufuli alipata kura nyingi kanda ya ziwa kuliko kanda zote!!!! dah kaz kwelikweli
 
Sasa mkuu twende mbele turudi nyuma GDP ya purchasing power parity ndio hutumika kupima hali ya maisha ya wananchi wote maana GDP tu inaweza kuwa ni ya jumla ila kwa mwananchi wa kawaida haimsaiidii chochote kwahyo PPP kenya wametuacha mbali sana waweza enda wikipedia uangalie rankings za GDP (ppp) ndio utaelewa hatua kenya wamepiga na kutuacha wakati mwaka 1965 tulikuwa sawa kiuchumi. Usiseme walikuwa sawa na korea huku husemi tz tulikuwa sawa na malaysia ila sahvi wametuacha uchumi wetu mara 30????????

sijakataa socialism ni nzuri as u claim hoja yangu ni kwamba kma haijawork for 50 years kwanni mng'ang'anie for ethiopia maybe imework ndo maana hawaiachi ssa kituko ni nyie sera imewashinda ila bado mnang'ang'ania afu mnategemea muujiza gani utawapeleka kwenye maendeleo???? eti umeshindwa ssa mnang'ang'ania wa nni???

3.This is so funny!! TISS haihusiki na uchumi??? ssa kitengo cha SFO kipo huko TISS kwa mapambo au??? mmejaza watu wenu NSSF kwa mapambo ama??? embu mkuu kuwa serious dunia ya sasa ni vita za kiuchumi sio kisiasa au kijeshi ndio maana unaona china na us wanapambama kiuchumi maana ukimzidi uchumi mwenzako ndio umemzidi nguvu na ushawishi ssa kma TISS uchumi hauwahusu je marekani au kenya haiwezi kutumaliza kwa kutimia uchumi wetu kma zimbabwe au japan walivyomalizwa na US??? haya basi tuseme usalama sijui kutunza siri enheeee ujangili kutoka tembo laki 500,000 hadi kufika tembo 5000 bado tu waliona kikwete ni bora kwa usalama wetu?? mikataba mibovu ya madini kma buzwagi ambao wazungu waligeuza nchi yetu shamba la bibi bado tu unaona ni better kwa usalama kulilko slaa??? hya madawa ya kulevya yanapitishwa tu haya makontena bandarini bila kubanwa hata kodi hailipwi hivyo kuua uchumi wa nchi sasa TISS waliona ni bora huyo kuliko Slaa aliyepambana sana bungeni kuwawajibisha mafisadi ya CCM?? dah TISS kweli vilaza sana trust me yaani kikwete ni bora kuliko mwandosya au dk salim daaaaaah eti USALAMA wakati ni kipindi chake mauaji ya albino na vurugu za udini ziliibuka bado tu TISS waliona ni right person??? anyway sikushangai kwakuwa ushasema UCHUMU HAUWAHUSU TISS ssa najiuliza uchumi ukicollapse huoni tutawapa nafasi maadui kutumaliza kirahisi ??? if its trueee then TISS ni vilaza wa mwisho kukubali kuacha kushughulikia uchumi eti USALAMA WA KISIASA TU !!!! ambao kung'oa kucha wapinzani wanaopinga mafisadi ya epa na escrow hku yakiwaacha mafisadi ya richmond na escrow ndio yatawale eti USALAMA.

5.Mkuu kuhusu chaguzi kma umesoma Time series utanielewa kwenye trend reading tunaangalia seasonal variation si eti..... ssa kma lowasa ndio alileta 40% mbona husemi serikali za mitaaa kutoka 1% 2009 to 40% 2014 (ukitoa mapingamizi ) je huoni hapo lowasa hakuwepo na kura ziliongezeka??? mbona husemi 2010 upinzani ulipata 38% wakati ccm iliporomoka from 84% to 62% eti lowasa alikuwepo upinzani au ccm?????

by the way hizo statistics za NEC wazitoa wapi mkuu??? walikuwepo kujua waliowapa kura wapinzani ni wazee au vijana??? kulifanyika exit poll?? margin of error ni ngapi???

anyway kma ni hivyo kumbuka 70% ya watanzania are below 40 years na above 40 ni 30% pekeee ssa kma UKAWA walilenga ile 70% ya population huoni walilenga vyema??? hvi ina maana ccm kwenye 30% ndo wakapata kura milion 8 na wapinzani kwenye 70% ya watz walipata million 6??? duuuuh yaani naoma waleta assumptions za proportions ambazo hazipo??? hvi wapiga kura 2015 unajua vijana wangapi walihamasika??? ndio maana gap ni ndogo assuming hakuna kura iliyoibwa ssa unawezaje sema kwa gap ile eti chadema walipigiwa kura na vijana wachache na wazee ndo wakapigia ccm kwenye 14 milion voters ??? r u serious???? yaani wazee below 30% ndo wasababishe ccm ipate 58% votes yaani population ya wazee above 40 years ambayo ni 15 milion ndo wakawapatua ccm 8 milion votes ila population ya below 40 yaani 35 milion ndo ikawapatia upinzani 6 miliom votes hahhahaha so funny indeed hku unasahau waliojiandikisha kupiga kura wengi walikuwa below 40 na wanaichukia ccm ssa sijui hizo statistics umezitoa wapi??

Ati kura zilitoka kaskazini??? aseeee unajua kura za kanda ya pwani ni ngapi compared to za kaskazini??? kaz kwelikweli...... ila husemi magufuli alipata kura nyingi kanda ya ziwa kuliko kanda zote!!!! dah kaz kwelikweli
Kwanza lazima uelwe, tofauti ya per capita kati ya Kenya na Tanzania ni $ 560. Huu ni mgawanyo wa kipato chote cha nchi kwa kila mwananchi. Kenya wako $1522 Tanzania tuko $960, PPP Kenya wako $3,360 Tanzania $3,097. Sasa hapo kuna tofauti ya kusema kama Kenya wametuacha mbali sana?? Sidhani kama Kenya inafaa kuwa kipimo chetu cha maendelo. Japo ni wenzetu katika EAC na ni majirani zetu lakini hatutakiwi kutumia Kenya kama kipimo, tulitakiwa kuangalia nchi za mashariki ya mbali kupata hamasa za maendelo.

Wenzetu wa nchi zilizoendelea (Bara la ulaya, bara la Marekani ya kaskazini) wametumia itikadi zote mbili (ubepari na ujamaa) kwa zaidi ya miaka 200. Nchi kama Marekani, chama cha Republican ni chama cha kibepari, Democrat ni chama cha kijamaa. Canada hivyo hivyo, Uingereza ni hivyo hivyo. Wakati sisi tuna kwaruzana ni itikadi gani ndio ina faa kutatuwa matatizo yetu, wenzetu they’re having the best off both sides.

Naona hawa jamaa wa TISS wamekukwaza sana, labda ni swala la sintofahamu. SFO hata kama ikitokea kuwa ni kitengo cha TISS, hawatahusika na mustabali wa kuhakiki mtu yoyote anayetaka kuchukuwa nafasi ya uongozi. Nikuulize swali moja, hivi unaweza kuiona afisa wa SFO ana kakimbizane na magaidi mtaani? There is no connection kati ya watu wanotumika kwenye vetting ya viongozi na watu wanotumika kudhibiti financial crimes. Kwa hiyo hoja yako ya kuwa TISS ndio wamemuweka rais kikwete avurunda uchumi na wao ndio wanamlinda hilo sio kweli. It's kind of funny to hear a Chadema supporter ambao wanasema ni bora ya kikwete kuliko Mangufuli). Na ukumbuke uchumi wetu unakuwa monitored na benki kuu chini ya wizara ya fedha na mipango kuliko watu wa usalama. Na ndio maana benki kuu wanatowa ripoti ya uchumi kila mwezi, kutuhabarisha mustakabali wa nchi yetu.

Mkuu, unapo chukulia kuwa 70% ya watanzania ni below 35yrs of age, lakini ukimbuke kuwa hao 70% ya sio wote wanaoruhusiwa kupiga kura. Wengi katika hilo kundi ni watoto wa chini ya miaka 18 ambao hawaruhusiwi kupiga kura. Uchaguzi wa 2015 ulikiwa na jumla ya wapiga kura millioni 23.3, kati ya hao vijana wa umri wa miaka 18 - 35 walikuwa 57%. Umri wa 36 - 50 walikuwa 25% na zaidi ya umri wa 50 walikuwa 18%. Sasa unafikiri ukawa walipigiwa kura na vijana wote 57%? Ukumbuke kuna wafuasi wangapi wa Ukawa na Chadema walio kasirishwa na kumleta Lowassa na kumuondoa kipenzi chao Slaa? Inajulika dunia zima, vijana wana hulka ya juu sana wakati wa kampeni kabla ya uchaguzi, lakini siku ya kupanga foleni na kupiga kura hawaonekani, hii inadhihirisha kwenye uchaguzi wa 2015. Walioandikishwa ni milioni 23, waliopiga kura million 16, millioni 7 walilala nyumbani bila kupiga kura. Unaona jinsia hao target voters wenu wanavyo waangisha?

Sina tatizo na kuongea kuhisu uchaguzi wa serikali za mitaa, kwanza sina uhakika na 40% unayosema kuwa Ukawa walishinda kulinganisha na 2009. Hebu angalia matokeo kamili hapa chini

CCM yaongoza matokeo ya jumla serikali za mitaa | East Africa Television

Hata kama mmeshida kura au viti vingi so what, kwani nyinyi ni wacongo au wazambia kwamba hamruhusiwi kushinda uchaguzi Tanzania? Japo unasema Lowassa hakusaidia kushinda kwasababu alikuwa bado hajajiunga, lakini ukawa haukusaidia? Even though ukawa ni umoja usio kuwa na uwiano ulio sawa lakini umesahidia sana kuongeza kura kwa upinzani. Tusubiri mwakani kwenye uchaguzi mwingine wa serikali za mitaa tuone kama bado nguvu ya Ukawa inaweza kushindana na CCM.

Kitu ambacho you guys hamkijuwi, CCM ni muajiri mkubwa wa political scientist, research, stratagist, activest na legal advisors. Kazi yao kubwa ni kupitia statistics zote na kujenga hoja ya wapi pakwenda na nini cha kufanya kuwafikia walemgwa.
 
Kwanza lazima uelwe, tofauti ya per capita kati ya Kenya na Tanzania ni $ 560. Huu ni mgawanyo wa kipato chote cha nchi kwa kila mwananchi. Kenya wako $1522 Tanzania tuko $960, PPP Kenya wako $3,360 Tanzania $3,097. Sasa hapo kuna tofauti ya kusema kama Kenya wametuacha mbali sana?? Sidhani kama Kenya inafaa kuwa kipimo chetu cha maendelo. Japo ni wenzetu katika EAC na ni majirani zetu lakini hatutakiwi kutumia Kenya kama kipimo, tulitakiwa kuangalia nchi za mashariki ya mbali kupata hamasa za maendelo.

Wenzetu wa nchi zilizoendelea (Bara la ulaya, bara la Marekani ya kaskazini) wametumia itikadi zote mbili (ubepari na ujamaa) kwa zaidi ya miaka 200. Nchi kama Marekani, chama cha Republican ni chama cha kibepari, Democrat ni chama cha kijamaa. Canada hivyo hivyo, Uingereza ni hivyo hivyo. Wakati sisi tuna kwaruzana ni itikadi gani ndio ina faa kutatuwa matatizo yetu, wenzetu they’re having the best off both sides.

Naona hawa jamaa wa TISS wamekukwaza sana, labda ni swala la sintofahamu. SFO hata kama ikitokea kuwa ni kitengo cha TISS, hawatahusika na mustabali wa kuhakiki mtu yoyote anayetaka kuchukuwa nafasi ya uongozi. Nikuulize swali moja, hivi unaweza kuiona afisa wa SFO ana kakimbizane na magaidi mtaani? There is no connection kati ya watu wanotumika kwenye vetting ya viongozi na watu wanotumika kudhibiti financial crimes. Kwa hiyo hoja yako ya kuwa TISS ndio wamemuweka rais kikwete avurunda uchumi na wao ndio wanamlinda hilo sio kweli. It's kind of funny to hear a Chadema supporter ambao wanasema ni bora ya kikwete kuliko Mangufuli). Na ukumbuke uchumi wetu unakuwa monitored na benki kuu chini ya wizara ya fedha na mipango kuliko watu wa usalama. Na ndio maana benki kuu wanatowa ripoti ya uchumi kila mwezi, kutuhabarisha mustakabali wa nchi yetu.

Mkuu, unapo chukulia kuwa 70% ya watanzania ni below 35yrs of age, lakini ukimbuke kuwa hao 70% ya sio wote wanaoruhusiwa kupiga kura. Wengi katika hilo kundi ni watoto wa chini ya miaka 18 ambao hawaruhusiwi kupiga kura. Uchaguzi wa 2015 ulikiwa na jumla ya wapiga kura millioni 23.3, kati ya hao vijana wa umri wa miaka 18 - 35 walikuwa 57%. Umri wa 36 - 50 walikuwa 25% na zaidi ya umri wa 50 walikuwa 18%. Sasa unafikiri ukawa walipigiwa kura na vijana wote 57%? Ukumbuke kuna wafuasi wangapi wa Ukawa na Chadema walio kasirishwa na kumleta Lowassa na kumuondoa kipenzi chao Slaa? Inajulika dunia zima, vijana wana hulka ya juu sana wakati wa kampeni kabla ya uchaguzi, lakini siku ya kupanga foleni na kupiga kura hawaonekani, hii inadhihirisha kwenye uchaguzi wa 2015. Walioandikishwa ni milioni 23, waliopiga kura million 16, millioni 7 walilala nyumbani bila kupiga kura. Unaona jinsia hao target voters wenu wanavyo waangisha?

Sina tatizo na kuongea kuhisu uchaguzi wa serikali za mitaa, kwanza sina uhakika na 40% unayosema kuwa Ukawa walishinda kulinganisha na 2009. Hebu angalia matokeo kamili hapa chini

CCM yaongoza matokeo ya jumla serikali za mitaa | East Africa Television

Hata kama mmeshida kura au viti vingi so what, kwani nyinyi ni wacongo au wazambia kwamba hamruhusiwi kushinda uchaguzi Tanzania? Japo unasema Lowassa hakusaidia kushinda kwasababu alikuwa bado hajajiunga, lakini ukawa haukusaidia? Even though ukawa ni umoja usio kuwa na uwiano ulio sawa lakini umesahidia sana kuongeza kura kwa upinzani. Tusubiri mwakani kwenye uchaguzi mwingine wa serikali za mitaa tuone kama bado nguvu ya Ukawa inaweza kushindana na CCM.

Kitu ambacho you guys hamkijuwi, CCM ni muajiri mkubwa wa political scientist, research, stratagist, activest na legal advisors. Kazi yao kubwa ni kupitia statistics zote na kujenga hoja ya wapi pakwenda na nini cha kufanya kuwafikia walemgwa.
Duh asee sijui hta nianzie wapi!!!

anyway natumia kenya kukupa mfano tu kuwa nchi yenye resources chache na territory ndogo kuliko sisi bado tulianza tukiwa sawa kiuchumi leo hii wametuacha hta shilingi inaingia mara 20 kwao ndo maana natumia mfano wao?? yaani ssi tuna kila kitu ila hatuwawezi nlifkiri utajifunza kitu hapo kumbe wwe unataka tutumie mifano ya mbali wakati jirani zetu tu tumeshindwa kuwa compared nao??? yaani tunazidiwa GDP hata kma kidogo na nchi ambayo rasilmali zake hazifiki hata 20% ya za TZ afu unaona sawa eti gap dogo??? really?? yaani kila kitu wanatuacha sio utalii sio housing sio uwekezaji sio usafiri eti GAP dogo???

2. TISS naongelea kuhusu hoja yako eti usalama wa taifa wako interested na AMANI YA KISIASA sio uchumi ndio nikahoji basi TISS ni vilaza maana hawajui dunia ya sasa vita ni ya kiuchumi na hta ukifuatilia CIA kuimaliza iran walitumia UCHUMI wao same case kwa japan waliivuruga kiuchumi na wakaimaliza hta bila kurusha risasi!!!! kwahyo kma wwe mwanaccm na unasema kwamba ni bora mtu anayelinda amani ya kisasa kuliko amani ya kiuchumi then HII NCHI IMEOZA KULIKO TUNAVYOWEZA FIKIRI!!! ndo nkauliza kuwa TISS waliona kikwete ndo right person wa kuwa rais kwa miaka 10??? hata nchi ilipomshinda bado tu TISS waliona is better than slaa or mbowe???? basi hao TISS ndio wametufkisha hapa tulipo wanastahili kunyongwa maana kwa miaka 50 wanakilinda chama ambacho kimetuletea umaskini mkubwa ndio unasema AMANI??? amani ina tija gani kma unalala njaa???? VAGYE POINT

3.bado tu unang'ang'ania ubepari sijui wanatumia both duh! hoja yangu bado ni kuwa hao wanatumia both or ono coz its workin out for them toka day one ssa mie nakuuliza wwe kma sera haifanyi kazi mwaka wa 50 ssa nchi yetu kati ya nchi maksini zaidi duniani je kuna haja ya kuwaiga hao canada ambao as u claim wametumia hizo sera kwa miaka 200 hta kma kwetu imegoma kuwork??? yaani tusubiri mpaka lini mpaka tuamue mabadiliko ya kweli ya kisera na dira ya taifa????

4. by the way hakuna aliesema kikwete is better than magu wote tu kwangu they r all the same hao ccm mlituahidi maisha bora mpaka leo mwaka wa 12 hakuna lolote, kilimo kwanza sijui hakuna lolote yaani kila kitu failure so sina imani na yeyote as long as yuko CCM unless atoke humo kwenye mfumo uliooza hapo ntashawishika kidogo.......

5.serikalo za mitaa nmeeleza kabisa kuwa ukitoa yale mapingamizi 5000 ambapo uchaguzi haukufanyika kabisa yaani tuhesabie maeneo ambapo uchaguzi ulifanyika utagundua UKAWA ulipata almost 40% ya kura zote na lowasa hakuwepo so usije na propaganda kuwa bila lowasa tusingefikisha hta hizo 42% za 2015!!!!!

khusu NEC nshasema vijana walihamasika sana kuliko wakati wowote na hilo hata wwe unajua ila ushabiki wa kivyama unakufanya ujitoe ufahama...... vijana walihamsika na walichagua mabadiliko kilichotumaliza ni NEC basi na katiba mbovu otherwise ccm ingekuwa chama cha upinzani najua utabisha ila ukiona watu wanafukuzana kwa usaliti wakati MTU ANADAI ALISHINDA ujue nyuma ya pazia wanaujua ukweli ndio maana wanaretaliate kma mngenshinda msingevamia LHRC maana its obvious kma ingeindicate magu kashinda mngewakamata??? au mngezuia mikutano ya kisisa kma mnajiamini mlishinda??? mnaogopa nni??? ukweli unaujua mkuu 2015 kila mtu alikuwa mwanasiasa hayo ya kusema vijana walilala hayana ushahidi wowote maana NEC hawakufanya EXIT POLL so usidanganye eti vijana hawakupiga kura !!!

6. Najua ccm mna strategists wazuri sana ambao wanawasaidia kutumia mbinu chafu kutushinda kila mwaka ila kma strategist wasingewashauri kuchakachua katiba sijui kujaza makada jeshini trust me leo hii CCM ingekuwa imezikwa yaani mnashabikia kuwa na strategist wa mbinu chafu eti kuiba kura??? hata aibu hamuoni ...... hivi nikuulize kwa 2015 ccm ilikuwa na lipi la kushawishi watz wawaelewe??? eti mpaka ishinde??? be serious mkuu anayewabeba kwa sasa ni magu maana ndo ameingia so watu bado wanamskilizia ikifika 2020 uchumi uko ICU kma ssa hvi dah labda kusiwe na tume huru tu ila watanzania watawahukumu.

NB: Leta statistical facts sio maneno ssa kma hapo eti slaa aliondoka na wanachama really??? wakati hata kwake karatu jimbo na almost kata zote zipo chadema ssa kma nyumbani alikataliwa sembuse tz nzima??? kma huna data ni heri ukae kimya tu kuliko kudanganya yaani mtu aliepuuziwa kirahisi vile ndio agawe kura ??? duuuh si mlisema hata ACT itagawa ila nafkiri mlion waTZ walivyokuwa washafanya maamuzi!!!
 
zitto junior
Jamaa yupo kazini, nazani ni new recruit au ameona wenzake wameshindwa kazi sasa na yeye anajaribu labda wakubwa wa lumumba watamwona.
Kweli kwa macho huoni sasa hata kupapasa huwezi.
Magamba wanachoweza ni kuiba kura tu, the rest ni zero.
 
Duh asee sijui hta nianzie wapi!!!

anyway natumia kenya kukupa mfano tu kuwa nchi yenye resources chache na territory ndogo kuliko sisi bado tulianza tukiwa sawa kiuchumi leo hii wametuacha hta shilingi inaingia mara 20 kwao ndo maana natumia mfano wao?? yaani ssi tuna kila kitu ila hatuwawezi nlifkiri utajifunza kitu hapo kumbe wwe unataka tutumie mifano ya mbali wakati jirani zetu tu tumeshindwa kuwa compared nao??? yaani tunazidiwa GDP hata kma kidogo na nchi ambayo rasilmali zake hazifiki hata 20% ya za TZ afu unaona sawa eti gap dogo??? really?? yaani kila kitu wanatuacha sio utalii sio housing sio uwekezaji sio usafiri eti GAP dogo???

2. TISS naongelea kuhusu hoja yako eti usalama wa taifa wako interested na AMANI YA KISIASA sio uchumi ndio nikahoji basi TISS ni vilaza maana hawajui dunia ya sasa vita ni ya kiuchumi na hta ukifuatilia CIA kuimaliza iran walitumia UCHUMI wao same case kwa japan waliivuruga kiuchumi na wakaimaliza hta bila kurusha risasi!!!! kwahyo kma wwe mwanaccm na unasema kwamba ni bora mtu anayelinda amani ya kisasa kuliko amani ya kiuchumi then HII NCHI IMEOZA KULIKO TUNAVYOWEZA FIKIRI!!! ndo nkauliza kuwa TISS waliona kikwete ndo right person wa kuwa rais kwa miaka 10??? hata nchi ilipomshinda bado tu TISS waliona is better than slaa or mbowe???? basi hao TISS ndio wametufkisha hapa tulipo wanastahili kunyongwa maana kwa miaka 50 wanakilinda chama ambacho kimetuletea umaskini mkubwa ndio unasema AMANI??? amani ina tija gani kma unalala njaa???? VAGYE POINT

3.bado tu unang'ang'ania ubepari sijui wanatumia both duh! hoja yangu bado ni kuwa hao wanatumia both or ono coz its workin out for them toka day one ssa mie nakuuliza wwe kma sera haifanyi kazi mwaka wa 50 ssa nchi yetu kati ya nchi maksini zaidi duniani je kuna haja ya kuwaiga hao canada ambao as u claim wametumia hizo sera kwa miaka 200 hta kma kwetu imegoma kuwork??? yaani tusubiri mpaka lini mpaka tuamue mabadiliko ya kweli ya kisera na dira ya taifa????

4. by the way hakuna aliesema kikwete is better than magu wote tu kwangu they r all the same hao ccm mlituahidi maisha bora mpaka leo mwaka wa 12 hakuna lolote, kilimo kwanza sijui hakuna lolote yaani kila kitu failure so sina imani na yeyote as long as yuko CCM unless atoke humo kwenye mfumo uliooza hapo ntashawishika kidogo.......

5.serikalo za mitaa nmeeleza kabisa kuwa ukitoa yale mapingamizi 5000 ambapo uchaguzi haukufanyika kabisa yaani tuhesabie maeneo ambapo uchaguzi ulifanyika utagundua UKAWA ulipata almost 40% ya kura zote na lowasa hakuwepo so usije na propaganda kuwa bila lowasa tusingefikisha hta hizo 42% za 2015!!!!!

khusu NEC nshasema vijana walihamasika sana kuliko wakati wowote na hilo hata wwe unajua ila ushabiki wa kivyama unakufanya ujitoe ufahama...... vijana walihamsika na walichagua mabadiliko kilichotumaliza ni NEC basi na katiba mbovu otherwise ccm ingekuwa chama cha upinzani najua utabisha ila ukiona watu wanafukuzana kwa usaliti wakati MTU ANADAI ALISHINDA ujue nyuma ya pazia wanaujua ukweli ndio maana wanaretaliate kma mngenshinda msingevamia LHRC maana its obvious kma ingeindicate magu kashinda mngewakamata??? au mngezuia mikutano ya kisisa kma mnajiamini mlishinda??? mnaogopa nni??? ukweli unaujua mkuu 2015 kila mtu alikuwa mwanasiasa hayo ya kusema vijana walilala hayana ushahidi wowote maana NEC hawakufanya EXIT POLL so usidanganye eti vijana hawakupiga kura !!!

6. Najua ccm mna strategists wazuri sana ambao wanawasaidia kutumia mbinu chafu kutushinda kila mwaka ila kma strategist wasingewashauri kuchakachua katiba sijui kujaza makada jeshini trust me leo hii CCM ingekuwa imezikwa yaani mnashabikia kuwa na strategist wa mbinu chafu eti kuiba kura??? hata aibu hamuoni ...... hivi nikuulize kwa 2015 ccm ilikuwa na lipi la kushawishi watz wawaelewe??? eti mpaka ishinde??? be serious mkuu anayewabeba kwa sasa ni magu maana ndo ameingia so watu bado wanamskilizia ikifika 2020 uchumi uko ICU kma ssa hvi dah labda kusiwe na tume huru tu ila watanzania watawahukumu.

NB: Leta statistical facts sio maneno ssa kma hapo eti slaa aliondoka na wanachama really??? wakati hata kwake karatu jimbo na almost kata zote zipo chadema ssa kma nyumbani alikataliwa sembuse tz nzima??? kma huna data ni heri ukae kimya tu kuliko kudanganya yaani mtu aliepuuziwa kirahisi vile ndio agawe kura ??? duuuh si mlisema hata ACT itagawa ila nafkiri mlion waTZ walivyokuwa washafanya maamuzi!!!

Unaona eh, one minute you make sense the next unakurupuka na mihemko. Naona umeanza kuishiwa pumzi, sidhani kama umesoma nilicho andika. Unauliza statistics, hukuona kwamba wapiga kura millioni 7 mlio wategemea hawakujitokeza kupiga kura? Namba zote za matokeo nimekuwekea mpaka za serikali za mitaa nimeweka, sasa unataka statistics gani ambazo wewe mwenyewe huwezi kizitafuta? Find them and prove me wrong

Unanishangaza sana na sidhani hata unasomaga takwimu za aina za nchi hii. Hivi unajuwa kama Zanzibar peke yake ilipata watalii wengi zaidi kuliko Kenya? Achilia mbali Tanzania nzima ambayo tumapata watalii millioni 2 kwa mwaka huku kenya wakipata laki 8 kwa mwaka. FDI ya Tanzania imeipita Kenya mara mbili , $2 bln kwa Tanzania compare to $1bln kwa Kenya. Hakuna nchi yoyote ya EAC iliyoifikia Tanzania kwa FDI. Mwaka huu tunaifukuza $4 bln, wewe unaona tumezubaa ila Kenya wenye madeni mpaka yana watokea puwani ndio unaona wana maana. Kwajinsi unavyo elewa wewe, rasilimali zetu hatuzitumii vizuri. Unafikiri $4bln FDI inatoka wapi? $30bln FDI ya kwenye gesi inatoka wapo? $2bln ya utalii inatoka wapi? hizo sio rasilimali zetu?

Yani nasoma unayoyaandika na baki kucheka tuu, through you naona kilicho ndani ya Chadema. Mmezowea kulishana maneno ya uwongo usio na kifani mwisho wasiku mkishindwa manasema mmeibiwa. Hakuna Exit Poll? What? Hivi unajuwa maana ya exit poll? kwani kulikuwa hakuna wajumbe wa kila chama kwenye kila kituo cha kupiga kura, hawakuusika na zowezi la kuhesabu kura. NEC haikutowa takwimu kwa kila chama? Repoti ya uchaguzi 2015 Chadema haikupata copy? Anyway mlikataa matokeo labda na repoti mlisusa.

Haha, eti kilicho wamaliza ni NEC. Kilicho wamaliza ni harakati, badala ya mikakati, nyinyi mlikimbilia kwenye harakati za kuhamasisha vijana mkasahau kuwa vijana watabaki kuwa vijana. Watakuja kwenye mikutano watazungusha mikono wakitoka hapo hawajasikia hata neno moja. Huku mnamgombea ambaye anakwenda kwenye maeneo ya mijini tuu na kidogo karudi Dar, mara napotea kwenye kampeni wiki nzima. Sasa sijuwi muujiza wa kushinda ingetatoka wapi? Mlitaka kufanya shortcut kupitia vijana hilo bomu limewalipukia mikonini, kitengo cha kuchakachua matokeo kilizimwa. Kwanini usiwachukie TISS.

Ni aibu kuona Chadema inamkashifu Dr. Slaa kama hivi ulivyo msema hapa. Maybe haya ni maneno yako binafsi lakini ni aibu kubwa kwa mtu aliyejitolea vile. Lakini kwanini nishangae ikiwa mtu kama Zitto unaetumia jina lake hapa na yeye mlimwita msaliti. SMH
 
Un
Sasa kama huko ukawa kuna watu kama wema ambao ndio candidates wa uwaziri nani anataka nchi iingie shimoni! Mkae mkijua kuwa post za Instagram sio sawa na kuendesha nchi.

Amwongelea Wema yule yule aliyekuwa kwenye kampeni za chama chetu na msafara wa Makamu wa Rais wakati wa kampeni kwaka 2015???? au huyu unayemwongelea hapa ni mtu tofauti???? kama ni yule yule, nitakuwa na mashaka sana na IQ yako.
 
Back
Top Bottom