Katiba ya CCM na Vyombo vya Dola

Katiba ya CCM na Vyombo vya Dola

Unaona eh, one minute you make sense the next unakurupuka na mihemko. Naona umeanza kuishiwa pumzi, sidhani kama umesoma nilicho andika. Unauliza statistics, hukuona kwamba wapiga kura millioni 7 mlio wategemea hawakujitokeza kupiga kura? Namba zote za matokeo nimekuwekea mpaka za serikali za mitaa nimeweka, sasa unataka statistics gani ambazo wewe mwenyewe huwezi kizitafuta? Find them and prove me wrong

Unanishangaza sana na sidhani hata unasomaga takwimu za aina za nchi hii. Hivi unajuwa kama Zanzibar peke yake ilipata watalii wengi zaidi kuliko Kenya? Achilia mbali Tanzania nzima ambayo tumapata watalii millioni 2 kwa mwaka huku kenya wakipata laki 8 kwa mwaka. FDI ya Tanzania imeipita Kenya mara mbili , $2 bln kwa Tanzania compare to $1bln kwa Kenya. Hakuna nchi yoyote ya EAC iliyoifikia Tanzania kwa FDI. Mwaka huu tunaifukuza $4 bln, wewe unaona tumezubaa ila Kenya wenye madeni mpaka yana watokea puwani ndio unaona wana maana. Kwajinsi unavyo elewa wewe, rasilimali zetu hatuzitumii vizuri. Unafikiri $4bln FDI inatoka wapi? $30bln FDI ya kwenye gesi inatoka wapo? $2bln ya utalii inatoka wapi? hizo sio rasilimali zetu?

Yani nasoma unayoyaandika na baki kucheka tuu, through you naona kilicho ndani ya Chadema. Mmezowea kulishana maneno ya uwongo usio na kifani mwisho wasiku mkishindwa manasema mmeibiwa. Hakuna Exit Poll? What? Hivi unajuwa maana ya exit poll? kwani kulikuwa hakuna wajumbe wa kila chama kwenye kila kituo cha kupiga kura, hawakuusika na zowezi la kuhesabu kura. NEC haikutowa takwimu kwa kila chama? Repoti ya uchaguzi 2015 Chadema haikupata copy? Anyway mlikataa matokeo labda na repoti mlisusa.

Haha, eti kilicho wamaliza ni NEC. Kilicho wamaliza ni harakati, badala ya mikakati, nyinyi mlikimbilia kwenye harakati za kuhamasisha vijana mkasahau kuwa vijana watabaki kuwa vijana. Watakuja kwenye mikutano watazungusha mikono wakitoka hapo hawajasikia hata neno moja. Huku mnamgombea ambaye anakwenda kwenye maeneo ya mijini tuu na kidogo karudi Dar, mara napotea kwenye kampeni wiki nzima. Sasa sijuwi muujiza wa kushinda ingetatoka wapi? Mlitaka kufanya shortcut kupitia vijana hilo bomu limewalipukia mikonini, kitengo cha kuchakachua matokeo kilizimwa. Kwanini usiwachukie TISS.

Ni aibu kuona Chadema inamkashifu Dr. Slaa kama hivi ulivyo msema hapa. Maybe haya ni maneno yako binafsi lakini ni aibu kubwa kwa mtu aliyejitolea vile. Lakini kwanini nishangae ikiwa mtu kama Zitto unaetumia jina lake hapa na yeye mlimwita msaliti. SMH

Kuna mambo unaandika ya maana with a lot of political correctness. Uwe mkweli pia, si unataka kutuaminisha unachosema ni cha kweli na unatoa takwimu? Maana kwa maelezo yako hapo juu, Tanzania iko vizuri sana kiuchumi, si ndiyo? unataka kila mtu aamini hivyo? na aamini kwa kuzingatia takwimu ulizozitoa hapo juu?? Mkuu, umesomea chuo gani uchumi??? si huyo tu jamaa unayejadilia naye hapo juu, unatushangaza watu wengi tunaosoma unachokiandika hapa!
 
Unaona eh, one minute you make sense the next unakurupuka na mihemko. Naona umeanza kuishiwa pumzi, sidhani kama umesoma nilicho andika. Unauliza statistics, hukuona kwamba wapiga kura millioni 7 mlio wategemea hawakujitokeza kupiga kura? Namba zote za matokeo nimekuwekea mpaka za serikali za mitaa nimeweka, sasa unataka statistics gani ambazo wewe mwenyewe huwezi kizitafuta? Find them and prove me wrong

Unanishangaza sana na sidhani hata unasomaga takwimu za aina za nchi hii. Hivi unajuwa kama Zanzibar peke yake ilipata watalii wengi zaidi kuliko Kenya? Achilia mbali Tanzania nzima ambayo tumapata watalii millioni 2 kwa mwaka huku kenya wakipata laki 8 kwa mwaka. FDI ya Tanzania imeipita Kenya mara mbili , $2 bln kwa Tanzania compare to $1bln kwa Kenya. Hakuna nchi yoyote ya EAC iliyoifikia Tanzania kwa FDI. Mwaka huu tunaifukuza $4 bln, wewe unaona tumezubaa ila Kenya wenye madeni mpaka yana watokea puwani ndio unaona wana maana. Kwajinsi unavyo elewa wewe, rasilimali zetu hatuzitumii vizuri. Unafikiri $4bln FDI inatoka wapi? $30bln FDI ya kwenye gesi inatoka wapo? $2bln ya utalii inatoka wapi? hizo sio rasilimali zetu?

Yani nasoma unayoyaandika na baki kucheka tuu, through you naona kilicho ndani ya Chadema. Mmezowea kulishana maneno ya uwongo usio na kifani mwisho wasiku mkishindwa manasema mmeibiwa. Hakuna Exit Poll? What? Hivi unajuwa maana ya exit poll? kwani kulikuwa hakuna wajumbe wa kila chama kwenye kila kituo cha kupiga kura, hawakuusika na zowezi la kuhesabu kura. NEC haikutowa takwimu kwa kila chama? Repoti ya uchaguzi 2015 Chadema haikupata copy? Anyway mlikataa matokeo labda na repoti mlisusa.

Haha, eti kilicho wamaliza ni NEC. Kilicho wamaliza ni harakati, badala ya mikakati, nyinyi mlikimbilia kwenye harakati za kuhamasisha vijana mkasahau kuwa vijana watabaki kuwa vijana. Watakuja kwenye mikutano watazungusha mikono wakitoka hapo hawajasikia hata neno moja. Huku mnamgombea ambaye anakwenda kwenye maeneo ya mijini tuu na kidogo karudi Dar, mara napotea kwenye kampeni wiki nzima. Sasa sijuwi muujiza wa kushinda ingetatoka wapi? Mlitaka kufanya shortcut kupitia vijana hilo bomu limewalipukia mikonini, kitengo cha kuchakachua matokeo kilizimwa. Kwanini usiwachukie TISS.

Ni aibu kuona Chadema inamkashifu Dr. Slaa kama hivi ulivyo msema hapa. Maybe haya ni maneno yako binafsi lakini ni aibu kubwa kwa mtu aliyejitolea vile. Lakini kwanini nishangae ikiwa mtu kama Zitto unaetumia jina lake hapa na yeye mlimwita msaliti. SMH
Mboka hujibu hoja zangu kwenye corresponding format kma navyofanya mmi???

1. statistics nliongelea za dr slaa kuwa aliondoka na wanachama wangapi na vp iliathiri kura za lowasa ilihali hta kwao kule karatu bado lowasa alishinda kwa landslide???

2. Kuhusu kenya nshasema kuwa wana resources chache sana lakini wameweza kuzimaximise ssa haingii akilini kusema watalii milion 2 tz yenye mbuga 20 ukalinganisha na kenya yenye mbuga si zaidi ya 5!!!!! hoja hapa ni kuwa kenya wako efficient yaani inadequate resources ila maximum profits but nyie adequate resources but optimum profits ssa WHO IS BETTER?? (jibu hili usiruke)

3. kuhusu uchaguzi hyo ripoti ya Nec Ndo ilikwambia vijana milion 7 walilala nyumbani??? ila haikwambii kuwa waliposhindwa kuiba wakafuta uchaguzi upande mmoja wa muungano duuh!! nmekuuliza swali umeshindwa kujibu je kma magufuli alishinda ni kwanni bas waende kuvamia LHRC na kijitonyama na sinza kule!!! kma alishinda si wamgeacha ili chadema na LHRC waumbuke ssa hofu yao ya nni??? au bas ili mtuumbue ssa mlete zile laptop afu muonyeshe matokeo waliokuwa wameyapata tayari chadema ili muwazibe mdomo kma waliibiwa kura maana hta kura walizohesabu wenyewe pale sinza zilionyesha magu kashinda!!!!!!

4. Hujajibu kuhusu capitalism nmeuliza unalinganisha tz na canada ndo nasema wao imework for them JE HOW LONG TUSUBIRI SOCIALISM TO WORK FOR US BEFORE WE DECIDE TO GO FOR MABADILIKO????? jibu hili au unataka na ssi tusubiri 200 years??

5. Mkuu huwezi leta hoja dhaifu kuhusu NEC yaani tulipiga campaign kwa wrong people ili hali gap ni dogo vile?? hvi unajua waliojiandikisha NEC wengi ne below 40 kuliko above 40??? ssa how sure r u hao 30% ambao wamevote hta kma walipiga wote watawazidi hawa 70% ambao unadai kati yao milion 7 walilala?? by now u should know hta kma above 40 wote wangepiga kura bado zisingetosha kwa magu maana hawa 70% ambao ni more than 15 milion voters ni below 40 ina maaana hta kma milion 7 wangelala nyumbani bado lowasa angepata kura milion 8!!!! mkuu kasome d hondt method of proportion za uchaguzi ndo utanielewa the higher the population the lower the margin of error!!!

pia hoja kuhusu tume ni crucial sana watu waliona kma wapinzani wanalalamika tu ila baada ya kushuhudia ya zenji ndio watu wakaamini nyie ni wauwaji kabisa yaani mtu ameshinda mkaona mfute uchaguzi kabiss dah afu ndo unasema eti MILION 7 WALILALA NDANI??? seriously??? dah kaz kwelikwlei

NB: Naomba ujibu maswali angu kwa chronorogical order ili uskimbie maana naona hta swali la TISS hujajibu...... and by the way sijaishiwa pumzi niko fit if u want a debate be my guest
 
Mboka hujibu hoja zangu kwenye corresponding format kma navyofanya mmi???

1. statistics nliongelea za dr slaa kuwa aliondoka na wanachama wangapi na vp iliathiri kura za lowasa ilihali hta kwao kule karatu bado lowasa alishinda kwa landslide???

2. Kuhusu kenya nshasema kuwa wana resources chache sana lakini wameweza kuzimaximise ssa haingii akilini kusema watalii milion 2 tz yenye mbuga 20 ukalinganisha na kenya yenye mbuga si zaidi ya 5!!!!! hoja hapa ni kuwa kenya wako efficient yaani inadequate resources ila maximum profits but nyie adequate resources but optimum profits ssa WHO IS BETTER?? (jibu hili usiruke)

3. kuhusu uchaguzi hyo ripoti ya Nec Ndo ilikwambia vijana milion 7 walilala nyumbani??? ila haikwambii kuwa waliposhindwa kuiba wakafuta uchaguzi upande mmoja wa muungano duuh!! nmekuuliza swali umeshindwa kujibu je kma magufuli alishinda ni kwanni bas waende kuvamia LHRC na kijitonyama na sinza kule!!! kma alishinda si wamgeacha ili chadema na LHRC waumbuke ssa hofu yao ya nni??? au bas ili mtuumbue ssa mlete zile laptop afu muonyeshe matokeo waliokuwa wameyapata tayari chadema ili muwazibe mdomo kma waliibiwa kura maana hta kura walizohesabu wenyewe pale sinza zilionyesha magu kashinda!!!!!!

4. Hujajibu kuhusu capitalism nmeuliza unalinganisha tz na canada ndo nasema wao imework for them JE HOW LONG TUSUBIRI SOCIALISM TO WORK FOR US BEFORE WE DECIDE TO GO FOR MABADILIKO????? jibu hili au unataka na ssi tusubiri 200 years??

5. Mkuu huwezi leta hoja dhaifu kuhusu NEC yaani tulipiga campaign kwa wrong people ili hali gap ni dogo vile?? hvi unajua waliojiandikisha NEC wengi ne below 40 kuliko above 40??? ssa how sure r u hao 30% ambao wamevote hta kma walipiga wote watawazidi hawa 70% ambao unadai kati yao milion 7 walilala?? by now u should know hta kma above 40 wote wangepiga kura bado zisingetosha kwa magu maana hawa 70% ambao ni more than 15 milion voters ni below 40 ina maaana hta kma milion 7 wangelala nyumbani bado lowasa angepata kura milion 8!!!! mkuu kasome d hondt method of proportion za uchaguzi ndo utanielewa the higher the population the lower the margin of error!!!

pia hoja kuhusu tume ni crucial sana watu waliona kma wapinzani wanalalamika tu ila baada ya kushuhudia ya zenji ndio watu wakaamini nyie ni wauwaji kabisa yaani mtu ameshinda mkaona mfute uchaguzi kabiss dah afu ndo unasema eti MILION 7 WALILALA NDANI??? seriously??? dah kaz kwelikwlei

NB: Naomba ujibu maswali angu kwa chronorogical order ili uskimbie maana naona hta swali la TISS hujajibu...... and by the way sijaishiwa pumzi niko fit if u want a debate be my guest


1 Na anaza kuamini kwamba husomi ninachokiandika, ni wapi nilisema kwamba Dr. Slaa aliondoka na wanachama kutoka Chadema, na hata kama aliondoka nao, atawapeleka wapi kama hana chama na amestaafu siasa? angalia nilicho andika mimi.

Ukumbuke kuna wafuasi wangapi wa Ukawa na Chadema waliokasirishwa kwa kumleta Lowassa na kumuondoa kipenzi chao Slaa?

Unauliza statistics, lini uliona katika uchaguzi wowote duniani unaonyesha ni watu wangapi walukuwa na “nia” ya kumpigia kura mtu huyu, mwisho wakabadili mawazo yao na kumpigia kura yule? Kuna sehemu yoyote katika zowezi la kupiga kura litaonyesha nia ya mpiga kura? Au takwimu zitaonyesha umri, jinsia, eneo na kura iliyo pigwa? Kitu kinacho nishangaza ni the way you assume kwamba kama Lowassa alishinda Karatu kwa landslide basi kuondoka kwa Dr. Slaa hakukuwa na impact yoyote.

2. About Kenya, wao wana resources chache lakini wanazitumia to the maximum, tuchukilie mfano wako wa utali. Umesema kwa vivutuo tulivyo navyo tulitakiwa tupate kipato zaidi tunachokipanta sasa (this is your argument). Lakini mbona serikali ikijaribu kuweka mikakati mnaipinga? Hoja ya VAT, wapinzani mlikuwa mstari wa mbele kupinga, kwa kisingizio kuwa itapungiza watalii. Mbona watalii ni wengi na wanazidi kuongezeka? Serikali ilikiwa ina nia ya kuongeza kipato kupitia VAT ili na sisi tupate our fair share kutoka kwa wawekezaji (ambao wengi wao sio waaminifu kwasabubu wanalipwa pesa nje ya nchi as a package holiday sisi wanatuletea kidogo). Rais Magufuli alitoa mfano wa Morocco wanapata watalii millioni 12 kwa mwaka, sisi tunapata million 2 kwa mwaka. Sasa tutawezaje kuongeza watalii, akaja na nia ya kufufua ATCL ili itusaidie kuwasomba watalii huko wanako toka moja kwa moja mpaka hapa kwetu, kitu ambacho Kenya wanatumia shirika lao la ndege kupata watalii, hilo nalo wapinzani mkaligeuza kuwa wimbo wa kuibeza serikali. Hivi upinzani wenu ni wakukata kila jambo linalo pendekezwa na serikali?

3. Kabla hujakimbilia kujifari na 70% ya wapiga kura walikuwa ni vijana na wengi waliichaguwa Chadema, takwimu zinaonyesha walio jitokeza kupiga kura 2015 ni 65% tuu. Sasa kwa mtazamo wako katika 65% wengi walikuwa ni vijana wa chini ya miaka 35 na waliipigia kura Chadema. Hujuwi kama CCM na wao wana kundi kubwa la vijana?, hivi unataka kutuhakikishia kuwa hakuna watu walio kasirishwa na maamuzi ya kileta mtu ambaye mme msema yeye ni fisadi namba moja na yuko kwenye list of shame? Tukiachana na hayo, kiuhalisia mlikuwa na mgombea dhaifu, ambaye hakutumia muda mwingi majukwaani kuchambuwa sera za Chadema. Sera zenyewe hazikutoka kwa wakati muafaka, mnasema zitapatikana online are you guys serious. Mimi nakushauri kitu kimoja, tafuta takwimu ambazo nyingi ziko online, uje kuni prove me wrong. Hayo mambo ya NEC kuiba kura, kuvuruka uchaguzi, kuvamia LHRC ungetusaidia wote kama ungekuja na ushahidi wa kuthibitisha tuhuma zako.

4. Sasa, hebu rudia kwenye hoja yako ya capitalism ujiridhishe mwenye kama kuna mantiki kile ulichokuwa unataka kusema. Nashindwa kuelewa unaponiuliza mimi kama nchi hii itakuwa ya kijamaa mpaka lini. Badala ya kuwauliza wapiga kura ambao ndio wenye kufanya maamuzi magumu, unaniuliza mimi?. Mmejaribu tokea 1995 lakini watanzania bado hawaamini, ndio yaleyale tuliyo yaongea mwanzoni kushindwa kushawishi umma ili wawaamini.

5. Hii point hapa umekuwa unajirudiarudua, anyway, bado una assume kwamba kwakuwa mlikuwa na wafuasi wengi vijana basi mlitakiwa kushinda uchaguzi. Hilo kwangu halina mashiko, nimekuuliza swali hapo nyuma, kwani hamkuweka wasimamizi wenu katika kila kituo cha kupiga kura? Hamkushirikishwa katika zowezi lote la kuhesabu na kuhakiki kura na matokeo? Mkija na hadhithi hizi za bla bla na kujaribu kupotosha umma mkafikiri mnaweza kugeuza matokeo, mtajikuta mnafedheka katika kila uchaguzi.

6. Hapa unaongelea tume ya uchaguzi ya taifa au tume ya uchaguzi ya Zanzibar, mimi sina ushahidi kama Zanzibar kura ziliibiwa sikuwepo huko. Lakini kama ulipitia aliyo yasema Judge Lubuva, kwamba hata kama matokeo ya Zanzibar yangebadiliaka yasinge weza kubadili matokeo ya uchaguzi wa rais wa muungano. Zanzibar ina wapiga kura laki 5 hata kama wote wangepiga kura, wasingeweza kuziba pengo la kura million 2 ambazo ziliwatenganisha Magufuli na Lowassa.

Hebu na wewe tukuulize, Chadema tokea imeazishwa mpaka leo ina wanachama wangapi? Maana mtu unaweza kutaka kushawishi umma kama mnapendwa sana huku hauna hata enough numbers of core supporter. Je uwakilishi wa Chadema unapatikana katika kila kijiji na kila kata?

Uchaguzi wa 2015, Chadema na kundi lake la Ukawa, mliweza kusimamisha wagombea kwenye kila jimbo?
 
Kuna mambo unaandika ya maana with a lot of political correctness. Uwe mkweli pia, si unataka kutuaminisha unachosema ni cha kweli na unatoa takwimu? Maana kwa maelezo yako hapo juu, Tanzania iko vizuri sana kiuchumi, si ndiyo? unataka kila mtu aamini hivyo? na aamini kwa kuzingatia takwimu ulizozitoa hapo juu?? Mkuu, umesomea chuo gani uchumi??? si huyo tu jamaa unayejadilia naye hapo juu, unatushangaza watu wengi tunaosoma unachokiandika hapa!

Mkuu, hivi ulikuwa unanijadili mimi au unajadili hoja? ungechangia tuneno tuwili tutatu basi labda mchango wako utakuwa mzuri kuliko wangu.
 
point nzuri hiyo cheza yako na kufyayua kwako watoto kwa raha mustarehe ,ila mm nimemuelewa tofauti ana maana kuwa hao bila nyie nyodo za utawala hao jamaa usingekuwepo na ww nakukosoa eti wakija tawala hao jamaa mtakoma lakini umaana wa kauli ya jamaa nyie ndo mmembeba hakatai kuwa usalama wa taifa hili limelindwa na idara nyingi za ki ulinzi hata hao unaosema wakiingia madarakani wataona lakini uelewe huyo alivyosema unampa usahihi kwani ulinzi wa taifa hili ni nyie watu wa usalama ila msiikumbatie sana ccm kwani cku ccm ikiondolewa badi nyie mtaendelea kuwa walinzi wa taifa hili tanzania siyo ccm!
 
1 Na anaza kuamini kwamba husomi ninachokiandika, ni wapi nilisema kwamba Dr. Slaa aliondoka na wanachama kutoka Chadema, na hata kama aliondoka nao, atawapeleka wapi kama hana chama na amestaafu siasa? angalia nilicho andika mimi.

Ukumbuke kuna wafuasi wangapi wa Ukawa na Chadema waliokasirishwa kwa kumleta Lowassa na kumuondoa kipenzi chao Slaa?

Unauliza statistics, lini uliona katika uchaguzi wowote duniani unaonyesha ni watu wangapi walukuwa na “nia” ya kumpigia kura mtu huyu, mwisho wakabadili mawazo yao na kumpigia kura yule? Kuna sehemu yoyote katika zowezi la kupiga kura litaonyesha nia ya mpiga kura? Au takwimu zitaonyesha umri, jinsia, eneo na kura iliyo pigwa? Kitu kinacho nishangaza ni the way you assume kwamba kama Lowassa alishinda Karatu kwa landslide basi kuondoka kwa Dr. Slaa hakukuwa na impact yoyote.

2. About Kenya, wao wana resources chache lakini wanazitumia to the maximum, tuchukilie mfano wako wa utali. Umesema kwa vivutuo tulivyo navyo tulitakiwa tupate kipato zaidi tunachokipanta sasa (this is your argument). Lakini mbona serikali ikijaribu kuweka mikakati mnaipinga? Hoja ya VAT, wapinzani mlikuwa mstari wa mbele kupinga, kwa kisingizio kuwa itapungiza watalii. Mbona watalii ni wengi na wanazidi kuongezeka? Serikali ilikiwa ina nia ya kuongeza kipato kupitia VAT ili na sisi tupate our fair share kutoka kwa wawekezaji (ambao wengi wao sio waaminifu kwasabubu wanalipwa pesa nje ya nchi as a package holiday sisi wanatuletea kidogo). Rais Magufuli alitoa mfano wa Morocco wanapata watalii millioni 12 kwa mwaka, sisi tunapata million 2 kwa mwaka. Sasa tutawezaje kuongeza watalii, akaja na nia ya kufufua ATCL ili itusaidie kuwasomba watalii huko wanako toka moja kwa moja mpaka hapa kwetu, kitu ambacho Kenya wanatumia shirika lao la ndege kupata watalii, hilo nalo wapinzani mkaligeuza kuwa wimbo wa kuibeza serikali. Hivi upinzani wenu ni wakukata kila jambo linalo pendekezwa na serikali?

3. Kabla hujakimbilia kujifari na 70% ya wapiga kura walikuwa ni vijana na wengi waliichaguwa Chadema, takwimu zinaonyesha walio jitokeza kupiga kura 2015 ni 65% tuu. Sasa kwa mtazamo wako katika 65% wengi walikuwa ni vijana wa chini ya miaka 35 na waliipigia kura Chadema. Hujuwi kama CCM na wao wana kundi kubwa la vijana?, hivi unataka kutuhakikishia kuwa hakuna watu walio kasirishwa na maamuzi ya kileta mtu ambaye mme msema yeye ni fisadi namba moja na yuko kwenye list of shame? Tukiachana na hayo, kiuhalisia mlikuwa na mgombea dhaifu, ambaye hakutumia muda mwingi majukwaani kuchambuwa sera za Chadema. Sera zenyewe hazikutoka kwa wakati muafaka, mnasema zitapatikana online are you guys serious. Mimi nakushauri kitu kimoja, tafuta takwimu ambazo nyingi ziko online, uje kuni prove me wrong. Hayo mambo ya NEC kuiba kura, kuvuruka uchaguzi, kuvamia LHRC ungetusaidia wote kama ungekuja na ushahidi wa kuthibitisha tuhuma zako.

4. Sasa, hebu rudia kwenye hoja yako ya capitalism ujiridhishe mwenye kama kuna mantiki kile ulichokuwa unataka kusema. Nashindwa kuelewa unaponiuliza mimi kama nchi hii itakuwa ya kijamaa mpaka lini. Badala ya kuwauliza wapiga kura ambao ndio wenye kufanya maamuzi magumu, unaniuliza mimi?. Mmejaribu tokea 1995 lakini watanzania bado hawaamini, ndio yaleyale tuliyo yaongea mwanzoni kushindwa kushawishi umma ili wawaamini.

5. Hii point hapa umekuwa unajirudiarudua, anyway, bado una assume kwamba kwakuwa mlikuwa na wafuasi wengi vijana basi mlitakiwa kushinda uchaguzi. Hilo kwangu halina mashiko, nimekuuliza swali hapo nyuma, kwani hamkuweka wasimamizi wenu katika kila kituo cha kupiga kura? Hamkushirikishwa katika zowezi lote la kuhesabu na kuhakiki kura na matokeo? Mkija na hadhithi hizi za bla bla na kujaribu kupotosha umma mkafikiri mnaweza kugeuza matokeo, mtajikuta mnafedheka katika kila uchaguzi.

6. Hapa unaongelea tume ya uchaguzi ya taifa au tume ya uchaguzi ya Zanzibar, mimi sina ushahidi kama Zanzibar kura ziliibiwa sikuwepo huko. Lakini kama ulipitia aliyo yasema Judge Lubuva, kwamba hata kama matokeo ya Zanzibar yangebadiliaka yasinge weza kubadili matokeo ya uchaguzi wa rais wa muungano. Zanzibar ina wapiga kura laki 5 hata kama wote wangepiga kura, wasingeweza kuziba pengo la kura million 2 ambazo ziliwatenganisha Magufuli na Lowassa.

Hebu na wewe tukuulize, Chadema tokea imeazishwa mpaka leo ina wanachama wangapi? Maana mtu unaweza kutaka kushawishi umma kama mnapendwa sana huku hauna hata enough numbers of core supporter. Je uwakilishi wa Chadema unapatikana katika kila kijiji na kila kata?

Uchaguzi wa 2015, Chadema na kundi lake la Ukawa, mliweza kusimamisha wagombea kwenye kila jimbo?
Asee hukati tamaa 😀😀....... anyway tupo hapa kuelimishana kwa hoja taratibu tutaelewana tu

1. Kuhusu slaa ndo nkakuuliza leta statistics mfano ungequote takwimu za TWAWEZA (mfano tu coz siwaamini) labda ''slaa popularity ilikuwa 20% na alikuwa influential kwenye miji ya kaskazini na kusini hivyo alivyoondoka chadema ile 20% ikaenda kwa magufuli na pia majimbo ambapo alikuwa influential yalirudi Ccm''

Eti was that hard??? mie nmetoa mfano tu kuwa kma karatu kakataliwa wapi kwingine slaa anaweza kushawishi akaeleweka kma kwao wamempuuzia!!!??? ssa nlitegemea uje na hoja ya mfano wa majimbo ambayo kura za slaa zikaenda kwa magu nashangaa huna afu unadai KUNA WATU WALIBADILI MAWAZO ukiulizwa wakwapi hakuna stats!!😀😀😀

2. Mkuu sio kupinga kila kitu ila lazma ukubali kutofautiana mawazo mfano chadema hawakukataa ndege au VAT ila walikuwa na priorities tofauti so lazma tu watapinga priorities za serkali maana its obvious sera zao hazifanani mfano CCM mnawekeza kwenye elimu bure na madawati ila chadema hawapingi madawati ila wanataka serkali iboreshe CONTENT QUALITY ya elimu yaani hata kma mtoto atakaa chini ila content ikae kichwani for years!!!!!!!! sijui tunaelewana mfano magu akaona kipaumbele ni airport chato wakati hakuna lolote so chadema walipinga si kwa sababu hawataki airport ila waliona kwanni airport isijengwe kwenye maeneo yenye economic advantage kwanza!!! kwanni msipanue ya KLM au DODOMA mnakimbilia kujenga vijijini au kwanni mjenge airport wakati kilometer 5 kutoka airport kuna shule hazina madwati na vyoo je wanapinga tu au wanapinga kwa hoja pekeee MKUU NIA MOJA UTEKELEZAJI TOFAUTI

3.UCHAGUZI..... mkuu unanichosha ur over contradictinh urself ulichosena wwe ni kuwa wapinzani tulifata wrong audience ya vijana coz hawapigi kura nyie mkafuata ya wazeee coz wanapiga kura sasa ukasema wazee walipigia ccm afu ukasema vijana wakapigia UKAWA ssa ukastick hapo ndo nkasema hamna loss maana hata hivi vijana wengi ndio walijiandikisha kuliko wazeee ghafla tena unasema VIJANA NAO WALIPIGIA CCM basi na mmi niseme KUNA WAZEE PIA WALIPIGIA UKAWA!!!!! Mkuu kwenye debate kuwa na msimamo once unestick kwenye point usihane ssa majibu mepesi hivo eti ooh vijana pia wapo ccm bas na mmi nasema oooh wazee pia wapo UKAWA ??!!!

4.mkuu kuwa na msimamo basi unaanza kuniboa hoja yetu ilikuwa socialims vs capitalism ssa whether watanzania wanataka au hawataki haibadilishi ukweli kuwa kma haifanyi kazi tubadilishe wwe ukasema hapana its working coz canada imetumika 200 years sijui ethiopia ssa hoja yetu ikawa kenya vs tanzania yaani capitalism vs socialism na KENYA ameshinda ssa wwe nipe sababu kwanni unataka tubakie socialism hta kma imefail kwa miaka 50 hayo ya watz hayanihusu muhim tusimamie ukweli kwanza maana kura ya maoni haijapigwa bado coz afterall hta hakuna mtanzania wa kijijini anayejua tofauti ya socialism na capitalism ssa hta ataelewa kwanni asichague CCM?? we ndo ujibu hili maaana ndo umengangania hyo sera

5.kushirikishwa kwenye kuhesabu kura??? mmi nlikuwa mbagala nakumbuka tukihoji kwanni watu wasiohusika kma ridhiwan kuingia chumba cha kujumuisha matokeo tukaishia kupigwa virungu na kuswekwa ndani then wwe uliekaa nyuma ya keyboard u dare ask Hamkushirikishwa???? r u serious??? hku ujiji 2010 chadema tulishashinda jimbo ghafla eti kura zirudiwe kuhesabiwa ohoooooo tukashangaa ccm zikaongezeka jimbo tukakosa then wwe ndo wakuhoji kma hatushirikishwi??? hvi unajua maana ya kuwa mpinzani??? kule mbagala tulishinda wakakataa wakafuta matokeo tukaondoka na ghafla wakamtangaza mgombea wa ccm kashinda!!!!! HATUSHIRIKISHWI??? wenje na kafulila mpaka wana form zinaonyesh walishinda vituomi ila wako bungeni eti HAMSHIRIKISHWI???? duh kaz kwelikweli ukitaka kupima eeh mwambie magufuli agombee chadema afu lowasa agombee ccm afu ndo utshangaa nani atakayelia kaibiwa kura..... naona we hujui siasa au labda huna ndugu serkalini grow up kaonane na dk salim au hans kitine wakufungue kichwa hiko uone dunia kwa jicho la tatu perhaps utaacha kushabikia usichokijua.

6. Kuhusu zanzibar nmeongelea specifically maalim seif na ZEC je kma maalim wamemfutia uchguzi mara ya pili ssa je kipi kinakuaminisha tulsihindwa kisa watu milion 7 walilala ndani sijui hatujashawishi uma???? eti??? mtu kashinda ila kafutiwa na hta wanaccm walikiri mfano karume pia vuai ali vuai pia dk salim n.k ssa kwanni hutaki tuseme NEC inawamaliza wapinzani na sio sera au WAPIGA KURA KULALA NDANI??? nijibu mkuu kwanni hutaki tukubali tume hru ndo suluhisho we unang'ang'ania kuwa hatujashawishi sijui wapiga kura hawakwenda vituoni r u serious??? dah kaz kwelikweli

chadema ina wanachama mamilioni waweza enda ofisi za wilaya yako upate stats na ukajumlishe na listed members wa wilaya zote TZ ndio utajua otherwise nenda pale mtaa wa ufipa uombe taairfa kutoka kitengo cha sera na takwimu!!!!

Mkuu kwanni usitupe benefit of doubt kuwa TUME HURU NDIO SULUHISHO kwanni hutaki hyo excuse afu bado hutaki tulalamike!!! LHRC ushahidi gani pia sinza ushahidi gani si ukamhoji hilda newton aliyelala selo kwa hiyo issue au nenda TACCEU walioporwa computer upate data zote ukikaa hapo nyuma ya keyboard ukisubiri data zikufuate then utakalia ivo ivo kudai ushahidi hta ya existence of GOD ma hutowahi pata
 
Asee hukati tamaa 😀😀....... anyway tupo hapa kuelimishana kwa hoja taratibu tutaelewana tu

1. Kuhusu slaa ndo nkakuuliza leta statistics mfano ungequote takwimu za TWAWEZA (mfano tu coz siwaamini) labda ''slaa popularity ilikuwa 20% na alikuwa influential kwenye miji ya kaskazini na kusini hivyo alivyoondoka chadema ile 20% ikaenda kwa magufuli na pia majimbo ambapo alikuwa influential yalirudi Ccm''

Eti was that hard??? mie nmetoa mfano tu kuwa kma karatu kakataliwa wapi kwingine slaa anaweza kushawishi akaeleweka kma kwao wamempuuzia!!!??? ssa nlitegemea uje na hoja ya mfano wa majimbo ambayo kura za slaa zikaenda kwa magu nashangaa huna afu unadai KUNA WATU WALIBADILI MAWAZO ukiulizwa wakwapi hakuna stats!!😀😀😀

2. Mkuu sio kupinga kila kitu ila lazma ukubali kutofautiana mawazo mfano chadema hawakukataa ndege au VAT ila walikuwa na priorities tofauti so lazma tu watapinga priorities za serkali maana its obvious sera zao hazifanani mfano CCM mnawekeza kwenye elimu bure na madawati ila chadema hawapingi madawati ila wanataka serkali iboreshe CONTENT QUALITY ya elimu yaani hata kma mtoto atakaa chini ila content ikae kichwani for years!!!!!!!! sijui tunaelewana mfano magu akaona kipaumbele ni airport chato wakati hakuna lolote so chadema walipinga si kwa sababu hawataki airport ila waliona kwanni airport isijengwe kwenye maeneo yenye economic advantage kwanza!!! kwanni msipanue ya KLM au DODOMA mnakimbilia kujenga vijijini au kwanni mjenge airport wakati kilometer 5 kutoka airport kuna shule hazina madwati na vyoo je wanapinga tu au wanapinga kwa hoja pekeee MKUU NIA MOJA UTEKELEZAJI TOFAUTI

3.UCHAGUZI..... mkuu unanichosha ur over contradictinh urself ulichosena wwe ni kuwa wapinzani tulifata wrong audience ya vijana coz hawapigi kura nyie mkafuata ya wazeee coz wanapiga kura sasa ukasema wazee walipigia ccm afu ukasema vijana wakapigia UKAWA ssa ukastick hapo ndo nkasema hamna loss maana hata hivi vijana wengi ndio walijiandikisha kuliko wazeee ghafla tena unasema VIJANA NAO WALIPIGIA CCM basi na mmi niseme KUNA WAZEE PIA WALIPIGIA UKAWA!!!!! Mkuu kwenye debate kuwa na msimamo once unestick kwenye point usihane ssa majibu mepesi hivo eti ooh vijana pia wapo ccm bas na mmi nasema oooh wazee pia wapo UKAWA ??!!!

4.mkuu kuwa na msimamo basi unaanza kuniboa hoja yetu ilikuwa socialims vs capitalism ssa whether watanzania wanataka au hawataki haibadilishi ukweli kuwa kma haifanyi kazi tubadilishe wwe ukasema hapana its working coz canada imetumika 200 years sijui ethiopia ssa hoja yetu ikawa kenya vs tanzania yaani capitalism vs socialism na KENYA ameshinda ssa wwe nipe sababu kwanni unataka tubakie socialism hta kma imefail kwa miaka 50 hayo ya watz hayanihusu muhim tusimamie ukweli kwanza maana kura ya maoni haijapigwa bado coz afterall hta hakuna mtanzania wa kijijini anayejua tofauti ya socialism na capitalism ssa hta ataelewa kwanni asichague CCM?? we ndo ujibu hili maaana ndo umengangania hyo sera

5.kushirikishwa kwenye kuhesabu kura??? mmi nlikuwa mbagala nakumbuka tukihoji kwanni watu wasiohusika kma ridhiwan kuingia chumba cha kujumuisha matokeo tukaishia kupigwa virungu na kuswekwa ndani then wwe uliekaa nyuma ya keyboard u dare ask Hamkushirikishwa???? r u serious??? hku ujiji 2010 chadema tulishashinda jimbo ghafla eti kura zirudiwe kuhesabiwa ohoooooo tukashangaa ccm zikaongezeka jimbo tukakosa then wwe ndo wakuhoji kma hatushirikishwi??? hvi unajua maana ya kuwa mpinzani??? kule mbagala tulishinda wakakataa wakafuta matokeo tukaondoka na ghafla wakamtangaza mgombea wa ccm kashinda!!!!! HATUSHIRIKISHWI??? wenje na kafulila mpaka wana form zinaonyesh walishinda vituomi ila wako bungeni eti HAMSHIRIKISHWI???? duh kaz kwelikweli ukitaka kupima eeh mwambie magufuli agombee chadema afu lowasa agombee ccm afu ndo utshangaa nani atakayelia kaibiwa kura..... naona we hujui siasa au labda huna ndugu serkalini grow up kaonane na dk salim au hans kitine wakufungue kichwa hiko uone dunia kwa jicho la tatu perhaps utaacha kushabikia usichokijua.

6. Kuhusu zanzibar nmeongelea specifically maalim seif na ZEC je kma maalim wamemfutia uchguzi mara ya pili ssa je kipi kinakuaminisha tulsihindwa kisa watu milion 7 walilala ndani sijui hatujashawishi uma???? eti??? mtu kashinda ila kafutiwa na hta wanaccm walikiri mfano karume pia vuai ali vuai pia dk salim n.k ssa kwanni hutaki tuseme NEC inawamaliza wapinzani na sio sera au WAPIGA KURA KULALA NDANI??? nijibu mkuu kwanni hutaki tukubali tume hru ndo suluhisho we unang'ang'ania kuwa hatujashawishi sijui wapiga kura hawakwenda vituoni r u serious??? dah kaz kwelikweli

chadema ina wanachama mamilioni waweza enda ofisi za wilaya yako upate stats na ukajumlishe na listed members wa wilaya zote TZ ndio utajua otherwise nenda pale mtaa wa ufipa uombe taairfa kutoka kitengo cha sera na takwimu!!!!

Mkuu kwanni usitupe benefit of doubt kuwa TUME HURU NDIO SULUHISHO kwanni hutaki hyo excuse afu bado hutaki tulalamike!!! LHRC ushahidi gani pia sinza ushahidi gani si ukamhoji hilda newton aliyelala selo kwa hiyo issue au nenda TACCEU walioporwa computer upate data zote ukikaa hapo nyuma ya keyboard ukisubiri data zikufuate then utakalia ivo ivo kudai ushahidi hta ya existence of GOD ma hutowahi pata


Haha eti hukati tamaa, si ulisema your up for the debate, kwahiyo ningekaa tuu ili muendele kuleta upotoshaji? oh hell no.

I think your the one need to stick to a single debate, angalia nyizi zako zote za nyuma uone how many issues umezileta katika kila uzi. Hapa tuu umeandika sio chini ya mambo sita, mara uchaguzi, mara ubepari, mara kenya, mara NEC na ZEC, na sasa umeingia kwenye ya tume huru. Tatizo lako husomi ulicho kiandiaka rudi nyuma na uwone who is a worse offender.

Slaa effect ilikuwepo lakini hakuna mtu mwenye record kama damage ilikuwa kiasi gani, wananotakiwa kuwa na hiyo data ni nyinyi Chadema. Sio lazima walio chukizwa na kumfanyia hila Dr. Slaa automatically wataipenda CCM, wengi waliamuwa kuachana na mambo ya uchaguzi maana CCM ilikuwa sio kipenzi chao na Chadema ndio hao mumefanyia hila Slaa.

Kambi rasmi ya upinzani walihoji sana kuhusu VAT na ndege, sio hivyo tu, wamehoji hata Rais kuto safiri kwenda nje kama zamani. Wamehoji hata utafutaji wa wafanyakazi hewa kitu ambacho kimeokowa mamilioni ya fedha. Sasa najiuliza hivi ukawa au Chadema wangekuwa madarakani wao wange acha wafanyakazi hewa waendele kukombafedha za wananchi, au na nyinyi pia mgekuwa mnapisha angani?

Lazima utasema nina contradict kwasababi hauna data zozote zinazo onyesha Chadema walipigiwa kura na kundi gani la jamii, unachofanya hapa ni guess work tu kwa kusema vijana wengi waliwapenda lakini hijuwi ni wangapi walijitolkeza kupiga kura. Mimi nimekuwekea stats hapo nyuma sina haja ya kujirudia tena, nimekuambia prove me wrong.

Socialism vs capitalism, nategenea na wewe utatuandikia benefis za capitalism. Wewe unauponda ujamaa wetu, lakini ujamaa wetu ndio ulizalisha wasomi wengi kuliko nchi zote za afrika mashariki na kati. Kwa watu kama sisi wenye umri fulani tunakumbuka tulikuwa tunapangia kazi pindi umalizapo chuo wala huna haja ya kuhangaika. Niambie nchi gani ya kibepari ilikuwa na luxury kama hiyo. Hata hao wakenya unaosema ubepari wao umewafikisha mahali pazuri, walikuwa wanakibilia Tanzania kusoma bure. Muulize mzee kikwete au Mzee Lowassa kama walilipa ada ya kusoma shule au chuo. Hiyo ilifanikiwa kuleta usawa kwa vijana wote wa kitanzania na kujenga umoja. Tumefaikiwa kuweka uwiano wa kipato cha juu na cha chini japo kuna wakati wenye tamaa iwalijingezea mishahara kuliko uwiano unavyo hitaji, Thanks to Pres. Magufuli for capping the higher earners civil servants. Ukienda huko kenya masikini ni masikini kweli kweli kwasababi sera ya umiliki haitowi nafasi kwa wenye kipato cha chini kama ilivyo Tanzania. Hapa unaweza kumiliki ardhi kihalali kwa bei ya chini sana, kila mtu yuko huru kufanya biashara, lakini lazima jamii ifaidike na mgao wa kipato cha taifa (national cake). Tatizo la mtu kama wewe, unaagalia Tanzania ya leo unajiaminisha kuwa ujamaa ndio umetufanya tuwe masikini, hutaki kujuwa factors behind hali yetu ya umasikini kama cold war, leberation struggles. Hao wakenya wamekuwa wanakula na wazungu from day one, sisi tulikataa kwasababu hutuwezi kupigania ukombazi wakati huo huo tunakula sahani moja na adui. Lakini yote hayo yamepita, sasa tunajipanga upya kuanza kutumia nafasi yetu na rasilimali zetu kwa faida ya kila Mtanzania.

Haya na wewe tuambie ubepari utatusaidiaje hapa Tanzania na kama utaendelea kujenga umoja wa watanzaia au ndio wenye nacho ndio wataongezewa. Tthe 99% by 1% society

Mimi saa nyingine nawachoka vijana wa Chadema, as if utaratibu kwanu ni mwiko. Umenda kwenye kuhesabu kura, mmetimuliwa na polisi kwa virungu juu. Hivi hata hizi mahakama ni mali ya CCM? Mbona kuna kesi nyingi za uchaguzi upinzani mnashinda? Mkikaa na kuitana makamanda na kujichukulia kama your all militant, militant to who? Mnajaribu kufanya kama Tanzania ni Syria au Iraq, Mnashangaza mnapokuwa na hulka isiyokuwa na msingi, this is politis not war. Hebu mpeni Lowasaa chama awaonyeshe siasa za kistaarabu zina fanywa vipi.

Once again, husomi ninacho andika, hakuna sehemu hata moja nimekataa madai yako ya tume huru, kwasababu hii ni hoja mpya kati ya milolongo ya hoja uliyoitowa hapa. Mimi sina shida kabisa na tume mpya kwasababu wapinzani mlishajijenge tabia ya kukataa matokeo pale yanapokuwa aganist you. Hata tukiwa na tume huru mtakuja na vijisababu vingine tu. ZEC ilikuwa tume iliyokubaliwa na CCM na CUF, lakini leo hii tuaambiwa sio huru. Na sijuwi kwanini mnakubali kwenda kwenye uchaguzi na tume ambayo mnadhani sio huru, kwanini msiseme haya tokea 2010 kabla ya uchagzi wa 2015? Na hata kama matakwa yenu hayakusikilizwa kwanini mlikubali kuweka mgombea na kuingia kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi. Hapo ndio hata jumuiya ya kumataifa inashindwa jinsi ya kuwasaodia kwasababu hamueleweki. Mnakula ruzuku halafu mnasusia matokeo.

Anyway nadhani maswali yangu yamekushinda kwasababu huna takwimu, lakini usijali majibu yapo kapunu nilata kijuwa kama unakijuwa chama chako vizuri na nafasi yake katika siasa za tanzania. Acha sisi tunao kaa nyuma ya keyboard tukupatie data (as if wewe unatumia kalamu na karatasi) 😀😀😀

Picha ya hapo chini ndio matokeo ya ubunge 2015, itakupa uhalisia mlima ambao Chadema na wenzenu wa Ukawa mnatakiwa kuupanda (well… kama Ukawa bado iko hai)

election2015 A.jpg



 
Haha eti hukati tamaa, si ulisema your up for the debate, kwahiyo ningekaa tuu ili muendele kuleta upotoshaji? oh hell no.

I think your the one need to stick to a single debate, angalia nyizi zako zote za nyuma uone how many issues umezileta katika kila uzi. Hapa tuu umeandika sio chini ya mambo sita, mara uchaguzi, mara ubepari, mara kenya, mara NEC na ZEC, na sasa umeingia kwenye ya tume huru. Tatizo lako husomi ulicho kiandiaka rudi nyuma na uwone who is a worse offender.

Slaa effect ilikuwepo lakini hakuna mtu mwenye record kama damage ilikuwa kiasi gani, wananotakiwa kuwa na hiyo data ni nyinyi Chadema. Sio lazima walio chukizwa na kumfanyia hila Dr. Slaa automatically wataipenda CCM, wengi waliamuwa kuachana na mambo ya uchaguzi maana CCM ilikuwa sio kipenzi chao na Chadema ndio hao mumefanyia hila Slaa.

Kambi rasmi ya upinzani walihoji sana kuhusu VAT na ndege, sio hivyo tu, wamehoji hata Rais kuto safiri kwenda nje kama zamani. Wamehoji hata utafutaji wa wafanyakazi hewa kitu ambacho kimeokowa mamilioni ya fedha. Sasa najiuliza hivi ukawa au Chadema wangekuwa madarakani wao wange acha wafanyakazi hewa waendele kukombafedha za wananchi, au na nyinyi pia mgekuwa mnapisha angani?

Lazima utasema nina contradict kwasababi hauna data zozote zinazo onyesha Chadema walipigiwa kura na kundi gani la jamii, unachofanya hapa ni guess work tu kwa kusema vijana wengi waliwapenda lakini hijuwi ni wangapi walijitolkeza kupiga kura. Mimi nimekuwekea stats hapo nyuma sina haja ya kujirudia tena, nimekuambia prove me wrong.

Socialism vs capitalism, nategenea na wewe utatuandikia benefis za capitalism. Wewe unauponda ujamaa wetu, lakini ujamaa wetu ndio ulizalisha wasomi wengi kuliko nchi zote za afrika mashariki na kati. Kwa watu kama sisi wenye umri fulani tunakumbuka tulikuwa tunapangia kazi pindi umalizapo chuo wala huna haja ya kuhangaika. Niambie nchi gani ya kibepari ilikuwa na luxury kama hiyo. Hata hao wakenya unaosema ubepari wao umewafikisha mahali pazuri, walikuwa wanakibilia Tanzania kusoma bure. Muulize mzee kikwete au Mzee Lowassa kama walilipa ada ya kusoma shule au chuo. Hiyo ilifanikiwa kuleta usawa kwa vijana wote wa kitanzania na kujenga umoja. Tumefaikiwa kuweka uwiano wa kipato cha juu na cha chini japo kuna wakati wenye tamaa iwalijingezea mishahara kuliko uwiano unavyo hitaji, Thanks to Pres. Magufuli for capping the higher earners civil servants. Ukienda huko kenya masikini ni masikini kweli kweli kwasababi sera ya umiliki haitowi nafasi kwa wenye kipato cha chini kama ilivyo Tanzania. Hapa unaweza kumiliki ardhi kihalali kwa bei ya chini sana, kila mtu yuko huru kufanya biashara, lakini lazima jamii ifaidike na mgao wa kipato cha taifa (national cake). Tatizo la mtu kama wewe, unaagalia Tanzania ya leo unajiaminisha kuwa ujamaa ndio umetufanya tuwe masikini, hutaki kujuwa factors behind hali yetu ya umasikini kama cold war, leberation struggles. Hao wakenya wamekuwa wanakula na wazungu from day one, sisi tulikataa kwasababu hutuwezi kupigania ukombazi wakati huo huo tunakula sahani moja na adui. Lakini yote hayo yamepita, sasa tunajipanga upya kuanza kutumia nafasi yetu na rasilimali zetu kwa faida ya kila Mtanzania.

Haya na wewe tuambie ubepari utatusaidiaje hapa Tanzania na kama utaendelea kujenga umoja wa watanzaia au ndio wenye nacho ndio wataongezewa. Tthe 99% by 1% society

Mimi saa nyingine nawachoka vijana wa Chadema, as if utaratibu kwanu ni mwiko. Umenda kwenye kuhesabu kura, mmetimuliwa na polisi kwa virungu juu. Hivi hata hizi mahakama ni mali ya CCM? Mbona kuna kesi nyingi za uchaguzi upinzani mnashinda? Mkikaa na kuitana makamanda na kujichukulia kama your all militant, militant to who? Mnajaribu kufanya kama Tanzania ni Syria au Iraq, Mnashangaza mnapokuwa na hulka isiyokuwa na msingi, this is politis not war. Hebu mpeni Lowasaa chama awaonyeshe siasa za kistaarabu zina fanywa vipi.

Once again, husomi ninacho andika, hakuna sehemu hata moja nimekataa madai yako ya tume huru, kwasababu hii ni hoja mpya kati ya milolongo ya hoja uliyoitowa hapa. Mimi sina shida kabisa na tume mpya kwasababu wapinzani mlishajijenge tabia ya kukataa matokeo pale yanapokuwa aganist you. Hata tukiwa na tume huru mtakuja na vijisababu vingine tu. ZEC ilikuwa tume iliyokubaliwa na CCM na CUF, lakini leo hii tuaambiwa sio huru. Na sijuwi kwanini mnakubali kwenda kwenye uchaguzi na tume ambayo mnadhani sio huru, kwanini msiseme haya tokea 2010 kabla ya uchagzi wa 2015? Na hata kama matakwa yenu hayakusikilizwa kwanini mlikubali kuweka mgombea na kuingia kwenye kinyanganyiro cha uchaguzi. Hapo ndio hata jumuiya ya kumataifa inashindwa jinsi ya kuwasaodia kwasababu hamueleweki. Mnakula ruzuku halafu mnasusia matokeo.

Anyway nadhani maswali yangu yamekushinda kwasababu huna takwimu, lakini usijali majibu yapo kapunu nilata kijuwa kama unakijuwa chama chako vizuri na nafasi yake katika siasa za tanzania. Acha sisi tunao kaa nyuma ya keyboard tukupatie data (as if wewe unatumia kalamu na karatasi) 😀😀😀

Picha ya hapo chini ndio matokeo ya ubunge 2015, itakupa uhalisia mlima ambao Chadema na wenzenu wa Ukawa mnatakiwa kuupanda (well… kama Ukawa bado iko hai)

View attachment 481992
1.Hahhahahahah we jamaa nimekuona mweupe sana so ili tupime success ya ubunge ni kuangalia territorial advantage sio population??? hahhahaa kazi kweli kweli...... kwenye ramani hapo unaweza ona CCM inaoccupy 90% ya RAMANI but statistically mind you ccm ubunge ina less than 60% na ukawa ina above 40% ya kura zote za ubunge average difference ni kma asilimia 8 tu sasa sijui hilo liramani lako linauzito gani coz it doesnt make sense kuwa na jimbo kubwa kama uyui yenye wapiga kura 50,000 huku unadharau kajimbo kadogo kiramani kma temeke lenye wapiga kura malaki....!!! u cant be serious with the map nmekushangaa sana!!!

2.slaa effect again!!! nshasema wwe unayedai chadema ilipoteza kutokana na kuondoka kwa slaa ndo unipe ushahidi wa kivp kura zilipungua kisa slaa labda ungenipa data kuwa majimbo A B V mwaka 2010 yalimpa slaa ila 2015 yakaamua kumpa CCM coz chadema iliweka lowasa??? mie nshakwambia kura zimetoka 2 mpaka 6 milion enhee majimbo kedekede haya ukienda kaskazini ambako slaa ana ushawishi kote kulizolewa na chadema including karatu anapotokea yye ssa ndo unijibu kipi kilipungua baada ya slaa kwenda canada mie nmekupa stats wwe njoo na stats pia za kushikika sio propaganda eti kura zilipungua mnasahau chadema imepata kura nyingi kuliko wakati wowote ule!!!

3. kuhusu kambi ya upinzani na kupinga baadhi ya sera za magu. Naomba ieleweke toka mwanzo kuwa KUB wanasupport SERA na NIA ila WANAPINGA UTEKELEZAJI WAKE. Mfano wanakubali airport mpya zijengwe ila wanapinga ujengwe chato na kuacha sehem zenye demand kubwa ya usafiri huo na maeneo kma ya kitalii ambapo airport ingekuwa ma tija zaidi sijui tunaelewana. Wanakubali utumbuaji ila WALIPINGA jinsi zoezi lilivyoendeshwa hta madawa ya kulevya wote tunalipinga ila UTEKELEZAJI wa vita ile ndo tumeupinga so NIA moja UTEKELEZAJI tofauti. Hope umeelewa hii

4.kuhusu wapiga kura ndio unajicontradict maana wwe ulisema mwanzo kabisa kuwa sisi chadema/UKAWA tulilenga vijana zaidi na CCM mlilenga wazee hivo ccm imeshinda kwa kuwa wazee ndo huwa wanapiga kura na vijana hawapigi so simplu meanin CCM wazee na UKAWA vijana si ndio....... sasa kma wwe ndo ulitoa hoja hiyo iweje mmi nkisema kwakuwa waliojiandikisha wengi almost 14 milion wako below 40 je ina maana hao 7 milion waliolala wote ni vijana si ndio??? na kma walilala na 7 milion ndo wakaemda huoni bado seven milion ni wengi kulinganisha na wale wazee wasiofika 6 milion ssa unapata wapi uhalali wa kusema tulishindwa kisa vijana na nyie mlishinda kisa wazee. UMEONA CONTRADICTION YAKO TAYARI????

NOTE: yaani wwe ndo ulisema tulishindwa kisa vijana nyie mishinda kisa wazee enhee nmekupa stats kuwa vijana walipiga kura kuliko wazee then wwe unasema NANI ALYEKWAMBIA VIJANA WOTE WALIPIGIA CHADEMA!!! nikueleweje?? na mmi nikikuuliza NANI ALIYEKWAMBIA WAZEE WOTE WALIPIGIA CCM tutafika kweli??? we ulishasema ccm wazee chadema vijana stick to that usijicontradict i hope umeona ulipojichanganya mwenyewe

5. kuhusu ubepari utatusaidiaje?? shida sio ubepari kuwa mzuri au mbaya shida ni kuwa ujamaa is not workin for us coz ilitufanya tuwe wavivu sana na tegemezi ila ubepari ulifanya wakenya wawe hardwokers coz unakula kwa jasho lako hakuna cha kutegea serikalo sijui ujirani mwema and so on ssi tukabweteka no wonder hata ukienda maofisi ya kenya na tz ni tofauti kabisa kule watu wako serious na kazi unlike tz hili liko wazi halipingiki....

Kuhusu kenua huwezi sema wametuzidi kisa coldwar huku tz au kuka sahani moja na mzungu kumbuka wale walimtoa kwa mtutu wa bunduki kipindi hiko nyerere anabembeleza wazungu watupe uhuru ssa nani aliyekula na mzungu??? Hvi unajua katiba ya baada ya uhuru bado iliendelea kumtambua malkia na governor whereas kenya wakishaabolish je nani hasa ALIKULA SAHANAI MOJA na wazungu???

usitoe visingizio mkuu kenya tulianza wote sawa ila walitupita kwenye process ssa badala mkubali ili mjirekebishe mnaanza kutoa visingizio kwahyo bila coldwar tz isingekuwa nyuma yao eeh ssa na wao mbona hawasingizii al shabaab au vurugu za uchaguzi kurudisha nyuma uchumi wao??? eti??? kubalini mlikosea ili mjirekebishe kujitia moyo haisaidii mkuu we mambo ya kenya tuyaachie hapa maana hoja huna so its better tuliache tu umeshindwa nishawishi!!

6. ati mahakam sio za ccm?? katiba ni shida mkuu maana majaji wateuliwe na rais afu nec wateuliwe na rais at the same time rais ndo mwenyekiti wa chama tawala duh unategemea mwenyekiti wa chama yuko tayari kupoteza wabunge??? Mkuu hta sisi tulipigwa virungu tukaambiwa twende mahakamani but ushahidi wa mifomu tunao ila tumepata nni sasa??? kafulila na wenje walikuwa na documents zote and so??? mbona mjengoni hawajaingia??? hao wapinzani unaosema kesi za uchaguzi wanashinda its becoz ni ngumu kwakweli mpinzani kuiba kura tz hilo likowazi kabisa so mpakaa afutiwe ubunge ni lazma kuwepo na USHAHIDI WA KUTOSHA lakini ccm huwa wanaiba wazi coz wana polisi na jeshi na tume ila ndo hivo ukifka mahakamani ni ngumu ubunge kutenguliwa coz ya katiba...... tofautisha kufungua kesi na kufunguliwa kesi wapinzani hushinda wanapokuwa defensive side sio wanapofungua kesi dhidi ya ccm hope umeelewa so mahakam bado sio suluhisho hapa TZ.

7. mkuu acha kupotosha naongea na ushahidi wa maneno ako mwenyewe wwe ulisema chanzo ni kulenga the wrong audience na kingine kushindwa kushawishi watz ssa kituko ni kukataa kutupa benefit of doubt sisi wapinzani tunaposema chanzo ni KATIBA na TUME HURU ssa unafkiri mbowe ni mjinga kung'ang'ania tume huru kma anajua chanzo ni KUSHINDWA KUWASHAWISHI WATZ au KUSHAWISHI THR WRONG PEOPLE is he that DUMB??? staki kuamini hivyo naomba msitupe tu reason zenu pia skikizeni na za kwetu so i hope next tym ukitaja sababu za upinzani kushindwa ongeza na KATIBA MBOVU na kukosekana kwa TUME HURU i hope tumeelewana hapa......

8. Hahaahahaa kwamba kwanni tunashirki kma tume sio huru..... mkuu kwenye mapambano huwa haturuhusiwi kukata tamaa ndio maana hata majenerali wa hitler kma von manstein hata walipojua ujerumani haina uwezo tena wa kushinda bado waliendelea kupambama wakiamini THINGS WILL CHANGE maana hta tukisusa kma CUF wwe uliingia humu kuwatukana ila tukishiriki still mnatutukana ssa mnatakaje???? kma kususa ndio suluhisho bas muwe wa kwanza kuwaandikia barua CUF ya kuwasifu kwa kususa sio mnakuja na unafki wa kutushauri tutoke kwenye mapambano huku nyienyie ndo wakwanza kututukana tukitoka bungeni au kususa uchaguzi kma ule wa meya kinondoni!!!!

Badala ya kushauri tufanye mass action ya kudai tume huru wwe unatushauri tususe duh afu bado tukitoka bungeni na kususa kma CUF mnatuita waoga sijui waiba kura dah CCM kaz kwelikweli 😀😀😀😀

NB: Narudia tena kma unataka debate stick to one point usije ukabadilisha msimamo inakera pia usiwe msahaulifu na contradicting
 
1.Hahhahahahah we jamaa nimekuona mweupe sana so ili tupime success ya ubunge ni kuangalia territorial advantage sio population??? hahhahaa kazi kweli kweli...... kwenye ramani hapo unaweza ona CCM inaoccupy 90% ya RAMANI but statistically mind you ccm ubunge ina less than 60% na ukawa ina above 40% ya kura zote za ubunge average difference ni kma asilimia 8 tu sasa sijui hilo liramani lako linauzito gani coz it doesnt make sense kuwa na jimbo kubwa kama uyui yenye wapiga kura 50,000 huku unadharau kajimbo kadogo kiramani kma temeke lenye wapiga kura malaki....!!! u cant be serious with the map nmekushangaa sana!!!

2.slaa effect again!!! nshasema wwe unayedai chadema ilipoteza kutokana na kuondoka kwa slaa ndo unipe ushahidi wa kivp kura zilipungua kisa slaa labda ungenipa data kuwa majimbo A B V mwaka 2010 yalimpa slaa ila 2015 yakaamua kumpa CCM coz chadema iliweka lowasa??? mie nshakwambia kura zimetoka 2 mpaka 6 milion enhee majimbo kedekede haya ukienda kaskazini ambako slaa ana ushawishi kote kulizolewa na chadema including karatu anapotokea yye ssa ndo unijibu kipi kilipungua baada ya slaa kwenda canada mie nmekupa stats wwe njoo na stats pia za kushikika sio propaganda eti kura zilipungua mnasahau chadema imepata kura nyingi kuliko wakati wowote ule!!!

3. kuhusu kambi ya upinzani na kupinga baadhi ya sera za magu. Naomba ieleweke toka mwanzo kuwa KUB wanasupport SERA na NIA ila WANAPINGA UTEKELEZAJI WAKE. Mfano wanakubali airport mpya zijengwe ila wanapinga ujengwe chato na kuacha sehem zenye demand kubwa ya usafiri huo na maeneo kma ya kitalii ambapo airport ingekuwa ma tija zaidi sijui tunaelewana. Wanakubali utumbuaji ila WALIPINGA jinsi zoezi lilivyoendeshwa hta madawa ya kulevya wote tunalipinga ila UTEKELEZAJI wa vita ile ndo tumeupinga so NIA moja UTEKELEZAJI tofauti. Hope umeelewa hii

4.kuhusu wapiga kura ndio unajicontradict maana wwe ulisema mwanzo kabisa kuwa sisi chadema/UKAWA tulilenga vijana zaidi na CCM mlilenga wazee hivo ccm imeshinda kwa kuwa wazee ndo huwa wanapiga kura na vijana hawapigi so simplu meanin CCM wazee na UKAWA vijana si ndio....... sasa kma wwe ndo ulitoa hoja hiyo iweje mmi nkisema kwakuwa waliojiandikisha wengi almost 14 milion wako below 40 je ina maana hao 7 milion waliolala wote ni vijana si ndio??? na kma walilala na 7 milion ndo wakaemda huoni bado seven milion ni wengi kulinganisha na wale wazee wasiofika 6 milion ssa unapata wapi uhalali wa kusema tulishindwa kisa vijana na nyie mlishinda kisa wazee. UMEONA CONTRADICTION YAKO TAYARI????

NOTE: yaani wwe ndo ulisema tulishindwa kisa vijana nyie mishinda kisa wazee enhee nmekupa stats kuwa vijana walipiga kura kuliko wazee then wwe unasema NANI ALYEKWAMBIA VIJANA WOTE WALIPIGIA CHADEMA!!! nikueleweje?? na mmi nikikuuliza NANI ALIYEKWAMBIA WAZEE WOTE WALIPIGIA CCM tutafika kweli??? we ulishasema ccm wazee chadema vijana stick to that usijicontradict i hope umeona ulipojichanganya mwenyewe

5. kuhusu ubepari utatusaidiaje?? shida sio ubepari kuwa mzuri au mbaya shida ni kuwa ujamaa is not workin for us coz ilitufanya tuwe wavivu sana na tegemezi ila ubepari ulifanya wakenya wawe hardwokers coz unakula kwa jasho lako hakuna cha kutegea serikalo sijui ujirani mwema and so on ssi tukabweteka no wonder hata ukienda maofisi ya kenya na tz ni tofauti kabisa kule watu wako serious na kazi unlike tz hili liko wazi halipingiki....

Kuhusu kenua huwezi sema wametuzidi kisa coldwar huku tz au kuka sahani moja na mzungu kumbuka wale walimtoa kwa mtutu wa bunduki kipindi hiko nyerere anabembeleza wazungu watupe uhuru ssa nani aliyekula na mzungu??? Hvi unajua katiba ya baada ya uhuru bado iliendelea kumtambua malkia na governor whereas kenya wakishaabolish je nani hasa ALIKULA SAHANAI MOJA na wazungu???

usitoe visingizio mkuu kenya tulianza wote sawa ila walitupita kwenye process ssa badala mkubali ili mjirekebishe mnaanza kutoa visingizio kwahyo bila coldwar tz isingekuwa nyuma yao eeh ssa na wao mbona hawasingizii al shabaab au vurugu za uchaguzi kurudisha nyuma uchumi wao??? eti??? kubalini mlikosea ili mjirekebishe kujitia moyo haisaidii mkuu we mambo ya kenya tuyaachie hapa maana hoja huna so its better tuliache tu umeshindwa nishawishi!!

6. ati mahakam sio za ccm?? katiba ni shida mkuu maana majaji wateuliwe na rais afu nec wateuliwe na rais at the same time rais ndo mwenyekiti wa chama tawala duh unategemea mwenyekiti wa chama yuko tayari kupoteza wabunge??? Mkuu hta sisi tulipigwa virungu tukaambiwa twende mahakamani but ushahidi wa mifomu tunao ila tumepata nni sasa??? kafulila na wenje walikuwa na documents zote and so??? mbona mjengoni hawajaingia??? hao wapinzani unaosema kesi za uchaguzi wanashinda its becoz ni ngumu kwakweli mpinzani kuiba kura tz hilo likowazi kabisa so mpakaa afutiwe ubunge ni lazma kuwepo na USHAHIDI WA KUTOSHA lakini ccm huwa wanaiba wazi coz wana polisi na jeshi na tume ila ndo hivo ukifka mahakamani ni ngumu ubunge kutenguliwa coz ya katiba...... tofautisha kufungua kesi na kufunguliwa kesi wapinzani hushinda wanapokuwa defensive side sio wanapofungua kesi dhidi ya ccm hope umeelewa so mahakam bado sio suluhisho hapa TZ.

7. mkuu acha kupotosha naongea na ushahidi wa maneno ako mwenyewe wwe ulisema chanzo ni kulenga the wrong audience na kingine kushindwa kushawishi watz ssa kituko ni kukataa kutupa benefit of doubt sisi wapinzani tunaposema chanzo ni KATIBA na TUME HURU ssa unafkiri mbowe ni mjinga kung'ang'ania tume huru kma anajua chanzo ni KUSHINDWA KUWASHAWISHI WATZ au KUSHAWISHI THR WRONG PEOPLE is he that DUMB??? staki kuamini hivyo naomba msitupe tu reason zenu pia skikizeni na za kwetu so i hope next tym ukitaja sababu za upinzani kushindwa ongeza na KATIBA MBOVU na kukosekana kwa TUME HURU i hope tumeelewana hapa......

8. Hahaahahaa kwamba kwanni tunashirki kma tume sio huru..... mkuu kwenye mapambano huwa haturuhusiwi kukata tamaa ndio maana hata majenerali wa hitler kma von manstein hata walipojua ujerumani haina uwezo tena wa kushinda bado waliendelea kupambama wakiamini THINGS WILL CHANGE maana hta tukisusa kma CUF wwe uliingia humu kuwatukana ila tukishiriki still mnatutukana ssa mnatakaje???? kma kususa ndio suluhisho bas muwe wa kwanza kuwaandikia barua CUF ya kuwasifu kwa kususa sio mnakuja na unafki wa kutushauri tutoke kwenye mapambano huku nyienyie ndo wakwanza kututukana tukitoka bungeni au kususa uchaguzi kma ule wa meya kinondoni!!!!

Badala ya kushauri tufanye mass action ya kudai tume huru wwe unatushauri tususe duh afu bado tukitoka bungeni na kususa kma CUF mnatuita waoga sijui waiba kura dah CCM kaz kwelikweli 😀😀😀😀

NB: Narudia tena kma unataka debate stick to one point usije ukabadilisha msimamo inakera pia usiwe msahaulifu na contradicting

Haki ya nani umenichekesha, rules za debate uweke wewe, kuzivunja uzivunje wewe, Dah. Hivi huko nyuma uliwahi kushiriki mdahalo? Unalalamika I should stick to a single debate, wewe mwenyewe unaandika mlolongo wa mapoint sijuwi 8, point zenyewe wala hazihusiani. Mara Ramani (hiyo ramani inashikliwa siri kwanini CCM inaishida Chadema kila wakati), huku Dr. Slaa, kule wapiga kura vijana, mara tena Kenya. (natamani ungepata wasaa na wazee walio pigana Mau Mau wakuambie kama walichokimwagia damu ndio hicho walicho kipata kwenye Kenya ya leo).

Mimi sita enda na mpangilio wako, maana ulivyo viweka hapa ni vijisababu vya kwanini Chadema mmekuwa mnashindwa uchaguzi tokea1995. Nitachukuwa topic moja tu ya Tume huru ya uchaguzi, maana naona ndio inayokutowa machozi. Kama unataka kuongelea topic zingine niko tayari, tena sana tu. One after another, sio hivi unakuja na mlolongo wa vitu visivyo wiyana.

Maneno haya ya tume ya uchaguzi yamekuwa wimbo wa vyama vya upinzani tokea 1995. Lakini chaguzi zote za vyama vingi mmeshiriki bila kipingamizi bali kipingamizi kinakuja pindi mnapopata matokeo ya kushindwa. Mzee Kingunge amekuwa mfano wenu mzuri alipowaambia hivi karibunu “Tulitegemea nini bila tume huru ya uchaguzi?” Sasa kama hoja ni tume huru, mbona mlipeleka majina ya wagombea wa ubunge na udiwani mbele ya tume ambayo siyo huru? Jibu la swali hili ni ruzuku na tamaa ya madaraka, hakuna mbunge wenu atakubali kuhoji tume huru kabla ya uchaguzi wakose millioni 25,000,000 ya mshahara wa kila mwezi.

Uchaguzi wa vyama vingi umefanyika Tanzania tangu 1995, na tumekuwa na waangalizi kutoka sehemu mbali mbali duniani, wameandika repoti nyingi kuhusu uchaguzi wa Tanzania. Pamoja na mapungufu yake (hakuna uchaguzi dunia ambao hauna mapungufu mfano hai US election). Lakini hakuna hata kundi moja la waangalizi walio toa ushauri tuunde tume mpya au kusema tume ya sasa inaiba kura kwa kusirikina na polisi kama unavyotaka kutuaminisha hapa. Chadema katika chaguzi zilizo pita wamekuwa na uhaba wa wasimamizi lakini hili hamuwaambi wafuasi wenu, mna tafuta vijisababu kuhalalisha mapungufu mlio nao hasa nyakati za uchaguzi.

Kama mimi ningekuwa na uwezo, ningewapa hiyo tume huru. Najuwa matokeo hayata kuwa tofauti na matokeo tunayo yapata huko nyuma. Tume tulio nayo ina mjumbe mmoja ambaye anapendekezwa na TLS, na ndio maana tunaona Tundu Lissu anatumia nguvu ya ziada kuupata urais wa TLS ndio muweze kumpachika mtu wenu ndani ya tume ya uchaguzi. TLS na LHRC vimekuwa na mahusiano ya karibu sana na Chadema, lakini hatujaona CCM wanalalamika.
 
Haki ya nani umenichekesha, rules za debate uweke wewe, kuzivunja uzivunje wewe, Dah. Hivi huko nyuma uliwahi kushiriki mdahalo? Unalalamika I should stick to a single debate, wewe mwenyewe unaandika mlolongo wa mapoint sijuwi 8, point zenyewe wala hazihusiani. Mara Ramani (hiyo ramani inashikliwa siri kwanini CCM inaishida Chadema kila wakati), huku Dr. Slaa, kule wapiga kura vijana, mara tena Kenya. (natamani ungepata wasaa na wazee walio pigana Mau Mau wakuambie kama walichokimwagia damu ndio hicho walicho kipata kwenye Kenya ya leo).

Mimi sita enda na mpangilio wako, maana ulivyo viweka hapa ni vijisababu vya kwanini Chadema mmekuwa mnashindwa uchaguzi tokea1995. Nitachukuwa topic moja tu ya Tume huru ya uchaguzi, maana naona ndio inayokutowa machozi. Kama unataka kuongelea topic zingine niko tayari, tena sana tu. One after another, sio hivi unakuja na mlolongo wa vitu visivyo wiyana.

Maneno haya ya tume ya uchaguzi yamekuwa wimbo wa vyama vya upinzani tokea 1995. Lakini chaguzi zote za vyama vingi mmeshiriki bila kipingamizi bali kipingamizi kinakuja pindi mnapopata matokeo ya kushindwa. Mzee Kingunge amekuwa mfano wenu mzuri alipowaambia hivi karibunu “Tulitegemea nini bila tume huru ya uchaguzi?” Sasa kama hoja ni tume huru, mbona mlipeleka majina ya wagombea wa ubunge na udiwani mbele ya tume ambayo siyo huru? Jibu la swali hili ni ruzuku na tamaa ya madaraka, hakuna mbunge wenu atakubali kuhoji tume huru kabla ya uchaguzi wakose millioni 25,000,000 ya mshahara wa kila mwezi.

Uchaguzi wa vyama vingi umefanyika Tanzania tangu 1995, na tumekuwa na waangalizi kutoka sehemu mbali mbali duniani, wameandika repoti nyingi kuhusu uchaguzi wa Tanzania. Pamoja na mapungufu yake (hakuna uchaguzi dunia ambao hauna mapungufu mfano hai US election). Lakini hakuna hata kundi moja la waangalizi walio toa ushauri tuunde tume mpya au kusema tume ya sasa inaiba kura kwa kusirikina na polisi kama unavyotaka kutuaminisha hapa. Chadema katika chaguzi zilizo pita wamekuwa na uhaba wa wasimamizi lakini hili hamuwaambi wafuasi wenu, mna tafuta vijisababu kuhalalisha mapungufu mlio nao hasa nyakati za uchaguzi.

Kama mimi ningekuwa na uwezo, ningewapa hiyo tume huru. Najuwa matokeo hayata kuwa tofauti na matokeo tunayo yapata huko nyuma. Tume tulio nayo ina mjumbe mmoja ambaye anapendekezwa na TLS, na ndio maana tunaona Tundu Lissu anatumia nguvu ya ziada kuupata urais wa TLS ndio muweze kumpachika mtu wenu ndani ya tume ya uchaguzi. TLS na LHRC vimekuwa na mahusiano ya karibu sana na Chadema, lakini hatujaona CCM wanalalamika.
NOTE: Mkuu kabla sijakujibu naomba ujibu kwa point 1 to 8 kma nlivyoweka maana hizo sio hoja mpya ila nmejibu post yako na sikutaka kuruka hoja yako yoyote bila kuijibu

2. Sijasema single debate nmesema Shikilia msimamo mmoja yaani ulishasema ukawa tulipigiwa na vijana ccm na wazee bas usiseme tena "NANI KAKWAMBIA VIJANA WALIWAPIGIA UKAWA" hizo ndo sizitaki sijui tumeelewana ila sina shida na wwe kujadili mambo lukuki nachotaka uwe na msimamo mmoja tu hta kma tutazungumzia ramani cjui NEC sijui lowasa n.k ila usibadilishe msimamo inakuwa inachanganya kidogo, ahsante

IM WAITIN PATIENTLY maana hta mmi najifunza pia kupitia mdahalo huu
 
NOTE: Mkuu kabla sijakujibu naomba ujibu kwa point 1 to 8 kma nlivyoweka maana hizo sio hoja mpya ila nmejibu post yako na sikutaka kuruka hoja yako yoyote bila kuijibu

2. Sijasema single debate nmesema Shikilia msimamo mmoja yaani ulishasema ukawa tulipigiwa na vijana ccm na wazee bas usiseme tena "NANI KAKWAMBIA VIJANA WALIWAPIGIA UKAWA" hizo ndo sizitaki sijui tumeelewana ila sina shida na wwe kujadili mambo lukuki nachotaka uwe na msimamo mmoja tu hta kma tutazungumzia ramani cjui NEC sijui lowasa n.k ila usibadilishe msimamo inakuwa inachanganya kidogo, ahsante

IM WAITIN PATIENTLY maana hta mmi najifunza pia kupitia mdahalo huu
Nadhani kumekuwa na sintofahamu kuhusu nilicho kisema kuhusu wapiga kura wengi vijana kwenye uchaguzi wa 2015. sikujieleza vizuri kwasababu ni mengi tumekuwa tunajadiliana.

Kila nchi ina utaratibu wake wa mpangilio wa uchaguzi, lakini hapo hapo taratibu nyingi za uchaguzi katika nchi mbali mbali zina fanana. Kwetu sisi tume ya uchaguzi inagawa wapiga kura katika makundi manne. (Utaona kuna makundi mawili na yote yana vijana).

18 – 35yrs kundi lenye wapiga kura wengi wapya au wanashiriku uchaguzi kwa mara ya kwanza ambao ni vijana

36 – 45yrs kundi la kundi la wapiga kura vijana lakini huu sio uchaguzi wao wa kwanza, maana wameshiriki chaguzi mbili au tatu nyuma.

46 – 55yrs kundi la watu wazima ambo karibu wote wanauzowefu na mambo ya uchaguzi

56 - 65 yrs and over, kundi la wazee ambao wengi sio swing voters.l

Sasa nadhani ikuwa specific nilipokuwa naongelea vijana waliopigia kura Chadema walitoka kundi gani, na vijana waliopigia kura CCM walitoka gani. Chadema wakikubalika na wapigakura wengi wa kundi la kwanza 18 – 35yrs. Kama linavyoeleza hapo juu kundi hilo ni la wapiga kura wapya, “majority young people voting for the first time” Asilimia kubwa ni vijana waliozaliwa miaka ya 90 ambapo ndio wakati nchi yetu iliingia kwenye siasa za vyama vingi na ndio wakati chadema ina anza kufanya siasa.

Wengi wa vihana hao wamekipenda chama cha chadema kwasababu kwao ccm ni kama chama cha wazazi wao (older generationn) na ndio

Walikuwa ni mtaji wa Chadema. Sasa sasa tukija kwa upande wa CCM, wao walipata wapiga kura vijana lakini wana toka kundi la pili 36 – 45yrs, NEC ina tenganisha makundi ya vijana jutokana na uzowefu wao wa upigaji kura, nikimaanisha a 36 to 46 years voters are know as exprince voter rather than new voters japo wote ni vijana. Chadema walipata kura nyingi kutoka kundi la kwanza, lakini zikaanza kupunguwa na kuhania kwa CCM kandri miaka ilivyokuwa inapanda yani 36, 45, 55 65. CCM na wao walikuwa wanaenda kinyume, walipata kura nyingi kutoka kwenye kundi la mwisho lakini na wao zilipungiwa walipo fikia kwa vijana wa kundi kwanza. Sio kweli kwamba watu ambao sisi bado tuna waita vijana 35 45yrs hawakuipigia kura CCM. Infact CCM walipata lots of young professionals teachers, doctors, lawyers, plus non professionals such drivers. Mama ntilie, Market traders and so on. (A) because of Magufuli factor as he was an outsider, na Magufuli kusema chaguwa Magufuli na sio chagua CCM B) Lowassa kupokelewa Chadema ambapo for 8 years Chadema imekuwa inamsema kama yenye ndio fisadi namba moja. Tusisahau kuwa kuna kundi la vijana ambao hawaipendi CCM lakini hawakupenda kumpa kura yao Lowassa, hao waliamua kutoshiriki uchaguzi all together japo kuwa walikuwa wamesha andikishwa. Kama turn out ingekuwa 100% nadhani mgeweza kusema kweli Chadema ilishinda, lakini turnout ilikuwa 65%. Na katika hao 65% Chadema imekomba vijana wadogo lakini wakati huo huo wengine walishidwa kupiga kura kutokana na mashule na vyuo vilikuwa vimefunga. Wengi walikuwa wamerudi majumbani kwao ambapo ni mbali na vituo vyao walivyo jiandikisha kupiga kura.
 
Nadhani kumekuwa na sintofahamu kuhusu nilicho kisema kuhusu wapiga kura wengi vijana kwenye uchaguzi wa 2015. sikujieleza vizuri kwasababu ni mengi tumekuwa tunajadiliana.

Kila nchi ina utaratibu wake wa mpangilio wa uchaguzi, lakini hapo hapo taratibu nyingi za uchaguzi katika nchi mbali mbali zina fanana. Kwetu sisi tume ya uchaguzi inagawa wapiga kura katika makundi manne. (Utaona kuna makundi mawili na yote yana vijana).

18 – 35yrs kundi lenye wapiga kura wengi wapya au wanashiriku uchaguzi kwa mara ya kwanza ambao ni vijana

36 – 45yrs kundi la kundi la wapiga kura vijana lakini huu sio uchaguzi wao wa kwanza, maana wameshiriki chaguzi mbili au tatu nyuma.

46 – 55yrs kundi la watu wazima ambo karibu wote wanauzowefu na mambo ya uchaguzi

56 - 65 yrs and over, kundi la wazee ambao wengi sio swing voters.l

Sasa nadhani ikuwa specific nilipokuwa naongelea vijana waliopigia kura Chadema walitoka kundi gani, na vijana waliopigia kura CCM walitoka gani. Chadema wakikubalika na wapigakura wengi wa kundi la kwanza 18 – 35yrs. Kama linavyoeleza hapo juu kundi hilo ni la wapiga kura wapya, “majority young people voting for the first time” Asilimia kubwa ni vijana waliozaliwa miaka ya 90 ambapo ndio wakati nchi yetu iliingia kwenye siasa za vyama vingi na ndio wakati chadema ina anza kufanya siasa.

Wengi wa vihana hao wamekipenda chama cha chadema kwasababu kwao ccm ni kama chama cha wazazi wao (older generationn) na ndio

Walikuwa ni mtaji wa Chadema. Sasa sasa tukija kwa upande wa CCM, wao walipata wapiga kura vijana lakini wana toka kundi la pili 36 – 45yrs, NEC ina tenganisha makundi ya vijana jutokana na uzowefu wao wa upigaji kura, nikimaanisha a 36 to 46 years voters are know as exprince voter rather than new voters japo wote ni vijana. Chadema walipata kura nyingi kutoka kundi la kwanza, lakini zikaanza kupunguwa na kuhania kwa CCM kandri miaka ilivyokuwa inapanda yani 36, 45, 55 65. CCM na wao walikuwa wanaenda kinyume, walipata kura nyingi kutoka kwenye kundi la mwisho lakini na wao zilipungiwa walipo fikia kwa vijana wa kundi kwanza. Sio kweli kwamba watu ambao sisi bado tuna waita vijana 35 45yrs hawakuipigia kura CCM. Infact CCM walipata lots of young professionals teachers, doctors, lawyers, plus non professionals such drivers. Mama ntilie, Market traders and so on. (A) because of Magufuli factor as he was an outsider, na Magufuli kusema chaguwa Magufuli na sio chagua CCM B) Lowassa kupokelewa Chadema ambapo for 8 years Chadema imekuwa inamsema kama yenye ndio fisadi namba moja. Tusisahau kuwa kuna kundi la vijana ambao hawaipendi CCM lakini hawakupenda kumpa kura yao Lowassa, hao waliamua kutoshiriki uchaguzi all together japo kuwa walikuwa wamesha andikishwa. Kama turn out ingekuwa 100% nadhani mgeweza kusema kweli Chadema ilishinda, lakini turnout ilikuwa 65%. Na katika hao 65% Chadema imekomba vijana wadogo lakini wakati huo huo wengine walishidwa kupiga kura kutokana na mashule na vyuo vilikuwa vimefunga. Wengi walikuwa wamerudi majumbani kwao ambapo ni mbali na vituo vyao walivyo jiandikisha kupiga kura.
Mkuu naomba twende pole pole ili uone jinsi unajaribu kuipinga hoja ya tume huru huku ukisingizia UMRI WA WAPIGA KURA ndio kigezo cha sisi kushindwa
1. kwanza umedai walioipigia chadema wengi ni 18-35 si ndio na unasema 36-65....wameipigia CCM si ndio haya tuanze kuchambua demographics ili tupate proportion halisi.

2. Naomba ieleweke waliojiandikisha BVR 61% ni 18-25 upo hapo! yaani ukimix na 18-35 unapata almost 75% (utafiti wa TACCEU na NEC) sasa 75% ya 23 milion tunapata almost18 milion si ndio??? haya waliopiga kura ni 15 milion hivyo utagundua waliopoga kura ni zaidi ya 67% ya waliojiandikisha sawa sawa....

3. Haya tuseme kundi la vijana 18-35 pekee ndo wote ambao wale milion 8 hawakupiga kura tukiassume wale 36-65 WOTE walipiga kura tutagundua population ya vijana itapungua kutoka milion 18 mpaka million 11 haya kwa official stats za wizara ya elimu wanaograduate katika level zote za elimu from form 4 to 6 to diploma to bachelors degree to certificate n.k ni almost 0.6 milion kwa mwaka sasa tuifanye hata mara sita tukiassume wanafunzi wote HAWAKUPIGA KURA tunapata 3.6 million at maximum point tunabakia na balance kma ya million 8 hivi.....

3. sasa hao tuliobaki nao million 8 ndo tufanye ssa walipigia ukawa maana tushatoa ulosema wamesusa kisa lowasa na umesema wanafunzi hawakupiga haya mbona bado unakuta VIJANA miilion 8 na WAZEE wa CCM ambao WOTE walipiga kura utmost ndo wale million 5/6 kutoka kwenye milion 24 waliojiandikisha maana milion 18 sawa na 75% ndio tumesema walikuwa 18-35 according to NEC sasa mbona haiingiii akilini statiatics zako????

yaani nmetoa wanafunzi wote (from 18-35 age group) pia nmetoa wale 7 ambao nec Inasema hawakupiga kura still from kundi la vijana ambao accordin to u ndio potential voters for ukawa final results ni

UKAWA 8
CCM 5

Somethin has to be wrong with ur stats kajipange upya maana nmetoa magugu yote ila bado sioni wapi CCM ilipopatia kura if at all hoja yako ni ''AGE MATTERS''

NB: Mkuu hii hoja bado hujanishawishi pia usisahau kujibu post angu ya mwisho 1 -8 hii ya umri imekosa mashiko kabisa we ni bora ukubali kutokuwa na tune huru kumetucost sio age sijui wazee its vague
 
Mkuu naomba twende pole pole ili uone jinsi unajaribu kuipinga hoja ya tume huru huku ukisingizia UMRI WA WAPIGA KURA ndio kigezo cha sisi kushindwa
1. kwanza umedai walioipigia chadema wengi ni 18-35 si ndio na unasema 36-65....wameipigia CCM si ndio haya tuanze kuchambua demographics ili tupate proportion halisi.

2. Naomba ieleweke waliojiandikisha BVR 61% ni 18-25 upo hapo! yaani ukimix na 18-35 unapata almost 75% (utafiti wa TACCEU na NEC) sasa 75% ya 23 milion tunapata almost18 milion si ndio??? haya waliopiga kura ni 15 milion hivyo utagundua waliopoga kura ni zaidi ya 67% ya waliojiandikisha sawa sawa....

3. Haya tuseme kundi la vijana 18-35 pekee ndo wote ambao wale milion 8 hawakupiga kura tukiassume wale 36-65 WOTE walipiga kura tutagundua population ya vijana itapungua kutoka milion 18 mpaka million 11 haya kwa official stats za wizara ya elimu wanaograduate katika level zote za elimu from form 4 to 6 to diploma to bachelors degree to certificate n.k ni almost 0.6 milion kwa mwaka sasa tuifanye hata mara sita tukiassume wanafunzi wote HAWAKUPIGA KURA tunapata 3.6 million at maximum point tunabakia na balance kma ya million 8 hivi.....

3. sasa hao tuliobaki nao million 8 ndo tufanye ssa walipigia ukawa maana tushatoa ulosema wamesusa kisa lowasa na umesema wanafunzi hawakupiga haya mbona bado unakuta VIJANA miilion 8 na WAZEE wa CCM ambao WOTE walipiga kura utmost ndo wale million 5/6 kutoka kwenye milion 24 waliojiandikisha maana milion 18 sawa na 75% ndio tumesema walikuwa 18-35 according to NEC sasa mbona haiingiii akilini statiatics zako????

yaani nmetoa wanafunzi wote (from 18-35 age group) pia nmetoa wale 7 ambao nec Inasema hawakupiga kura still from kundi la vijana ambao accordin to u ndio potential voters for ukawa final results ni

UKAWA 8
CCM 5

Somethin has to be wrong with ur stats kajipange upya maana nmetoa magugu yote ila bado sioni wapi CCM ilipopatia kura if at all hoja yako ni ''AGE MATTERS''

NB: Mkuu hii hoja bado hujanishawishi pia usisahau kujibu post angu ya mwisho 1 -8 hii ya umri imekosa mashiko kabisa we ni bora ukubali kutokuwa na tune huru kumetucost sio age sijui wazee its vague
Dah, sasa ndugu yangu mbona unaniangusha, hii post ya tatu sasa nakuambia husomi ninachoa andika, au labda unasoma na kuiacha hapo siku ukija kujibu unakiwa umesha sahau nilicho kuandikia. Hivi katika post zangu mbili au tatu za nyuma ni wapi nilisema mimi binafsi nakataa kamati mpya ya uchaguzi? Au umepata kuona waraka wowote uliotoka CCM wa kusema kwamba wao hawataki tume mpya iundwe?. Maana ni kichekesho kuona hata Mzee Kingunge anadai tume huru tena baada ua uchaguzi huku chaguzi zote zilizopita hatujamsikia akisema tume huru. Hivi hata Chadema na kundi zima la ukawa hawakuenda kwenye ofisi za tume na kuweka saini kwamba wana kubali kushiriki uchaguzi na tume ikiwa hiyo hiyo wanayo ikataa hivi sasa? Anyway haya ni nje ya mada, nilitaka kuyaweka wazi hapa.

Nimesoma na kurudia kusoma post yako lakini kila nikisoma naona jinsi unavyoshidwa kuelewa uchaguzi wa Tanzania unaendeshwa vipi. Unasema unashindwa kuona jinsi Magufuli alivyopata 58% ya kura zilizo pigwa wakati 61% ya waliojinadikisha ni vijana ambao wengi au wote waliipigia kura Chadema. Unafanya makosa makubwa sana kwenye hesabu zako. Nirudie tena soma post yangu ya mwisho ambayo nilisema CCM alipigiwa kura na makundi yote lakini kura zake nyingi zilianzia kwa wazee zikishuka na kupunguwa mpaka zilipofikia kundi la vijana wa 18-35. Kumbuka kuna chipukizi, kuna UVCCM (ambapo Lowassa alihakikisha amevuruga UVCCM wakati anaondoka lakini alishindwa kukata mzizi wake imara, UVCCM bado ipo na ina endelea kudumu).

Point yako ya pili ndio kichekesho zaidi, kwanba 75% ya waliojinadikisha kupiga kura ni vijana wa kundi la 18-35 na walio piga kura halali (maana kuna kura zilizo haribika) ni 15mil ppl ambo ni sawa na 67%. Hivi ulisha jihakikishia kwamba katika hao wapiga kura wote vijana 75% Lowassa aliwahamasisha vijana wote? Yani wa kike na wakiume? Chadema Kabla Lowassa hajaja kulikuwa hakuna mkakati madhubuti wa kuhamasisha kina mama au wasichana wanaopiga kura kwa mara ya kwanza. Harakati zilianza pale kwenye ukumbi wa mlimani city siku Mbowe alipokuja kumtambulisha Lowassa na kuumbia umma kwamba Dr. Slaa hatakuwepo kwenye safari ya mabadiliko. Mama Regina Lowassa huku akisaidiwa na Halima Mdee na kundi la bongo movie walichukuwa jukumu la kuhamasisha kina mama. (again stolen CCM strategy). UWT inawanachama mara mbili au tatu ya wanachama wote wa Chadema. Uhamasishaji kwao ni jambo wamelifnya kwa miaka mingi sana.

Hebu pitia kwenye maandio haya ya Julius Mtatiro aliyo yaandika miezi kadha kabla ya uchaguzi 2015. Angalia kipemgele namba 6

Mfano mzuri au nisema unaweza kufanya zowezi dogo tu la kupitia Google Image, ungalie picha nyingu tu wakati wa kampeni kwenye mikutano ya uchaguzi ujionee sampuli wa watu walikuwa wanajitokeza kwenye mikutano ya Lowassa na waluojitokeza kwenye mikutano ya Magufuli. Utajikuta Lowssa alijaza vijana wengi sana wa miaka hiyo ya 18-35 lakini wengi walikuwa ni wa kiume kuliko wa kike ila kwa Magufuli kulikuwa na mchaganyiko wa kila aina.

Mfano wa mkusanyiko wa watu kwenye mikutano ya Lowassa
Chadema Blog: PICHA ZAIDI ZA TUKIO LA MKUTANO MKUBWA WA KUMTAMBULISHA MGOMBEA WA UKAWA NDUGU EDWARD LOWASSA MWANZA

Mfano wa mkusanyiko wa watu kwenye moja ya mikutano ya Magufuli.
http://www.tanzaniatoday.co.tz/news...ampeni-mchana-huu-sengerema-na-geita-vijijini

Ukae ukijuwa wapiga kura wanawake ni wengi kuliko wanaume na wanawake wanapiga kura kwa uwaminifu sana kuliko wanaume, nikimaanisha kwamba, wanawake wanajitokeza kwa wingi siku ya kupiga kura kuliko wanaume. Angalia link hapa chini uone idadi ya wapiga kura kwa kila mkoa na kwa jinsia pia. Muhimu zaidi angalia jedwali la mwisho kabisa utaona kwanini CCM wali focus kwa wazee na kina mama zaidi kuliko kwa vijana wa 18 - 35. CCM walichokifanya ni kuhakikisha wanateka ngome ya wasichana ambo ni wanapiga kura kwa mara ya kwanza, kupitia kinadada maarufu na ndio maana unaona Wema anapokelewa kwa shamshwe kubwa maana Chadema kuna uhaba mkubwa wa kupata wahamasishaji wa wakike.

Orodha ya NEC ya idadi ya wapiga kura kwa kila Mkoa na uwiano wa kijinsia, umri - wavuti

Mkuu, umeniambia nikujibu posti yako ya mwisho hoja namba 1-8. Again umesahau nilipokuambia huo mfumo haunifai kwasababu sintakupa majibu yenye mapana na mrefu. Kama tukijadiliana it's better kujadiliana jambo moja moja and have proper answers even if they're not satisfactory answers to one another. We can always agree to disagree it's called democracy. Kama kuna topic yoyote kati ya hizo 8 unapenda kuipa kiapaumbele mimi niko tayari one after another (not all at once). Hata mimi ninamaswali mengi tu yakuuliza kuhusu sera zenu na nini mpango wa Chadema kuiwamua hii nchi kiuchumi.
 
View attachment 190889

Hakuna shaka kua katiba hii ya ccm haina ridhaa ya wananchi wala vyama vikubwa vya upinzani nchini, hii ni katiba ya Ki (DICTATOR) ambayo ufanyaji wa kazi yake utatokana vyombo vya Dola kutumia (Nguvu) zidi ya raia.

Usimamizi wa Katiba hii itakua ni kutumia vyombo vya Dola kushurudisha yani Raia watanza kukamatwa kamatwa na kubambikiziwa makesi ya Luangwa ,chuki za kisiasa zitanza kabuki na chama tawala hakuna shaka kitakua kinavitumia vibaya vyombo vya Dola kwa shuhuli zao za Kisiasa ambalo jambo hilo tumelizowea.

Hivi sasa tayari kuna mikakati kabambe yaku vizibiti vyama vya kisiasa hususani vile vikuu CHADEMA na CUF ili visifurukute na washindwee kufanya shuhuli zao kwa kutumiwa Vyombo vya Dola na CCM , Watabanwa kufanya mikutano ya Hadhara na Mandamono na vyombo vya Dola vitatafuta visingizio na Sababu ili tu washindwee kufanya Shuhuli zao kwa Uwazi .

Tokea mchakato huu kutekwa na CCM tumeshaona wanavyo vitumia vyombo vya Dola vibaya zidi ya raia na hivi sasa kwavile tunaelekea katika kura ya maoni itakayo pingwa na Wananchi wa Tanzania ,basi tutashuhudia unyanyasaji mkubwaa wa vyombo vya Dola zidi ya raia.

Hatuna wasiwasi kua katiba itakikanayo hii na ccm itapita bila kupingwa kwa vile wamehodhi Nyanja zote za udanganyifu mfano tume za Uchaguzi NEC na ZEC na force ya Vyombo vya Dola kufanya kazi za kichama (CCM).

Kwa hio katakana na hali hii nilazima vyama vya upinzani kuanzia sasa Waitangi upya kupambana na CCM na tasisi zake ikiwemoo vyombo ya Dola na mahkama nchini, bila ya kuto kujipanga basi haki aitopatika na kwa kutengemea mahkama wakati zote hizo nikatika tasisi zake CCM.

Jee vyama ya Upinzani mumejifunza nini kuhusu Uchaguzi mkuu wa 2015 haliyakua CCM wamepindua nchana matokeo ya mchakato wa Katiba?

Hakuna shaka kuwa hili lilikua ni funzo zidi yenu kwa njia ya kuelekea uchaguzi mkuu ambao matayarisho yake huanza kabla ya siku kufika ambayo tumebakia na siku chache tu kufika katika uchaguzi mkuu wa 2015 October,

Hivi kwela vyama vya upinzani ccm itakua tayari kuridhika kiungwana kuchindwa na wakatoa Nchi iongozwee na Vyama vya Upinzani ikiwa wameweza kupindua mchakato wa katiba wayside vipi kutumia tasisi zao za tume za Uchaguzi NEC/ZEC kubadilicha matokeo ?,Hii haingii akilini kabisa .

Njia pekeyake ya ccm kuingoa ni kuamua watakavyo ndio tutakavyo na wachezavyo ndivyo tutakavyo cheza , lakini kusema vyama vya upinzani wazitegemee tume za Uchaguzi au kuibiwaa na kusema wakimbilie Mahakamani? Ni kujidanganya na kupoteza muda wao.

Kwa style hii hakuna mahkama itakayo wafanyia haki kwa vile tumezoea kuona tume za uchaguzi ,Vyombo vya Dola na Mahkama vyote ni matawi ya CCM.
 
Back
Top Bottom