Magangad
JF-Expert Member
- May 14, 2017
- 837
- 354
hivi wadau, katiba mpya itakuja kukamilika lini? unajua kipya kilianzishwa ili kuziba mapengo yaliyomo kwenye chakale, sasa kama hiki kipya kinachelewa maana yake tutaendelea nayo mapungufu tu? nashauri wadau wakishughulikie , kwanza ni faida kwa raia kama mimi, pili gharama zilizotumika kuandalia zisiende bure