Katiba pendekezi itakuja kukamilika lini?

Magangad

JF-Expert Member
May 14, 2017
837
354
hivi wadau, katiba mpya itakuja kukamilika lini? unajua kipya kilianzishwa ili kuziba mapengo yaliyomo kwenye chakale, sasa kama hiki kipya kinachelewa maana yake tutaendelea nayo mapungufu tu? nashauri wadau wakishughulikie , kwanza ni faida kwa raia kama mimi, pili gharama zilizotumika kuandalia zisiende bure
 
hivi wadau, katiba mpya itakuja kukamilika lini? unajua kipya kilianzishwa ili kuziba mapengo yaliyomo kwenye chakale, sasa kama hiki kipya kinachelewa maana yake tutaendelea nayo mapungufu tu? nashauri wadau wakishughulikie , kwanza ni faida kwa raia kama mimi, pili gharama zilizotumika kuandalia zisiende bure
Huyu mnyarwanda keshasema katiba mpya si kipaumbele chake. Over.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom