Katiba Mpya: Dk. Slaa awasilisha maboksi 17 - Yanahusu maoni ya Katiba, Warioba agoma

Daah! Embu ngoja niende kwanza kanisani maana duu! Hamy d we nawe unauhakika na habari hizo? Au pombe zile tulizo piga jana pale mahala.
 
Madawa ya kulevya CHADEMA wanahusika,mchumba wa Dr.slaa,mbowe tunaunganisha Dots
Mleta mada inawezekana sio mtu wa kawaida. Yaan hujayaona yote yanayolikabili taifa letu kama madawa ya kulevya na ujambaz uliokidhiri bali wewe umeona la maoni kukataliuwa kweli? Vitu vingine jaman!
 
Kutoka mtembea bure sio sawa na mkaa bure mpaka kusoma bure JF sio sawa na asiyeandika Uzi.
 
kwisha habari yenu,chadema mkishikwa pabaya mnakimbilia kuuliza chooni wapi

mnahangaika sana na dakt wa ukweli. Kwa nn msihangaike na daktar wenu wa kichina. Kagame ndo dawa yake. Sa hz anaunyaunya tu baada ya kulikoroga. Acha alinywe!
 
Mleta mada inawezekana sio mtu wa kawaida. Yaan hujayaona yote yanayolikabili taifa letu kama madawa ya kulevya na ujambaz uliokidhiri bali wewe umeona la maoni kukataliuwa kweli? Vitu vingine jaman!

Hivi kumbe kwa kuwa kuna tatizo la madawa ya kulevya basi ndio tujipige marufuku kujadili mambo mengine kwenye jamii zetu?

Usiniambie kuwa wewe uwa hauli, haunywi wala haulali, bali uwa unakomaa na madawa ya kulevya tu?

Wewe kweli wakuhurumiwa!
 
Kwani maoni ya CCM yamepokelewa au maoni yao ni kwenye vyombo vya habari tu?
 
mnahangaika sana na dakt wa ukweli. Kwa nn msihangaike na daktar wenu wa kichina. Kagame ndo dawa yake. Sa hz anaunyaunya tu baada ya kulikoroga. Acha alinywe!
mkuu tunazungumzia maoni ya katiba,mbona hueleweki.
Maoni milioni 3yako wapi hahahahaha?
 
hilo sio pigo kwa dr.slaa ni la watz wote.sioni kama tutapata katba mpya kwa utawala huu.pengine tusubiri 2016.
 
mkuu chadema hamjitambui kabisa kabisa.,yaani hovyo kwelikweli.Ona saaa baada ya habari kuijadili unauliza imetoka wapi.Lakini isingekuwa inauliza kuhusu chadema ungefyata mkia.
we kweli zuzu uzi umeletwa tena na mdaku mkuu wa jf hata haieleweki chanzo cha habari nichangie tu bila kuhoji? Hivi nyie mijitu ya ccm mpoje lakini?
 
jadili mada mkuu huku kwingine unapoteza muda.Chadema mnafuja ruzuku ya chama kwa matumizi ya ya ovyoo

afadhali sisi tunatumia ruzuku kwa kuwaelimisha raia kuliko nyie kujifungia dodoma na kudanganya umma
 
hilo sio pigo kwa dr.slaa ni la watz wote.sioni kama tutapata katba mpya kwa utawala huu.pengine tusubiri 2016.
wewe Tume haipokei maoni ya kihuni yaliyoandikwa Hotelin na vijana wa Dr.slaa,kwenye mikutano ya Dr.slaa hakuna maoni yaliyokuwa yanaandikwa kwenye makaratasi zaidi ya kuongea kwa mudomo.
SASA HIZO KARATASI ZA MAONI ZIMETOKA WAPI?
KWEISHAAAAA HABARI YAKE
 
Kwisha habari yake,dr.slaa mhuni alikusanya vijana ndio waandike maoni hotelini.

Mmekurupuka na mleta mada.
hiyo Randama mnaijuila?
hayo ndio maoni ya wanainchi kupitia CHADEMA hayo mabox 17 ni ushahidi tu jinsi hayo maoni yalivopatikana.
naona mnatokwaaa na povu mdomoni mnawalowanisha walioko mbele yenu.
 
mkuu chadema hamjitambui kabisa kabisa.,yaani hovyo kwelikweli.Ona saaa baada ya habari kuijadili unauliza imetoka wapi.Lakini isingekuwa inauliza kuhusu chadema ungefyata mkia.

Kama hukuangalia hata coverage ya watanganyika tulivyojitokeza kutoa maoni yetu katika mikutano ya makamanda basi wewe ni mburula, ukweli uko wazi watu walijitokeza kwa ukweliukweli na kama magamba mnabisha basi 2015 Mtaipata freshi,
Hivi iweje tume ikubali randama/Malabrasha then ukatae ushahidi wa kura ktk maboksi,
huo ni uhuni na watanzania waliotumia muda wao na raslimali zingine kwenda kutoa maoni ktk mikutano ya CHADEMA wameona uhuni uliofanywa na tume so majibu yake ni ktk ballots box hapo 2015 magamba wote mkae mkao wa kupatatwa.
 
mkuu tunazungumzia maoni ya katiba,mbona hueleweki.
Maoni milioni 3yako wapi hahahahaha?

mtatutambua 2,chama chenu kimekuwa kama mavi huwezi kuyaweka hadharani. Mnajifungia dodoma ndo mnawasemea watanzania. Dodoma ndo choo chenu cha kujisaidia eti. Hamwezi mkatoka hadharani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom