Afica, africans!! we never learn any lesson! libya had every thing, now it is nothing but ruins and a gun for everybody, Egypt is burning and TZ is now another egypt in a making! tunastahili kwenda huko tunako kutaka kwa unafiki wetu! tunaimba "...
Taanzania tanzania, nakupenda kwa moyo wote halafu watu hao hao tunapanga kuivunja! shem on you all!! tunaimba tazama ramani utaona nchi nzuri,..... blah blah halafu tupo mstari wa mbele kuitokomeza kwenye ramani ya dunia!, tunimba Mungu ibariki Tz halafu tunafanya nini kuhusu hiyo Tanzania? afadhali wakenya wamepata matumizi ya jina Tanzania sasa hivi ni brand ya majani ya chai halafu humu humu tunalalama ohh wameiba jina letu, ......blah, blah!
CCM at least wanaonyesha wakiimba Taanzania, Tanzania they mean it!, wkiimba tazama ramani they mean it!, wakiapa kuitetea katiba they mean it! wana mapungufu mengi though lakini sii wanafiki! and kwa watu wenye akili issue sii katiba! issue ni gas! waafrika tulilaaniwa mali asili zituangamize badala ya kutunufaisha! Julius aliliona hili mapema akaamua kivyake watu hawkumuelewa now we are in ngoja tuone maana if we do not know where we are going, any way will take us there, in the name of katiba!