Katiba: Kauli ya Mhe. Freeman Mbowe Kuhusu Mazungumzo na JK

Hivi tulitegemea nini hasa? Rais asisaini mswada? Suala la katiba linagusa kila mtu, si CDM peke yake. CDM wamajitahidi sana kuonesha upungufu uliopo, vinginevyo wengi wetu tusingejua hata ni nini kinachoendelea.

Rais alishasema kuwa angetia sahihi mswada, hakuna jambo ambalo lingebadilisha uamuzi wake, kufanya hivyo ingekuwa pigo kubwa sana kwa serikali yake na chama chake.
 
Hivi tulitegemea nini hasa? Rais asisaini mswada? Suala la katiba linagusa kila mtu, si CDM peke yake. CDM wamajitahidi sana kuonesha upungufu uliopo, vinginevyo wengi wetu tusingejua hata ni nini kinachoendelea.

Rais alishasema kuwa angetia sahihi mswada, hakuna jambo ambalo lingebadilisha uamuzi wake, kufanya hivyo ingekuwa pigo kubwa sana kwa serikali yake na chama chake.
joss, wote wanaoshangaa rais kuusaini ule muswada, wanapenda tuu kushangaa, nimepata muda naanza transcrip taarifa ya Mhe. Mbowe ili muone kama kuna kitu ambacho hakikujulikana!.
 
Transcript
Charles Hillary : " ...Rais wa nchi hiyo Jakaya Kikwete kuendelea kuineemesha katiba hiyo ili kukidhi mahitaji ya kujenga kuaminiana na muafaka wa kitaifa. Makubaliano hayo yamefanyika baada ya chama cha Chadema ambacho wabunge wake walisusia hatua ya kusomwa na kupitishwa kwa muswada wa juu ya kuundwa katiba mpya nchini humo, kuomba kukutana na rais Kikwete.

Eric David Nampesya, amezungumza na mwenyekiti wa chama cha Chadema, Freeman Mbowe, kwanza anaeleza kilichoafikiwa kwenye mazungumzo hayo"

Transcription, inaendelea...
 
Mhe. Mbowe: "Cha msingi kuliko vyote, ni kwamba ni vyema kila mmoja wetu na kila Mtanzania akatambua kwamba, hoja ya kubadilisha ama kuandika upya katiba yetu ni hoja ambayo ni ya mchakato, siyo jambo ambalo linamalizika kwa siku moja, kwa maana hiyo tumekubalianan kimsingi kwamba, iko haja ya kufanya mashauriano mara kwa mara na wadau mbalimbali, sio Chadema peke yake, wako wadau wengi katika taifa hili ambao wanapenda kuona mabadiliko haya ya katiba, yanatujenga kama taifa na hayatugawi kama taifa, kwa hiyo tumekubaliana kimsingi kwamba, ipo haja ya kuendelea kufanya vikao vya mashauriano tumemuomba rais pia aendelee kufa mashauriano na wadau wengine ndani ya vyama vya siasa, nje ya vyama vya siasa ili kuendelea zaidi kupata muafaka wa kitaifa"
 
Pasco ninavyokujua mimi ni moja ya watu wenye inflence katika public na hata taaluma yako inakupa nafasi nzuri sana ya kuleta mabadiliko,kinachonisikitisha sana kutoka kwako,sijawahi kuona umetoa the way foward zaidi ya kusubiri kujinasibu eti ulituambia.sasa mambo ya kusubiri jambo liharibike ndio uje na hoja ya kwamba ulisema kabla kwangu naona ni nonsense.Hebu katika hii hoja ya Katiba tuweke wazi msimamo wako ukoje na unaishauri nini jamii ya kitanzania juu ya nini kifanyike kuhusu huu mswaada uliosaniwa na mpaka kufikia kutengeneza katiba mpya.Sasa unachokera umekaa kuwawinda chadema tu siku zote huku ukisema wewe huna chama,na hayo mawindo ya chadema siku zote ni ya nini?na je kama ni suala la uzalendo hebu tuambie wazi huu mswaada unaukubali kwamba hauna kasoro wala haulindi maslahi ya chama tawala?Fine mbinu walizotumia chadema tumeziona na kwa muono wako na wale unaowashawishi tuseme hazikutosha je mbinu za nani zingine unazozisapoti wewe?za wanaharakati na jukwaa la katiba ambao wao wamedhamiria kuandamana?je PASCO uko tayari kuandamana?maana wengine humu jukwaani tunakujua vilivyo hata siku ya kuandamana wengine tuttakutafuta ili tone huo uzalendo wako.Sema wazi kabisa wewe unasapoti mswaada huu uliosaniwa?na kama hausapoti nini kifanyike,sio kujenga hoja ili uonekane kwa watu unaponda jambo fulani tene la kitaifa eti tu kwa sababu limewakilishwa na CDM.yote kwa yote nani asiejua wabunge wa CCM wanachokifanya bungeni,nani hajui CUF na wapambe wenye kuendekeza njaa wanavyoshirikiana na CCM na kupitisha mambo yenye manufaa kwa chama tawala?unadhani ni mbinu gani ingetumiwa na CDM bungeni ambayo ingelisaidia?maana ukweli ni kwamba hakuna kitu ambacho kinaibana serikali hii ya CCM kitakachokubaliwa bungeni labda kiwe hakina madhara ya moja kwa moja kwenye CCM.na kwa msingi huo basi suluhu ni nguvu ya umma ambayo nayo kila siku mnaipinga,CDM wamekubali kusitisha nguvu ya umma bado tena mnabeza,watu kama kina PASCO tuambieni nini kifanyike kwa yale ninayowauliza.
 
Nadhani cdm hawakukosea. Wamelalamika kwa maandishi. Wamefikisha ujumbe kulikotakiwa. Wamemweleza yale ambayo wananchi kwa jumla wanataka. Kusaini Muswada kwa JK lilitegemewa na alishasema pale PTA mbele ya vile vizee vya ccm vilivyokusanywa kwa mafuso ili kumshangilia' Bravo Chadema.
 
Pasco ninavyokujua mimi ni moja ya watu wenye inflence katika public na hata taaluma yako inakupa nafasi nzuri sana ya kuleta mabadiliko,kinachonisikitisha sana kutoka kwako,sijawahi kuona umetoa the way foward zaidi ya kusubiri kujinasibu eti ulituambia.sasa mambo ya kusubiri jambo liharibike ndio uje na hoja ya kwamba ulisema kabla kwangu naona ni nonsense.Hebu katika hii hoja ya Katiba tuweke wazi msimamo wako ukoje na unaishauri nini jamii ya kitanzania juu ya nini kifanyike kuhusu huu mswaada uliosaniwa na mpaka kufikia kutengeneza katiba mpya.Sasa unachokera umekaa kuwawinda chadema tu siku zote huku ukisema wewe huna chama,na hayo mawindo ya chadema siku zote ni ya nini?na je kama ni suala la uzalendo hebu tuambie wazi huu mswaada unaukubali kwamba hauna kasoro wala haulindi maslahi ya chama tawala?Fine mbinu walizotumia chadema tumeziona na kwa muono wako na wale unaowashawishi tuseme hazikutosha je mbinu za nani zingine unazozisapoti wewe?za wanaharakati na jukwaa la katiba ambao wao wamedhamiria kuandamana?je PASCO uko tayari kuandamana?maana wengine humu jukwaani tunakujua vilivyo hata siku ya kuandamana wengine tuttakutafuta ili tone huo uzalendo wako.Sema wazi kabisa wewe unasapoti mswaada huu uliosaniwa?na kama hausapoti nini kifanyike,sio kujenga hoja ili uonekane kwa watu unaponda jambo fulani tene la kitaifa eti tu kwa sababu limewakilishwa na CDM.yote kwa yote nani asiejua wabunge wa CCM wanachokifanya bungeni,nani hajui CUF na wapambe wenye kuendekeza njaa wanavyoshirikiana na CCM na kupitisha mambo yenye manufaa kwa chama tawala?unadhani ni mbinu gani ingetumiwa na CDM bungeni ambayo ingelisaidia?maana ukweli ni kwamba hakuna kitu ambacho kinaibana serikali hii ya CCM kitakachokubaliwa bungeni labda kiwe hakina madhara ya moja kwa moja kwenye CCM.na kwa msingi huo basi suluhu ni nguvu ya umma ambayo nayo kila siku mnaipinga,CDM wamekubali kusitisha nguvu ya umma bado tena mnabeza,watu kama kina PASCO tuambieni nini kifanyike kwa yale ninayowauliza.
Jigoku, tafuta thread yangu humu "CCM Imechokwa, Chadema Haijajipanga".
Nimeipongeza Chadema kwa ushindi mkubwa, nikaorodhesha mapungufu yao na kuwashauri ni nini cha kufanya.

Kabla ya uchaguzi mdogo wa Igunga, Chadema walipowatimua wale madiwani wa Arusha, nilipandisha thread ya a big mistake na kuwashauri cha kufanya.

Juzi juzi walipoboronga kwa kutowasilisha pingamizi, niliwaambia makosa yao, nikawaonyesha pale walipojikwaa na kuwashauri a way forward. Japo nimepingwa sana lakini ukweli daima utasimama.

Msimamo wangu kuhusu hoja mbalimbali huwa niko wazi sana, wanaonielewa wananielewa.

Misimamo yangu kuhusu maandamano inaeleweka. Mimi ni realist nasema vitu vya ukweli tupu na sio idealist ambao wanafanya vitu vya kufikirika.

Niliwashauri na naendelea kushauri, lets face the bitter reality tukubali matokeo tusonge mbele!.

Naomba tuzame kwenye hoja za Mhe. Mbowe zinaendelea kushuka huna haja ya kunifuatilia unione kwenye maandamano ambayo hayapo!.
 
Transcription inaendelea...
Eric David Nampesya: " Lakini hoja yenu ya msingi ilikuwa ni kupinga jinsi mchakato ule mzima ulivyoendesha ambapo muswada ulisomwa kwa mara ya pili, nyinyi mkipinga kutaka usomwe kwa mara ya kwanza, inamaana sasa mmeridhia kilichotokea katika bunge mjini Dodoma?.
 
Mhe. Freeman Mbowe: "Hapana, hapana, hatujaridhia kilichofanyika Dodoma, bado tumelalamika kuwa muswada ule ni mbovu, na bado tumeiachia serikali tuone itafanya nini katika kuurekebisha muswada huo, na tunajua wako wadau wengine wengi ambao nao wana mawazo yao, tunaimani kwamba serikali, kwa kauli aliyoitoa rais, pengine nae atawapa fursa ya kuwasikiliza malalamiko yao, kisha pengine serikali ilete sasa marekebisho ya ya ya sheria, ili kuwezesha kuingiza hoja mbalimbali ama kupunguza mambo mbalimbali yaliyokuwa yana lalamikiwa".
 
Pasco ninavyokujua mimi ni moja ya watu wenye inflence katika public na hata taaluma yako inakupa nafasi nzuri sana ya kuleta mabadiliko,kinachonisikitisha sana kutoka kwako,sijawahi kuona umetoa the way foward zaidi ya kusubiri kujinasibu eti ulituambia.sasa mambo ya kusubiri jambo liharibike ndio uje na hoja ya kwamba ulisema kabla kwangu naona ni nonsense.Hebu katika hii hoja ya Katiba tuweke wazi msimamo wako ukoje na unaishauri nini jamii ya kitanzania juu ya nini kifanyike kuhusu huu mswaada uliosaniwa na mpaka kufikia kutengeneza katiba mpya.Sasa unachokera umekaa kuwawinda chadema tu siku zote huku ukisema wewe huna chama,na hayo mawindo ya chadema siku zote ni ya nini?na je kama ni suala la uzalendo hebu tuambie wazi huu mswaada unaukubali kwamba hauna kasoro wala haulindi maslahi ya chama tawala?Fine mbinu walizotumia chadema tumeziona na kwa muono wako na wale unaowashawishi tuseme hazikutosha je mbinu za nani zingine unazozisapoti wewe?za wanaharakati na jukwaa la katiba ambao wao wamedhamiria kuandamana?je PASCO uko tayari kuandamana?maana wengine humu jukwaani tunakujua vilivyo hata siku ya kuandamana wengine tuttakutafuta ili tone huo uzalendo wako.Sema wazi kabisa wewe unasapoti mswaada huu uliosaniwa?na kama hausapoti nini kifanyike,sio kujenga hoja ili uonekane kwa watu unaponda jambo fulani tene la kitaifa eti tu kwa sababu limewakilishwa na CDM.yote kwa yote nani asiejua wabunge wa CCM wanachokifanya bungeni,nani hajui CUF na wapambe wenye kuendekeza njaa wanavyoshirikiana na CCM na kupitisha mambo yenye manufaa kwa chama tawala?unadhani ni mbinu gani ingetumiwa na CDM bungeni ambayo ingelisaidia?maana ukweli ni kwamba hakuna kitu ambacho kinaibana serikali hii ya CCM kitakachokubaliwa bungeni labda kiwe hakina madhara ya moja kwa moja kwenye CCM.na kwa msingi huo basi suluhu ni nguvu ya umma ambayo nayo kila siku mnaipinga,CDM wamekubali kusitisha nguvu ya umma bado tena mnabeza,watu kama kina PASCO tuambieni nini kifanyike kwa yale ninayowauliza.

Huyu Pasco na kulalamikia cdm sijui anapata nini,nakumbuka alimwuliza Tundu kwamba kwa cdm kutoka nje kikao cha bunge kilichokuwa kinajadili muswada wa katiba wamepata nini? Binafsi nafikiri kitu cha msingi kila mtu na taaluma yake afocus kwenye namna gani tutapata katiba bora, badala ya ku-focus kwa cdm tu, Pasco nakushauri usipoteze muda wako kwa kuwaza cdm.
 
Hili la katiba ndio limeshapita. CCM wataitunga kwa mujibu wa matakwa yao. Sioni kama Watanzania tuna moyo wa kuingia mitaani sote kama kitu kimoja kudai haki zetu. Wasaliti wamejaa tele.

Cha kufanya tusubiri 2015 CDM itakapokamata nchi watatunga katiba inayoendana na nyakati.
 
Huyu Pasco na kulalamikia cdm sijui anapata nini,nakumbuka alimwuliza Tundu kwamba kwa cdm kutoka nje kikao cha bunge kilichokuwa kinajadili muswada wa katiba wamepata nini? Binafsi nafikiri kitu cha msingi kila mtu na taaluma yake afocus kwenye namna gani tutapata katiba bora, badala ya ku-focus kwa cdm tu, Pasco nakushauri usipoteze muda wako kwa kuwaza cdm.
Tuna vyama 18 ila mti unaotupiwa mawe ni ule wenye embe bivu!.

Wale mnaodhani naisakama Chadema, siku ya siku itakapofika, mtakuja humu humu kunishukuru!.

Anaempenda mwanae humkanya!. Mchelea mwana kulia, hulia yeye!. Sasa tumeshalizwa sana 2005 na 2010, mimi sitaki 2015 tulie tena!. Hivyo simchelei mwana kulia, natembeza tuu bakora!.

Kuna watu wanajiaminisha kuwa wao wanaipenda sana Chadema kwa kuiimbia nyimbo za sifa, shangwe na mapambio lakini kiukweli ndio wanaiangamiza!. Sisi tunao ichallenge mnatuona kama tunaiangamiza kumbe ndio tutakaoisalimisha!.
 
Transcript inaendelea..
Eric David Nampesya: Awali mlisema kwamba kama rais asingekutana na ninyi mngepeleka kilio chenu kwa wananchi hali inayotafsiriwa kwamba ni kuhamasisha maandamano nchi nzima, kwa maana hii, baada ya rais kukutana na ninyi, sasa mnafuta mpango wenu huo?.
 
Transcript inaendelea...
Mhe. Freeman Mbowe: "Ehe ee niseme tuu kwambaa..., tumezungumza tuu kwa kina kwa kweli, tumezungumza kwa kina, naa na serikali imeonyesha nia kutaka kufanya marekebisho ya msingi katika katiba hii, na kwa maana hiyo, tutaitegemea serikali kuchukua hatua za haraka, katika kikao kijacho cha bunge, tufanye baadhi ya mabadiliko ambayo yatapelekea kuleta mshikamano na maridhiano. Kwa maana hiyo, hatutakuwa na maandamano ya kupinga katiba katika hatua ya sasa, mpaka tungojee serikali ifanye mabadiliko ya msingi"
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom