mkalachaka
Member
- Jan 17, 2007
- 12
- 0
Mwenzenu nimesoma Katiba inayopendekezwa lakini ninapata kigugumizi kwa kuona BMK imeondoa mapendekezo mazuri yaliyokuwa kwenye Rasimu ya Pili ya Katiba iliyowasilishwa na Tume.
MMoja wa wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amejaribu kuchambua mapungufu hayo ambayo nimeona ni vyema tukachangia kwa pamoja kwa faida ya Nchi yetu.
Hapa nayaambatanisha ili kila mwana jamii apate kuyapitia.
MMoja wa wajumbe wa iliyokuwa Tume ya Katiba amejaribu kuchambua mapungufu hayo ambayo nimeona ni vyema tukachangia kwa pamoja kwa faida ya Nchi yetu.
Hapa nayaambatanisha ili kila mwana jamii apate kuyapitia.