Ni ukwel mchungu, ukiachilia mbali hayo... Njia nzuri ya kupambana na adui cha Kwanza kubali uwezo wake alaf utafte udhaifu wake upitie hapo, CCM inatambua uwezo wa Chadema na inatambua udhaifu wao , na ndo mana Kwa miaka mitano wamepambana na Chadema kufa na kupona, miez hii miwili ya kampeni wanasuuuza tuu , mitambo yote imetegeshwa kuleta ushindi...