Katiba imeshampa Ushindi Mgombea wa CCM kabla ya Uchaguzi, Vyama vingi Kiini macho

Ni ukwel mchungu, ukiachilia mbali hayo... Njia nzuri ya kupambana na adui cha Kwanza kubali uwezo wake alaf utafte udhaifu wake upitie hapo, CCM inatambua uwezo wa Chadema na inatambua udhaifu wao , na ndo mana Kwa miaka mitano wamepambana na Chadema kufa na kupona, miez hii miwili ya kampeni wanasuuuza tuu , mitambo yote imetegeshwa kuleta ushindi...
Safari hii matokeo tunakusanya na kujumlisha na kisha tunafananisha ha ya tume!Yakienda mrama ni barabarani!Lazima sanduku la kura liheshimiwe!

CCM imewekeza kwenye rafu kupora ushindi,ole wao maana safari hii mtaelewa!
 
raisi anaapishwa baada ya muda gani toka atangazwe kushinda?
Sikumbuki Ila usiseme baada ya muda gani ila neno kisheria linalotumika kama kumbukumbu zangu ziko sawa ni "ndani ya kipindi fulani toka kutangazwa",yaani isizidi kipindi fulani!
 
mtu ni Rais then anapiga kampeni achaguliwe kuwa Rais. tuna katiba mbovu sana
 
Sikumbuki Ila usiseme baada ya muda gani ila neno kisheria linalotumika kama kumbukumbu zangu ziko sawa ni "ndani ya kipindi fulani toka kutangazwa",yaani isizidi kipindi fulani!
Speculation zako weka kando mkuu haya maswala ni mambo makubwa sana sjui kama unalijua hilo ndo maana nakwambia check your facts kwanza ukshapata uhakika then njoo tena tujadili vizuri.

Haimaanishi natetea system ila sio sawa kupotosha
 
9 Reactions
Reply
Back
Top Bottom