Tanzania wanaishi watu wenye dini mbalimbali na zaidi Waislamu na Wakristo! kumekuwa na malalamiko mengi ya chini kwa chini kuwa Dini haipewi nafasi ktk maamuzi mengi muhimu ya nchi yetu!
Pia kuna malalamiko ya baadhi ya dini fulani kubaguliwa ndani ya nchi yao! na zaidi wimbo wa Serikali kuwa Dola haina dini ila watu ndio wenye dini!
Wakati umefika kuandika katiba yetu mpya kwa kutambua rasmi dini zetu na kuacha kurudiarudia kauli ya kuchanganya dini na siasa! kauli hii imepitwa na wakati! Dini na viongozi wa dini wapewe nafasi stahiki ktk katiba yetu na iwe ruksa kuanzisha chama chenye mrengo wa dini! hata huko Ulaya mbona kuna vyama vyenye mrengo wa dini ya Kikristo? na vingine viko madarakani? kwanini hapa kwetu iwe haramu?
Pia kuna malalamiko ya baadhi ya dini fulani kubaguliwa ndani ya nchi yao! na zaidi wimbo wa Serikali kuwa Dola haina dini ila watu ndio wenye dini!
Wakati umefika kuandika katiba yetu mpya kwa kutambua rasmi dini zetu na kuacha kurudiarudia kauli ya kuchanganya dini na siasa! kauli hii imepitwa na wakati! Dini na viongozi wa dini wapewe nafasi stahiki ktk katiba yetu na iwe ruksa kuanzisha chama chenye mrengo wa dini! hata huko Ulaya mbona kuna vyama vyenye mrengo wa dini ya Kikristo? na vingine viko madarakani? kwanini hapa kwetu iwe haramu?