Katiba ihusishe dini!!!!

Kadogoo

JF-Expert Member
Feb 26, 2007
2,073
341
Tanzania wanaishi watu wenye dini mbalimbali na zaidi Waislamu na Wakristo! kumekuwa na malalamiko mengi ya chini kwa chini kuwa Dini haipewi nafasi ktk maamuzi mengi muhimu ya nchi yetu!
Pia kuna malalamiko ya baadhi ya dini fulani kubaguliwa ndani ya nchi yao! na zaidi wimbo wa Serikali kuwa Dola haina dini ila watu ndio wenye dini!

Wakati umefika kuandika katiba yetu mpya kwa kutambua rasmi dini zetu na kuacha kurudiarudia kauli ya kuchanganya dini na siasa! kauli hii imepitwa na wakati! Dini na viongozi wa dini wapewe nafasi stahiki ktk katiba yetu na iwe ruksa kuanzisha chama chenye mrengo wa dini! hata huko Ulaya mbona kuna vyama vyenye mrengo wa dini ya Kikristo? na vingine viko madarakani? kwanini hapa kwetu iwe haramu?
 
Serikali yetu haina dini, ya wa huko ulaya tuwaachie wa huko huko ulaya je na wapagani hawana haki katiba iwawakilishe kwa serikali kutokuwa na dini. Haya mambo hayafai ukitaka kujua hayafai cheki historia ya Yugoslavia

By the way Zubeda kila nikikuuliza swali hutaki kunijibu umeacha swali kule kwenye jukwaa la siasa kuhusu kukataliwa kwa RC naomba turudi kule ukanieleweshe..
 
Serikali yetu haina dini, ya wa huko ulaya tuwaachie wa huko huko ulaya je na wapagani hawana haki katiba iwawakilishe kwa serikali kutokuwa na dini. Haya mambo hayafai ukitaka kujua hayafai cheki historia ya Yugoslavia

By the way Zubeda kila nikikuuliza swali hutaki kunijibu umeacha swali kule kwenye jukwaa la siasa kuhusu kukataliwa kwa RC naomba turudi kule ukanieleweshe..

Hapa tunazungumzia Katiba! habari za nilikuuliza swali ktk post za Siasa ningojee huko usichanganye mambo ili kuvuruga mada hii ya Kuingiza dini ktk Katiba!
Mimi sijasema uislamu na ukristo pekee ndio katiba itambue, hujanielewa! ila Katiba yetu itambue dini zote hata kama ziko za Mashetani mradi ni wa TZ na wanafuata sheria! sasa unaposema Serikali haina dini na wala tusiwaige Ulaya bila ufafanuzi nashindwa kukuelewa Mkuu!

Kama ya Ulaya tuwaachie wao basi hakuna haja ya kuwaigiza kwa demokrasia zao na tubaki na mfumo wetu wa kiimla wa tangu zamani!
 
Hapa tunazungumzia Katiba! habari za nilikuuliza swali ktk post za Siasa ningojee huko usichanganye mambo ili kuvuruga mada hii ya Kuingiza dini ktk Katiba!
Mimi sijasema uislamu na ukristo pekee ndio katiba itambue, hujanielewa! ila Katiba yetu itambue dini zote hata kama ziko za Mashetani mradi ni wa TZ na wanafuata sheria! sasa unaposema Serikali haina dini na wala tusiwaige Ulaya bila ufafanuzi nashindwa kukuelewa Mkuu!

Kama ya Ulaya tuwaachie wao basi hakuna haja ya kuwaigiza kwa demokrasia zao na tubaki na mfumo wetu wa kiimla wa tangu zamani!

Du we mkali kwelikweli... (lakini naomba twende kule baada ya kujibu hapa ile na kule unijibu)
Hatufanyi mambo kwa kuiga sababu wengine wanafanya, tunachukua vitu nchi nyingine ambavyo vina faida kwetu..na kwa kukupa mfano wa kwamba hili jambo halifai nikakwambia angalia yaliyotokea Yugoslavia..

Nchi yetu inatambua mtu kutokana na character yake na sio imani kabila wala kitu kingine chochote..., kwahiyo kama unaona tufanye hivyo kwanini tusiweke hata kabila liingie kwenye katiba, kwamba kila kabila liwe na chama chake cha siasa?

Hivi tumekosa kweli mambo ya maana ya kufanya hadi tuanze kufatilia vitu ambavyo havina tija na vinaweza kuigawa nchi?
 
Tanzania wanaishi watu wenye dini mbalimbali na zaidi Waislamu na Wakristo! kumekuwa na malalamiko mengi ya chini kwa chini kuwa Dini haipewi nafasi ktk maamuzi mengi muhimu ya nchi yetu!
Pia kuna malalamiko ya baadhi ya dini fulani kubaguliwa ndani ya nchi yao! na zaidi wimbo wa Serikali kuwa Dola haina dini ila watu ndio wenye dini!

Wakati umefika kuandika katiba yetu mpya kwa kutambua rasmi dini zetu na kuacha kurudiarudia kauli ya kuchanganya dini na siasa! kauli hii imepitwa na wakati! Dini na viongozi wa dini wapewe nafasi stahiki ktk katiba yetu na iwe ruksa kuanzisha chama chenye mrengo wa dini! hata huko Ulaya mbona kuna vyama vyenye mrengo wa dini ya Kikristo? na vingine viko madarakani? kwanini hapa kwetu iwe haramu?

Crap as usual! Tanzania is a secular state
 
Haina tija kwa taifa...kabla haijaingizwa kwenye katiba kushaanza vijineno sasa itakuaje likiwa written...nadhani nchi yetu tuna lulu ya watu wenye busara(sijasema wazee) hivyo hatuwezi kukubaliana na pendekezo jepesi namna hii!
 
Crap as usual! Tanzania is a secular state

Kama TZ ni Secular State mbona Rais na Wabunge hula kiapo kwa kutumia vitabu vya dni? na kwanini Spika wa Bunge husoma dua kabla ya kuanza kikao chao bungeni? mbona siku ya Jumapili hakuna kazi ili watu waende kanisani sio? hii ndio tafsiri yako Mchungaji ya Secular state?
Hivi kuna mtu anaweza kutufafanulia nini maana ya Secular State? ni nchi zipi muhimu hufuata siasa hii?
 
Kama TZ ni Secular State mbona Rais na Wabunge hula kiapo kwa kutumia vitabu vya dni? na kwanini Spika wa Bunge husoma dua kabla ya kuanza kikao chao bungeni? mbona siku ya Jumapili hakuna kazi ili watu waende kanisani sio? hii ndio tafsiri yako Mchungaji ya Secular state?
Hivi kuna mtu anaweza kutufafanulia nini maana ya Secular State? ni nchi zipi muhimu hufuata siasa hii?

Dada tusipotoshe issue tukipata raisi mpagani sio lazima kiapo kiwe kwa kutumia kitabu cha dini, tutatafuta njia ya yeye kula kiapo kwa imani zake, kusoma dua kabla ya kikao cha bunge ni kuomba mwongozo kutokana na imani za watu (tukiendelea hivi utauliza kwanini watu wanasalimiana Salaam Aleikhum), Jumapili hakuna kazi kwenye mashirika mengi ndio taratibu walizojiwekea, hata jumamosi wengine hakuna kazi au wanafanya nusu siku..., (sababu ni weekend) wengine tunapiga kazi siku zote, siku ya kupumzika ni hata J3 depends on my commitments na mfuko wangu unaniambia nini...
 
suala la dini kwenye uandishi wa katiba liwekwe pembeni kabisa,sabb hata issue ya kutambua hizo dini itakua ugonvi mwingine i mean katiba ikitambua upagan,wafuasi wa dini hizi mbili zenye maguvu watapinga.lazima tujue tanzania ni nchi ya watu wenye dini mbalimbali ukristo,uislam,uhindu,singasinga,budha nao wapo,wapagan wanaoishi,kusaidiana na kuheshimiana bila kujali tofauti ya dini zao............dini kwenye katiba noooooooooooooooo.........
 
Zubeda kama jina lako linavyojieleza ni muumini wa dini fulani, tena watu wa dini hiyo hawana hoja yoyote isipokuwa dini tu. Ndio maana hata kielimu wako chini kisa dini, kazi zao kubwa ni udereve wa daladala kisa hawana elimu, shule zao aghalabu ni za mwisho kisa msisitizo ni dini. wao na DINI DINI NA WAO KILA KITU DINI DINI DINI DINI. Crap hebu jaribu kutazama maendeleo ya nchi acha kukalia dini dini tu.... Boredom
 
Kama TZ ni Secular State mbona Rais na Wabunge hula kiapo kwa kutumia vitabu vya dni? na kwanini Spika wa Bunge husoma dua kabla ya kuanza kikao chao bungeni? mbona siku ya Jumapili hakuna kazi ili watu waende kanisani sio? hii ndio tafsiri yako Mchungaji ya Secular state?
Hivi kuna mtu anaweza kutufafanulia nini maana ya Secular State? ni nchi zipi muhimu hufuata siasa hii?

Kwa kukusaidia tu! Watu wana dini zao na wanaruhisiwa kuzifuata ila serikali kama serikali haina dini na haiongozi kufuata dini fulani. Tanzania is a secular state
 
Tanzania wanaishi watu wenye dini mbalimbali na zaidi Waislamu na Wakristo! kumekuwa na malalamiko mengi ya chini kwa chini kuwa Dini haipewi nafasi ktk maamuzi mengi muhimu ya nchi yetu!
Pia kuna malalamiko ya baadhi ya dini fulani kubaguliwa ndani ya nchi yao! na zaidi wimbo wa Serikali kuwa Dola haina dini ila watu ndio wenye dini!

Wakati umefika kuandika katiba yetu mpya kwa kutambua rasmi dini zetu na kuacha kurudiarudia kauli ya kuchanganya dini na siasa! kauli hii imepitwa na wakati! Dini na viongozi wa dini wapewe nafasi stahiki ktk katiba yetu na iwe ruksa kuanzisha chama chenye mrengo wa dini! hata huko Ulaya mbona kuna vyama vyenye mrengo wa dini ya Kikristo? na vingine viko madarakani? kwanini hapa kwetu iwe haramu?

Mbona unatolea mfano Ulaya na siyo Uarabuni kama Iran, iraqi, Pakistan, Afganistan, Kuwait na hata Africa kama Somalia, Egypt, Eritrea, Morocco, Algeria nk?

Sioni sababu ya kuingiza dini kwenye Katiba kwani tutakuwa tumewatenga wasio na Dini nao ni wengi tu.
 
Kama TZ ni Secular State mbona Rais na Wabunge hula kiapo kwa kutumia vitabu vya dni? na kwanini Spika wa Bunge husoma dua kabla ya kuanza kikao chao bungeni? mbona siku ya Jumapili hakuna kazi ili watu waende kanisani sio? hii ndio tafsiri yako Mchungaji ya Secular state?
Hivi kuna mtu anaweza kutufafanulia nini maana ya Secular State? ni nchi zipi muhimu hufuata siasa hii?

Zubena, na wasiwasi na eulewa wako, unaweza kuniambia Spika huwa ana soma dua ya DINI ipi? Wabunge wanadini zao ila SERIKALI HAINA DINI! Na wala wabunge hawalazimishwi kuapa kwa kushika Kitabu cha Dini. Kingunge alipokuwa akiapishwa enzi zile ALINYOOSHA MKONO MTUPU bila kitabu chochote cha dini na ilikibalika!

Suala la kupumzika Jumapili ni taratibu za nchi, binadamu anapofanya kazi lazima apumzike, inapokuwa Jumapili ama Jumamosi ni siku ya mapumziko, hawa ambiwi siku hiyo LAZIMA WAKASALI! Wewe unataka wafanyakazi wapumzike lini?
 
Tanzania wanaishi watu wenye dini mbalimbali na zaidi Waislamu na Wakristo! kumekuwa na malalamiko mengi ya chini kwa chini kuwa Dini haipewi nafasi ktk maamuzi mengi muhimu ya nchi yetu!
Pia kuna malalamiko ya baadhi ya dini fulani kubaguliwa ndani ya nchi yao! na zaidi wimbo wa Serikali kuwa Dola haina dini ila watu ndio wenye dini!

Wakati umefika kuandika katiba yetu mpya kwa kutambua rasmi dini zetu na kuacha kurudiarudia kauli ya kuchanganya dini na siasa! kauli hii imepitwa na wakati! Dini na viongozi wa dini wapewe nafasi stahiki ktk katiba yetu na iwe ruksa kuanzisha chama chenye mrengo wa dini! hata huko Ulaya mbona kuna vyama vyenye mrengo wa dini ya Kikristo? na vingine viko madarakani? kwanini hapa kwetu iwe haramu?

Wazo lako zuri sana na linaheshimika, ila kumbuka sio watanzania wote ni waislamu na wakristo... wapo wapagani na dini nyingine nyingi tu.... sasa na wenyewe itabidi watambuliwe na serikali na kuruhusiwa kuanzisha vyama vyao... Sijui kama hiyo itakuwa nchi zaidi ya kichaka!!!:twitch:
 
Zubena, na wasiwasi na eulewa wako, unaweza kuniambia Spika huwa ana soma dua ya DINI ipi? Wabunge wanadini zao ila SERIKALI HAINA DINI! Na wala wabunge hawalazimishwi kuapa kwa kushika Kitabu cha Dini. Kingunge alipokuwa akiapishwa enzi zile ALINYOOSHA MKONO MTUPU bila kitabu chochote cha dini na ilikibalika!

Suala la kupumzika Jumapili ni taratibu za nchi, binadamu anapofanya kazi lazima apumzike, inapokuwa Jumapili ama Jumamosi ni siku ya mapumziko, hawa ambiwi siku hiyo LAZIMA WAKASALI! Wewe unataka wafanyakazi wapumzike lini?

Ndio hoja dhaifu kuliko ninavyodhani. Wewe ndio na wasiwasi na uelewa wako mnapodai serikali haina dini halafu mkawa mnalazimisha watanzania wawe wakristo sijui hoja yako inasimamia wapi? Mfano nakupa sheria zinatulazimisha tuwe wakristo? Jumapili inatambulika kiserikali kuwa ni siku ya mapumziko wakati sio wote tunaopumzika na kwenda kusali jumapili, pili mishahara yetu inaenda according to the calendar ya kikristo wakati wengine kalenda yetu ya kiislamu ipo (Hijri calendar), Sheria ya ndoa inatambua kuwa mke mmoja ndie anayetambuliwa kiserikali wakati waislamu sie tuna wake zaidi ya mmoja, sasa hizi sheria huoni kwamba zinatulazimisha tuwe wakristo!!!!

Wewe unadai kuwa jumapili ipo duniani kote ni uongo kuna nchi mapumziko yao sio Jumapili. Niambie Uarabuni mapumziko yao lini??? Malaysia je? Indonesia ? Turkey? Sasa usilizungumze jambo usilolijua. Siku za mapumziko ziwe Ijumaa na Jumamosi au Ijumaa na Jumapili ili kuweza kuaccomodate the needs of all. Utaona hilo swala ni gumu kulitatua. Cha msingi kusiwepo na siku ya mapumziko ila watu wawe na siku zao mapumziko ili kama wewe jumapili unasali uende ukapumzike, vilevile kama wewe jumamosi pia, na ijumaa pia na taifa liendelee kuzalisha kama kawaida.
 
Tanzania wanaishi watu wenye dini mbalimbali na zaidi Waislamu na Wakristo! kumekuwa na malalamiko mengi ya chini kwa chini kuwa Dini haipewi nafasi ktk maamuzi mengi muhimu ya nchi yetu!
Pia kuna malalamiko ya baadhi ya dini fulani kubaguliwa ndani ya nchi yao! na zaidi wimbo wa Serikali kuwa Dola haina dini ila watu ndio wenye dini!

Wakati umefika kuandika katiba yetu mpya kwa kutambua rasmi dini zetu na kuacha kurudiarudia kauli ya kuchanganya dini na siasa! kauli hii imepitwa na wakati! Dini na viongozi wa dini wapewe nafasi stahiki ktk katiba yetu na iwe ruksa kuanzisha chama chenye mrengo wa dini! hata huko Ulaya mbona kuna vyama vyenye mrengo wa dini ya Kikristo? na vingine viko madarakani? kwanini hapa kwetu iwe haramu?


"Nikawaambia mashehe nchi yetu haina dini" astakhafyulilah!!! astakhafyulilah!!! "Lakini watanzania wana dini" mashehe wakanielewa!! Nawewe elewa.
 
Ndugu yangu acha choko choko, hiyo inawezekana kwa wazungu lakini hapa africa kwa sisi wenye ngozi nyeusi tutachinjana na tutaisha. isitoshe DINI ZOTE hazina asili ya Africa lakini waafrica ndio tunaoongoza kwa kubaguana kidini, asilimia zaidi ya 90 ya watu wa Zanzibar ni waislamu, je umeona kuna kiongozi mkristo pale?
Nchi ya Nigeria kila siku utasikia mapigano ya waumini wa Kikristo na kiislamu lakini hilo halipo kwa waanzilishi. Hayo ni mawazo ya mwendawazimu bila shaka wewe ni nazi wa dini ya kiislamu
Tanzania wanaishi watu wenye dini mbalimbali na zaidi Waislamu na Wakristo! kumekuwa na malalamiko mengi ya chini kwa chini kuwa Dini haipewi nafasi ktk maamuzi mengi muhimu ya nchi yetu!
Pia kuna malalamiko ya baadhi ya dini fulani kubaguliwa ndani ya nchi yao! na zaidi wimbo wa Serikali kuwa Dola haina dini ila watu ndio wenye dini!

Wakati umefika kuandika katiba yetu mpya kwa kutambua rasmi dini zetu na kuacha kurudiarudia kauli ya kuchanganya dini na siasa! kauli hii imepitwa na wakati! Dini na viongozi wa dini wapewe nafasi stahiki ktk katiba yetu na iwe ruksa kuanzisha chama chenye mrengo wa dini! hata huko Ulaya mbona kuna vyama vyenye mrengo wa dini ya Kikristo? na vingine viko madarakani? kwanini hapa kwetu iwe haramu?
 
Wazo lako zuri sana na linaheshimika, ila kumbuka sio watanzania wote ni waislamu na wakristo... wapo wapagani na dini nyingine nyingi tu.... sasa na wenyewe itabidi watambuliwe na serikali na kuruhusiwa kuanzisha vyama vyao... Sijui kama hiyo itakuwa nchi zaidi ya kichaka!!!:twitch:[/QUOT

Kama katiba itaandikwa upya na kuruhusu vyama vingi na hata mgombea binafsi! na kuruhusu pia vyama vyenye kuabudu mungu mmoja, mungu 3 na hata wenye kuabudu mashetani na mizimu! basi hii ndio maana ya demokrasia! lakini kuwabana na kuwachagulia wananchi mrengo na siasa ipi chama kifuate, hiyo sio demokrasia! wewe unaogopa nini? si turuhusu kila mtu anaetaka kuanzisha chama aanzishe halafu uamuzi waachiwe wananchi ktk sanduku la kura!

Atakae shinda huyo ndie atuongoze hata kama chama chake kinaamini Shetani! kama chama cha Kikristo kikipata kura nyingi zaidi ya 50% basi kiunde serikali! kama hakuna chama kitakachopata zaidi ya 50% basi kiungane na chama chochote ili kuunda Serikali! sasa unachoogopa hapa ni nini?
Ni ni maana ya Demokrasia ya vyama vingi? kwanini tuwe na mipaka ya vyama? tuache uoga!!!!
 
Back
Top Bottom