Independent-Mind
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 712
- 208
Mnyika mjamaa,tunamkaribisha ACT basi.
Kama humjui mnyika NENDA MILEMBE.......this platform is too heavy to be carried by tabularasa like you...............ukishatoka milembe pitia pale kwa mama makinda pia atakusaidia kukufafanulia ni nani huyo..............hapa tuache wenye mosuli ya ubongo pekee.samahani kama nimekukwaza lakini.niwie radhi ndivyo nilivyo,majihu yangu yapo straight sana
You are suffering from what we call OBSESSIVE-COMPULSIVE DISORDER.
It's absurd for you to force me to know someone whom I don't know actually!,
Shame On U!
Mnyika mjamaa,tunamkaribisha ACT basi.
Wakuu nimeona leo ni vema tudadavue juu ya dhana ya uongo anayo jipambanua nayo ZITTO kwa siku za hivi karibuni eti ya kuwa kwamba yeye ana unyerere na ujamaaa!!!
Tujiulize kupitia mfano wa kijana mdogo sana kwenye siasa za nchini,achilia mbali baba wa Taifa Nyerere anayeta kufanana naye
1.wakati ZITTO anaendesha Hammer kama gari ghali na la kifahari ya million zaidi ya 300 Mnyika kwa ubunge wake wote ana Toyota Vitz tuh ya isiyo zidi hata million 10.
2.wakati Zitto ni mtu wa kunufaika na feva za mashirika ya umma kama NSSF walimuonga Appartment aliyokuwa anaishi mama yake Tabata segerea,na akawa anaishi UDSM alikopewa makazi mchumba wake.mwenzie Mnyika
mpaka leo anaishi ghetto paepale sinza.
3.wakati Zitto mavazi yake ni suti za guchi na gharama kama bepari la kisasa ukiondoa yale magwanda aliyo lazimika kuyachoma motto,ajawahi kuvaa hata kaunda inayo fanana na zile za nyerere ili aonekane ni mnyerere,wakati huohuo Mnyika ajawahi kuvaa suti siyo tuh ya gharama bali hata ya kushonesha kwa fundi,vivazi vyake ni kaunda,gwanda na mashati ya batiki au vitenge
4.wakati Zitto anaamua kung'atuka na bunge kukubali kumpa posho zake zote baada ya kuombewa na mkuu wa nchi tofauti na ilivyo kuwa kwa Mansoori wa zanzibar ama Mpendazoe wa ccm 2010,tulitegemea kuona uzalendo wake kwa kukataa fedha ambazo so halali yake.Kama mnyika alivyo kataa posho zote anazopaswa kulipwa na Halamashauri ya Jiji la Dar es salaam,kwa miaka yake yote ya ubunge na kuwaambia wazipeleke kwenye taasisi za elimu na watoto yatima
5.ZITTO anajiita mjamaa wakati palipokuwa jimboni kwake huko kigoma kaskazini hajawahi hata sikumoja kukusanyika na wananchi wake na kufanya jambo lolote la kijamaa kama matengenezo ya barabara na uchimbaji wa mitaro,wakati myika tunaona ujamaa wake kwa kushinda nae kwenye vichochoro vya makurumla na mburahati mpaka manzese midizini na sisi kwa sisi.
6.Wakati Zitto ana akaunti za fedha ujerumani na kweingineko nje ya nchi,na huku waleti yake siku zote anatumia dollar wala siyo shillingi,Mnyika mwenzie anakaunti NMB tuh.benki ya makabwela.
MWISHO NAMALIZIA HIVI HAYO MAISHA YA KUIGIZA YA KIONGOZI MKUU WA ACT,hayana chembe wala vinasaba vya unyerere,Ndiyo maana hapa PRESS na waandishi wa habari huitishia SERENA na siyo kilabuni kwa ndumbiko au chini ya mti
Over.
Wakuu nimeona leo ni vema tudadavue juu ya dhana ya uongo anayo jipambanua nayo ZITTO kwa siku za hivi karibuni eti ya kuwa kwamba yeye ana unyerere na ujamaaa!!!
Tujiulize kupitia mfano wa kijana mdogo sana kwenye siasa za nchini,achilia mbali baba wa Taifa Nyerere anayeta kufanana naye
1.wakati ZITTO anaendesha Hammer kama gari ghali na la kifahari ya million zaidi ya 300 Mnyika kwa ubunge wake wote ana Toyota Vitz tuh ya isiyo zidi hata million 10.
2.wakati Zitto ni mtu wa kunufaika na feva za mashirika ya umma kama NSSF walimuonga Appartment aliyokuwa anaishi mama yake Tabata segerea,na akawa anaishi UDSM alikopewa makazi mchumba wake.mwenzie Mnyika
mpaka leo anaishi ghetto paepale sinza.
3.wakati Zitto mavazi yake ni suti za guchi na gharama kama bepari la kisasa ukiondoa yale magwanda aliyo lazimika kuyachoma motto,ajawahi kuvaa hata kaunda inayo fanana na zile za nyerere ili aonekane ni mnyerere,wakati huohuo Mnyika ajawahi kuvaa suti siyo tuh ya gharama bali hata ya kushonesha kwa fundi,vivazi vyake ni kaunda,gwanda na mashati ya batiki au vitenge
4.wakati Zitto anaamua kung'atuka na bunge kukubali kumpa posho zake zote baada ya kuombewa na mkuu wa nchi tofauti na ilivyo kuwa kwa Mansoori wa zanzibar ama Mpendazoe wa ccm 2010,tulitegemea kuona uzalendo wake kwa kukataa fedha ambazo so halali yake.Kama mnyika alivyo kataa posho zote anazopaswa kulipwa na Halamashauri ya Jiji la Dar es salaam,kwa miaka yake yote ya ubunge na kuwaambia wazipeleke kwenye taasisi za elimu na watoto yatima
5.ZITTO anajiita mjamaa wakati palipokuwa jimboni kwake huko kigoma kaskazini hajawahi hata sikumoja kukusanyika na wananchi wake na kufanya jambo lolote la kijamaa kama matengenezo ya barabara na uchimbaji wa mitaro,wakati myika tunaona ujamaa wake kwa kushinda nae kwenye vichochoro vya makurumla na mburahati mpaka manzese midizini na sisi kwa sisi.
6.Wakati Zitto ana akaunti za fedha ujerumani na kweingineko nje ya nchi,na huku waleti yake siku zote anatumia dollar wala siyo shillingi,Mnyika mwenzie anakaunti NMB tuh.benki ya makabwela.
MWISHO NAMALIZIA HIVI HAYO MAISHA YA KUIGIZA YA KIONGOZI MKUU WA ACT,hayana chembe wala vinasaba vya unyerere,Ndiyo maana hapa PRESS na waandishi wa habari huitishia SERENA na siyo kilabuni kwa ndumbiko au chini ya mti
Over.
Hakuna mjamaa kutokana na maana yakeWakuu nimeona leo ni vema tudadavue juu ya dhana ya uongo anayo jipambanua nayo ZITTO kwa siku za hivi karibuni eti ya kuwa kwamba yeye ana unyerere na ujamaaa!!!
Tujiulize kupitia mfano wa kijana mdogo sana kwenye siasa za nchini,achilia mbali baba wa Taifa Nyerere anayeta kufanana naye
1.wakati ZITTO anaendesha Hammer kama gari ghali na la kifahari ya million zaidi ya 300 Mnyika kwa ubunge wake wote ana Toyota Vitz tuh ya isiyo zidi hata million 10.
2.wakati Zitto ni mtu wa kunufaika na feva za mashirika ya umma kama NSSF walimuonga Appartment aliyokuwa anaishi mama yake Tabata segerea,na akawa anaishi UDSM alikopewa makazi mchumba wake.mwenzie Mnyika
mpaka leo anaishi ghetto paepale sinza.
3.wakati Zitto mavazi yake ni suti za guchi na gharama kama bepari la kisasa ukiondoa yale magwanda aliyo lazimika kuyachoma motto,ajawahi kuvaa hata kaunda inayo fanana na zile za nyerere ili aonekane ni mnyerere,wakati huohuo Mnyika ajawahi kuvaa suti siyo tuh ya gharama bali hata ya kushonesha kwa fundi,vivazi vyake ni kaunda,gwanda na mashati ya batiki au vitenge
4.wakati Zitto anaamua kung'atuka na bunge kukubali kumpa posho zake zote baada ya kuombewa na mkuu wa nchi tofauti na ilivyo kuwa kwa Mansoori wa zanzibar ama Mpendazoe wa ccm 2010,tulitegemea kuona uzalendo wake kwa kukataa fedha ambazo so halali yake.Kama mnyika alivyo kataa posho zote anazopaswa kulipwa na Halamashauri ya Jiji la Dar es salaam,kwa miaka yake yote ya ubunge na kuwaambia wazipeleke kwenye taasisi za elimu na watoto yatima
5.ZITTO anajiita mjamaa wakati palipokuwa jimboni kwake huko kigoma kaskazini hajawahi hata sikumoja kukusanyika na wananchi wake na kufanya jambo lolote la kijamaa kama matengenezo ya barabara na uchimbaji wa mitaro,wakati myika tunaona ujamaa wake kwa kushinda nae kwenye vichochoro vya makurumla na mburahati mpaka manzese midizini na sisi kwa sisi.
6.Wakati Zitto ana akaunti za fedha ujerumani na kweingineko nje ya nchi,na huku waleti yake siku zote anatumia dollar wala siyo shillingi,Mnyika mwenzie anakaunti NMB tuh.benki ya makabwela.
MWISHO NAMALIZIA HIVI HAYO MAISHA YA KUIGIZA YA KIONGOZI MKUU WA ACT,hayana chembe wala vinasaba vya unyerere,Ndiyo maana hapa PRESS na waandishi wa habari huitishia SERENA na siyo kilabuni kwa ndumbiko au chini ya mti
Over.
Mimi nashindwa kuelewa kwanza kama Zitto anaelewa maana ya neno ujamaa.
wakuu nimeona leo ni vema tudadavue juu ya dhana ya uongo anayo jipambanua nayo zitto kwa siku za hivi karibuni eti ya kuwa kwamba yeye ana unyerere na ujamaaa!!!
Tujiulize kupitia mfano wa kijana mdogo sana kwenye siasa za nchini,achilia mbali baba wa taifa nyerere anayeta kufanana naye
1.wakati zitto anaendesha hammer kama gari ghali na la kifahari ya million zaidi ya 300 mnyika kwa ubunge wake wote ana toyota vitz tuh ya isiyo zidi hata million 10.
2.wakati zitto ni mtu wa kunufaika na feva za mashirika ya umma kama nssf walimuonga appartment aliyokuwa anaishi mama yake tabata segerea,na akawa anaishi udsm alikopewa makazi mchumba wake.mwenzie mnyika
mpaka leo anaishi ghetto paepale sinza.
3.wakati zitto mavazi yake ni suti za guchi na gharama kama bepari la kisasa ukiondoa yale magwanda aliyo lazimika kuyachoma motto,ajawahi kuvaa hata kaunda inayo fanana na zile za nyerere ili aonekane ni mnyerere,wakati huohuo mnyika ajawahi kuvaa suti siyo tuh ya gharama bali hata ya kushonesha kwa fundi,vivazi vyake ni kaunda,gwanda na mashati ya batiki au vitenge
4.wakati zitto anaamua kung'atuka na bunge kukubali kumpa posho zake zote baada ya kuombewa na mkuu wa nchi tofauti na ilivyo kuwa kwa mansoori wa zanzibar ama mpendazoe wa ccm 2010,tulitegemea kuona uzalendo wake kwa kukataa fedha ambazo so halali yake.kama mnyika alivyo kataa posho zote anazopaswa kulipwa na halamashauri ya jiji la dar es salaam,kwa miaka yake yote ya ubunge na kuwaambia wazipeleke kwenye taasisi za elimu na watoto yatima
5.zitto anajiita mjamaa wakati palipokuwa jimboni kwake huko kigoma kaskazini hajawahi hata sikumoja kukusanyika na wananchi wake na kufanya jambo lolote la kijamaa kama matengenezo ya barabara na uchimbaji wa mitaro,wakati myika tunaona ujamaa wake kwa kushinda nae kwenye vichochoro vya makurumla na mburahati mpaka manzese midizini na sisi kwa sisi.
6.wakati zitto ana akaunti za fedha ujerumani na kweingineko nje ya nchi,na huku waleti yake siku zote anatumia dollar wala siyo shillingi,mnyika mwenzie anakaunti nmb tuh.benki ya makabwela.
Mwisho namalizia hivi hayo maisha ya kuigiza ya kiongozi mkuu wa act,hayana chembe wala vinasaba vya unyerere,ndiyo maana hapa press na waandishi wa habari huitishia serena na siyo kilabuni kwa ndumbiko au chini ya mti
over.
umemaliza..........................
Msalimie mbowe na ondoka jumamosi ukashangae ambulance . M.b.u.l.u.l.a
Mtoa mada amekuja huku akiwa na jibu lake mkononi badala ya kusubiri kuona wadau wanalipi juu hilo swali lake.....nadhani liko bayana kwamba humpendi Zitto na badala yake unamsifia mnyika kma ilivyo kwenye uzi wako.
Sidhani kama Mnyika yuko tu hvyo ulivyomfananisha na Zitto. Tuache chuki ambazo hazina tija na hilo ndilo tatizo kwa siasa za kwetu Tanzania