Bob Manson
JF-Expert Member
- May 16, 2021
- 4,527
- 8,684
Habari za jioni waumini....
Zifuatazo ni nukuu au maandishi yaliyomo katika vitabu viwili vitakatifu.
Yesu alikuwa amelala akiegemea mto sehemu ya nyuma kwenye ile mashua, Wanafunzi wake wakamwamsha, wakamwambia, “Mwalimu, hujali kwamba tuna zama?’
~ Marko 4:37
Mwenyezi Mungu, hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala.
~ Quran 2:255
SWALI: Kwa kuzingatia vifungu tajwa hapo juu, ni nani aliye na mamlaka juu ya mwenziye?
Je inawezekana Mungu kuamshwa usingizini na wanadamu aliyo waumba?
#BM
Zifuatazo ni nukuu au maandishi yaliyomo katika vitabu viwili vitakatifu.
Yesu alikuwa amelala akiegemea mto sehemu ya nyuma kwenye ile mashua, Wanafunzi wake wakamwamsha, wakamwambia, “Mwalimu, hujali kwamba tuna zama?’
~ Marko 4:37
Mwenyezi Mungu, hapana mungu ila Yeye Aliye hai, Msimamia mambo yote milele. Hashikwi na usingizi wala kulala.
~ Quran 2:255
SWALI: Kwa kuzingatia vifungu tajwa hapo juu, ni nani aliye na mamlaka juu ya mwenziye?
Je inawezekana Mungu kuamshwa usingizini na wanadamu aliyo waumba?
#BM