Fallback
JF-Expert Member
- Aug 12, 2023
- 3,477
- 6,484
Wewe haujawahi kusinzia ukiwa lindo? Au wewe sio Askari?Sio mara moja,alikua anasinzia mara nyingi akiwa kazini
Wewe haujawahi kusinzia ukiwa lindo? Au wewe sio Askari?Sio mara moja,alikua anasinzia mara nyingi akiwa kazini
Wewe haujawahi kusinzia ukiwa lindo? Au wewe sio Askari?Aliwahi kusinzia akiwa lindo/kazini na picha yake ikasambaa sana nadhani kuna watu watakuwa nayo ilileta mjadala sana nafikiri uzi wake uliwekwa humu ila ulifutwa
Bila shaka Shinyanga,KahamaYuko mkoa unaonza na S kwenye wilaya inayoanza Anza na K mtaa ..........
Kamuulize mpalestina atakupa khabari zakeHakuna israel anayetoa roho israel ni nchi nzuri na pandwa
Ili kujulikana hadi jina analotumia FB ilikuwa wakati ulipotokea huo uzushi kuna jamaa anamjua humu akazikanusha hizo habariHuyu jamaa niliona taarifa kama corona ilimla kichwa
Hiyo umepewa kama code,picha chini muangalie niliyemchorea mstari kisha muangalie na huyuOngeza taarifa kidogo mkuu.
HujamuelewaMoja kati ya comment za kipumbavu kuwahi kuziona jf
Dunia hii mahusiano na jinsia pinzani lazima mwanaume timamu awe nayo.Mwamba na ukauzu wote lakini hapo fb nimeona yupo in relationship
Labda awe jachuchi.Hivi yeriko ni jasusi??
Sjaelewa kafanyaje babu yanguHiyo umepewa kama code,picha chini muangalie niliyemchorea mstari kisha muangalie na huyuView attachment 2781123angalie na huyu
TISSAlikuwa na taaluma gani ya kimafunzo ya Ulinzi, yaani alikuwa kwenye chombo gani cha ulinzi kama walivyo ADF wanaotolewa JWTZ
Yupo ulaya mnataka nn kngne?Mwamba huyu hapa..
Kati ya walinzi wa marais ambao walitokea kuwa na umaarufu fulani hapa TANZANIA ni huyu jamaa.
Tunaweza kusema Jamaa alipendwa na vijana wengi, alitazamika kama Icon huku baadhi ya watu wakitamani japo siku moja wasikie sauti yake.
Kwa kifupi jamaa Alikuwa famous.
Watu wengi walivutiwa zaidi na umakini wake alipokuwa pembeni ya rais, hata lilipozungumzwa neno la kuchekesha yeye hakushikwa na kicheko wala tabasam
Lakini hata ivyo u-serious wake si wakununa wala kukaza sura, appearance yake ilionyesha yuko normal
Huyu ni
mtu aliyeyajua majukumu yake, mara kadhaa alipokuwa pembeni ya rais alipepesa macho yake kushoto na kulia.
Alitazamika ni mtu aliyekula kiapo kisawasawa, ni mtu anayefeel kile anachokifanya, yuko tayari kwa lolote dhidi ya kazi yake.
Nimekusogezea hii baada ya kupita kwenye mtandao wa FACEBOOK na kukutana na machapisho kadhaa ya Jamaaa.
Ndani ya mtandao huo wa FACEBOOK Jamaa anatumia jina la WILFRED MWANGO wakati tukikakaaga kule vijiweni kwetu tunasikia majina kibao tofauti ya huyu jamaa.
Hapa nikagundua Machapisho hayo yamechapiswa mwaka 2012 lakini pia nikabaini kuwa ni mtu aliyekuwa na mwili tokea miaka hiyo yaani anaasili ya mwili "pandikizi la mtu"
Katika machapisho yake alionekana kuwa shabiki wa mwnamuki BOB MARLEY
Lakini pia mwenye maadili na Msiri. Hana wafuatiliaji wengi wala comment nyingi, lakini pia machapisho hayo yaliishia mwaka huo huo 2012.
Jamaa akapotea mtandaoni
Miaka mitatu mbele Yaani mwaka 2015 Jamaa akaonekana pembeni ya Rais Magufuli akiwa na muonekano mdogo yaani nikama alikuwa amepungua mwilii. Na hapo ndipo mara kwa mara akawa anaonekana pembeni ya Rais.
Mwili wake wa asili ukarudi alifanya kazi yake kwa takribani miaka mi5 mpaka MAGUFULI alipopatwa na umauti.
Kwa sasa sijui yupo wapi ila nafikiri walinzi wa viongozi wakubwa sio rahisi uwakute kwenye aina flani ya maisha kama kupiga picha au sehemu tofauti za wazi..
I think wameandaliwa kwa jambo fulani au kazi fulani that's why hatuwezi kujua yuko wapi kwa sasa.
Ila kama ni mzima mwamba aishi maisha marefu
View attachment 2780683View attachment 2780684
Linda watu sio Baskeli za Itigi hknamimi nko kama yeye mbna hamtaji hukoo!?
kaushaSiriadhi ndio nini
Yule jamaa nae akishapataga kimpumu ni shidaTindu Lissu akiwa anahojiwa na chombo kimoja cha habari ambacho sikikumbuki alisema kwa kujiamini kwamba jamaa alisombwa na corona. Jambo ambalo halikuwa kweli.
Kazi nzuri ipi?Yupo Wilaya ya Chemba, Dodoma kama DSO
MUNGU ampe maisha marefu na afya kwa kazi nzuri.
Huyo ni nani wake?Hiyo umepewa kama code,picha chini muangalie niliyemchorea mstari kisha muangalie na huyuView attachment 2781123angalie na huyu
Punguza kukaa vijiweni mkikosa story ndo mnaanza kumezeshana uongoaliyewah kuwa serious ni mmoja tuu ambaye ni adolf hitler . hakuwah kucheka toka azaliwe ila aliwahi kutabasamu kipindi anawaua wayahudi elfu 1 kwa wakati mu1
Nilielewa ya kwamba mtoto wa nyoka ni nyoka lkn pia nikawa ninawaza mengine mengi.Hiyo umepewa kama code,picha chini muangalie niliyemchorea mstari kisha muangalie na huyuView attachment 2781123angalie na huyu