Kazi wanasema usiwe umesup?Kama kwenye Supp hawawek chochote sasa huwa wanajuaje kuwa course fulan ulisapu kwenye interview!! maana kuna kaz zngne huwa wanatangaza kuwa uwe hujawah kusapu,sas watajuaje???
Acha kuodanganya hakuna kitu kma hicho labda vyuo vya nje ya TanzaniaSup lazima iwe na star
Star utawekewa kwenye profile ya chuo ya mtandaoni ila at the end hamna cheti chenye alama yoyote' wewe uliesup na yule aliepata C hamtofautiani cheti kinakuja plain na grading zakeSup lazima iwe na star
Mengine nimekuelewa ila hili nina mashaka.3. Si kweli ukiwa na sup haupati degree with hons.
Labda chuo cha eagle trainee center au amazonSup lazima iwe na star
Ooh nadhani sentensi yangu haikukaa sawa nimekusudia huo uvumi unaosema eti ukipata sup hupati degree with hons si kweli.Mengine nimekuelewa ila hili nina mashaka.
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂umesoma Data star nini